Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Prof. Faustin Kamuzora anayeshughulikia (Sera na Uratibu) akimkaribisha
Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania Wang Ke alipowasili
katika Ofisi yake Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni,2018.
Balozi wa Jamhuri ya watu wa China
Tanzania Wang Ke akitia saini katika kitabu cha wageni baada ya
kuwasili katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es salaam. Kulia ni
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustin Kamuzora (Sera na
Uratibu).
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akimsikiliza Balozi wa China
nchini Tanzania Wang Ke akielezea jambo wakati wa mazungumzo
yaliyofanyika katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam tarehe
11 Juni,2018
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Prof. Faustin Kamuzora (sera na Uratibu) katika picha ya pamoja na
Balozi wa China nchini Tanzania Wang Ke baada ya mazungumzo yao
yaliyofanyika Ofisi kwake Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Prof. Faustin Kamuzora (Sera na Uratibu) akifafanua jambo katika kikao
na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Tanzania Wang Ke kilichofanyika
katika Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Juni, 2018.
No comments :
Post a Comment