Friday, January 26, 2018

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR NA BOHARI YA DAWA (MSD) WASAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO

 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),  Laurean Rugambwa Bwanakunu (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar,  Asha Ally Abdullah wakisaini hati ya makubaliano ya ushirikiano mjini Zanzibar leo. Wengine wanaoshuhudia ni wanasheria wa taasisi hizo mbili.
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),  Laurean Rugambwa Bwanakunu, akielezea namna MSD ilivyojipanga kwenye majukumu yake.
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),  Laurean Rugambwa Bwanakunu, akimkabidhi,  Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar,  Asha Ally Abdullah , mpango mkakati wa MSD, 2017-2020, ripoti ya maboresho ya MSD na kitini cha bei za bidhaa za MSD (MSD price catalogue)
Kabla ya kusaini makubaliano hayo Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD),  Laurean Rugambwa Bwanakunu (kulia) na timu yake walitembelea ghala la kuhifadhi dawa la Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar (CMS)


Na Mwandishi Wetu
 
WIZARA ya Afya ya Zanzibar na Bohari ya Dawa (MSD) wamesaini makubaliano ya ushirikiano wa MSD kuipatia wizara hiyo huduma ya kuwasambazia dawa,vifaa tiba na vitendanishi vya maabara kupitia Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar (CMS)

No comments :

Post a Comment