Wednesday, April 25, 2018

SPIKA JOB NDUGAI ATEMBELEWA NA BALOZI WA UFARANSA NCHINI TANZANIA OFISINI KWAKE MJINI DODOMA


V25A3248
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na mgeni wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A3161
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza mgeni wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. 
V25A3315
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta jambo na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
  V25A3150
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A3320
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na mgeni wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A3306
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Mhe. Frederic Clavier (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
V25A3337
Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala, Mhe. Mussa Zungu (kushoto) walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma.
V25A3355
Mwenyekiti wa Bunge na Mbunge wa Ilala, Mhe. Mussa Zungu (kushoto) akimsikiliza Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Mhe. Frederic Clavier (kulia) walipokutana leo katika Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma. 
 (PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments :

Post a Comment