Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye kwenye
Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) tayari kufungua Mkutano
wa Kimataifa unaohusu masuala ya Jinsia na Mahakama Afrika ulioandaliwa
na Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia, wengine
pichani kulia ni Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Hamis Juma,Waziri
wa Sheria Dkt. Palamagamba Kabudi pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.
Mrisho Gambo.
Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
No comments :
Post a Comment