Wafanyakazi wa TBL Ilala wakifuatilia mafunzo
Wafanyakazi wa Konyagi wakiwa na mabango yenye jumbe za usalama
Mtaalamu wa zimamoto akiwapiga msasa wafanyakazi wa TBL Arusha
Wafanyakazi wa TBL Mbeya wakifuatilia mafunzo
Wafanyakazi wa TBL Arusha wakifatilia mafunzo
……………….
Kampuni
ya TBL Group, chini ya kampuni mama ya ,ABInBev imeweka mikakati
kuhakikisha viwanda vyake vyote nchini vinatekeleza kanuni za Afya na
Usalama mahali pa kazi na nje ya kazi kwa viwango vya kimataifa na pia
imezindua program ya usalama kupitia mtandao inayowezesha
wafanyakazi
wake kutoa taarifa za usalama kwa njia ya simu (SAFETY APP)
Akiongelea
maadhimisho haya,Meneja usalama wa TBL Group, Khery Gunzarethy, alisema
kwa wiki nzima wafanyakazi wa kampuni wamekuwa wakipata mafunzo ya
usalama ya ndani na kutoka kwa wataalamu wa nje katika viwanda vyote
vilivyopo katika mikoa ya Dar es Salaam,Arusha,Mbeya na Mwanza.
No comments :
Post a Comment