Wednesday, April 25, 2018

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA


V25A2422
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A2469
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. 
V25A2462
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipongezana na Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. 
V25A2485
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Abdelilah Benryane (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A2554
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na wageni wake Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Ndg. Joseph Kusaga (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji, Multichoice Tanzania Ndg. Maharage Chande (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A2600
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza na mgeni wake Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Ndg. Joseph Kusaga (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji, Multichoice Tanzania Ndg. Maharage Chande
V25A2632
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Mkurugenzi Mtendaji, Multichoice Tanzania Ndg. Maharage Chande (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Ndg. Joseph Kusaga 
V25A2699
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoka Bunge la Malawi Mhe. Kamlepo kalua (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. Kulia ni Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, Ndg. Thomas Makiwa
V25A2755
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoka Bunge la Malawi pale ugeni huo ulipomtembelea leo ofisini kwake Mjini Dodoma, ukiongozwa na Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Kamlepo kalua (watatu kulia)
(PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments :

Post a Comment