Pages
Sunday, February 18, 2018
MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI LA KIWANDA CHA MIFUKO NA STEEL WIRE MAGU
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha Lakairo Industries, Daniel Lameck wakati alipotembelea na
kukagua uzalishaji wa mifuko na steel wire kwenye kiwanda hicho, eneo
la Isangijo wilayani Magu Februari 17, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha Lakairo Industries, Daniel Lameck wakati alipotembelea na
kukagua uzalishaji wa mifuko na steel wire kwenye kiwanda hicho, eneo
la Isangijo wilayani Magu Februari 17, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha Lakairo Industries, Daniel Lameck wakati alipotembelea na
kukagua uzalishaji wa mifuko na steel wire kwenye kiwanda hicho, eneo
la Isangijo wilayani Magu Februari 17, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha Lakairo Industries, Daniel Lameck wakati alipotembelea na
kukagua uzalishashaji wa mifuko na steel wire kiwandani hapo, eneo la
Isangijo wilayani Magu Februari 17, 2018. Wapili kulia ni Mkuu wa mkoa
wa Mwanza, John Mongella. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la kiwanda cha Lakairo
Industries kwenye eneo la Isangijo wilayani Magu Februari 17, 2018.
Wapili kulia ni Mwenyekiti wa makampuni ya Lakairo na Mbunge wa Rorya,
Mhe. Lameck Airo, wanne kulia ni Mkurugenzi Mtendaji, Daniel Lameck.
Wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Miongella . (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipiga kakofi baada ya kuweka jiwe la msingi la
kiwanda cha Lakairo Industries kwenye eneo la Isangijo wilayani Magu
Februari 17, 2018. Wapili kulia ni Mwenyekiti wa makampuni ya Lakairo
na Mbunge wa Rorya, Mhe. Lameck Airo, wanne kuila ni Mkurugenzi Mtendaji
wa kiwanda hicho , Daniel Lameck. Wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa
Mwanza, John Miongella . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment