Pages
Sunday, February 18, 2018
MAJALIWA AKAGUA MASHAMBA BORA YA PAMBA KATIKA VIJIJI VYA KILYABOYA NA SOLWE WILAYANI KWIMBA
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi
ya Pamba, Marco Mtunga (watatu kulia) kuhusu zao la pamba lililostawi
vizuri wakati alipotembelea shamba darasa katika kijiji cha Kilyaboya
wilayani Kwimba Februari 16, 2018. Wanne kulia ni Mkuu wa mkoa wa
Mwanza, John Mongella na kushoto ni Afisa Kilimo wa wilaya ya Kwimba,
Magreth Kavalo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shamba la pamba la Bw. Dotto Masomi
(kushoto) katika kijiji cha Solwe wilayani Kwimba Februari 16, 2018,
Kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya ya Kwimba Mtemi Simon Msafiri. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shamba la pamba la Bw. Dotto Masomi
(kushoto) katika kijiji cha Solwe wilayani Kwimba Februari 16, 2018,
Kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya ya Kwimba Mtemi Simon Msafiri. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza, Dotto Masomi baada ya kutembelea
shamba la pamba la mkulima huyo katika kijiji cha Solwe wilayani Kwimba
na kufurahishwa na ubora wa shamba hilo Februari 16, 2018. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment