Wakili wa Kujitegemea kutoka Haki
Advocates, Bw. Aloyce Komba akitoa Mada ya utoaji wa Habari za
Kimahakama kwa Waandishi wa Habari za Mahakama wanaoshiriki katika
mafunzo ya Uandishi wa Habari za Kimahakama katika Ukumbi wa Magadu
mkoani Morogoro.
Washiriki wakifuatilia mada kwa umakini.
Naibu Msajili, Mahakama Kuu, Mhe.
Augustino Rwizile akitoa mada ya ‘Hatua mbalimbali za Mashauri ya Jinai
na Madai’, lengo ni kuwaelimisha zaidi Waandishi hao juu ya
hatua/taratibu mbalimbali katika uendeshaji wa mashauri hayo.
Afisa Tehama kutoka Mahakama ya
Rufani-Tanzania, Bw. Allan Machella akitoa mada ya ‘Njia kuelekea
Mahakama Mtandao, Mipango na Mafanikio.’
Mwandishi wa Nipashe, Bi. Hellen Mwango akichangia mada katika mafunzo hayo.
(Picha na Mary Gwera)
No comments :
Post a Comment