Rais Dkt John Pombe Magufuli
ameipandisha hadhi Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji kuanzia leo Aprili 26,
2018 katika sherehe ya miaka 54 ya Muungano .
Na pia ameagiza michakato ya
kisheria ianze mara moja na pia aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya
Dodoma ndiye atakuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma.
Dodoma inaungana na majiji mengine nchini ; Dar es Salaam,Mwanza, Arusha ,Tanga na Mbeya
No comments :
Post a Comment