Pages
Monday, March 26, 2018
DC MATIRO APIGISHA KURA ZA SIRI KUBAINI WAUAJI WA MAPANGA SHINYANGA VIJIJINI
Kufuatia kuibuka kwa taarifa za kuwepo kwa mauaji ya wanawake yanayoambatana na imani za kishirikina katika kata ya Salawe wilaya ya Shinyanga, mkuu wa wilaya hiyo Josephine Matiro amefanya mkutano na wananchi wa eneo hilo kwa ajili ya kutafuta chanzo na ufumbuzi kumaliza mauaji hayo.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

No comments :
Post a Comment