Saturday, April 28, 2018

MKUU WA WILAYYA YA MTWARA AMWAKILISHA WAZIRI JAFO KATIKA UFUNGUZI WA MASHINDANO YA UMISETA KANDA YA KUSINI


index1
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kwa niaba ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Selemani Jafo amefungua mashindano ya UMISETA Kanda ya Kusini na kukabidhi vifaa vya michezo kwa shule 20 za sekondari zinazoshiriki katika mashindano hayo  yanayoendelea nchini kote.
INDEX2
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mh. Evod Mmanda akikagua timu baada ya kufungua mashindano ya UMISETA Kanda ya Kusini na kukabidhi vifaa vya michezo kwa shule 20 zinazoshiriki katika mashindano hayo.

No comments :

Post a Comment