Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania akishuhudia barabara iliyopewa jina lake Bariadi
mjini ikiwa siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Mkoa wa
Simiyu Mhe. Anthony Mtaka pamoja na Watoto wa Mji wa Bariadi mara baada
ya hafla fupi ya Barabara kupewa jina la Samia Suluhu Avenue. (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais
No comments :
Post a Comment