Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya
Dei Group International Dkt. Paul Bamutaze akizungumza na waandishi wa
Habari kuhusu Mtandao wa Kijamii wa DEIPLACES unatumika katika kutangaza
vivutio vya Utalii jana Jijini Dar es Salaam.
Meneja Bidhaa ya DEIPLACES toka
Kampuni ya Dei Group International Moses Matovu akisisitiza jambo wakati
wa hafla ya uzinduzi wa Mtandao wa DEIPLACES unatumika kutangaza
vivutio vya Utalii jana Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya
Dei Group International Dkt. Paul Bamutaze akiteta jambo na wafanyakazi
wenzake wakati wa mkutano wao na waandishi wa Habari kuhusu uliokuwa na
lengo la uzinduzi wa Mtandao wa Kijamii wa DEIPLACES unatumika kutangaza
vivutio vya Utalii jana Jijini Dar es Salaam.Kutoka kulia ni Kiongozi
wa Wandelezaji wa Bidhaa Joe Ssekono, Meneja Bidhaa Moses Matovu na
Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Yusuf Muziransa.
Kutoka kushoto ni Meneja Masoko
wa Kampuni ya Dei Group Internationa Yusuf Muziransa, Mkuu wa Biashara
wa Kampuni ya Dei Group International Dkt. Paul Bamutaze na Kiongozi wa
Wandelezaji wa Bidhaa Joe Ssekono wakimsikiliza kwa makini Meneja Bidhaa
wa Kampuni hiyo Moses Matovu (hayupo pichani) akielezea faida za
kutumia Mtandao wa Kijamii wa DEIPLACES katika kutangaza utalii jana
Jijini Dar es Salaam.
Kiongozi wa Waendelezaji wa
Biadha ya DEIPLACES toka Kampuni ya Dei Group International Joe Ssekono
akifafanua jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mtandao wa DEIPLACES
unatumika kutangaza vivutio vya Utalii jana Jijini Dar es Salaam.
Ukurasa wa Mtandao wa Kijamii wa
DEIPLACES kama unavyoonekana unapotaka kujisajili au kuingia na kuanza
kutumia. Mtandao huo unatumika kwa ajili ya kutangaza vivutio vya
utalii.
Wawakilishi wa Kampuni ya Dei
Group Internationa wakifuatilia uzinduzi wa Mtandao wa Kijamii wa
DEIPLACES jana jijini Dar es Salaam. Mtandao huo unatumika kwa ajili ya
kutangaza vivutio vya utalii.
Baadhi ya Waandishi wa habari
wakifuatilia mkutano baina yao na wawakilishi wa Kampuni ya Dei Group
International walipokuwa wanazindua Mtandao huo unatumika kwa ajili ya
kutangaza vivutio vya utalii jana Jijini Dar es Salaam. (Na Mpigapicha
Wetu)
No comments :
Post a Comment