Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe.
Maria kangoye akizungumza wakati wa kupitia na kujadili Bajeti ya Serikali kwa
Mwaka wa fedha 2018/2019 katika kikao kilichofanyika leo ukumbi wa Pius Msekwa
Mjini Dodoma. kushoto ni Mjumbe wa kamati hiyo Mhe. Riziki Lulidi.(PICHA NA
OFISI YA BUNGE)
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti,
Mhe. Hawa Ghasia akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo pamoja na viongozi wakuu
kutoka Wizara ya fedha na Mipango (hawapo kwenye picha) wakati wa kupitia na
kujadili Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa fedha 2018/2019. Kushoto ni Waziri wa
Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango katika kikao kilichofanyika leo
ukumbi wa Pius Msekwa Mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti,
Mhe. Hawa Ghasia akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo pamoja na viongozi wakuu
kutoka Wizara ya fedha na Mipango walioongozwa na Waziri wa fedha na Mipango,
Mhe. Dkt. Philip Mpango wakati wa kupitia na kujadili Bajeti ya Serikali kwa
Mwaka wa fedha 2018/2019, katika kikao kilichofanyika leo ukumbi wa Pius Msekwa
Mjini Dodoma.
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe.
Albert Ntabaliba akizungumza wakati wa kupitia na kujadili Bajeti ya Serikali
kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 katika kikao kilichofanyika leo ukumbi wa Pius
Msekwa Mjini Dodoma.
No comments :
Post a Comment