Waziri
wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki akisaliamiana na mwakilishi wa Umoja
wa Mataifa Nchini Bw. Alvaro Rodriguez wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho
ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja
vya Leader’s Club Dar es Salaam Novemba 25,2017.
Waziri
wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki akiwaasa wadau na watanzania kujikita
katika kupambana na ukatili wa kijinsia wakati akimwakilisha Makamu wa
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16
za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s
Club Dar es Salaam Novemba 25,2017.
Niabu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile
akieleza namna Wizara inavyoshikiana na wadau na wananchi kupambana
kuondoa ukatili wa kijinsia katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za
kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s Club Dar es
Salaam Novemba 25,2017
Mkurugenzi wa Shirika la WILDAF Tanzania Dkt
Judith Odunga akitoa salamu kwa niaba ya wadau katika ufunguzi wa Maadhimisho
ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya
Leade’s Club Dar es Salaam Novemba 25,2017.
Waziri
wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki(kulia) akiteta jambo na Niabu Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine
Ndugulile(kushoto) wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za
kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika Viwanja vya Leader’s club
Kinondoni Dar es Salaam Novemba 25, 2017.
Waziri wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki akijadiliana jambo
na Mwakilishi wa Balozi wa Marekani nchini Bi Inmi Patterson wakti wa ufunguzi
wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika
viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam Novemba 25,2017
Baadhi ya wadau na wananchi wakifuatlia hotuba ya Waziri wa
Nishati Mhe. Angellah Kairuki(hayupo pichani) aliyemwakilisha Makamu wa Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga
ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam
Novemba 25,2017.
Baadhi ya wadau na wananchi wakifuatlia hotuba ya Waziri wa
Nishati Mhe. Angellah Kairuki(hayupo pichani) aliyemwakilisha Makamu wa Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga
ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam
Novemba 25,2017.
Baadhi ya wadau na wananchi wakifuatlia hotuba ya Waziri wa
Nishati Mhe. Angellah Kairuki(hayupo pichani) aliyemwakilisha Makamu wa Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga
ukatili wa kijinsia uliofanyika katika viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam
Novemba 25,2017.
Waziri wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki (watatu
kushoto waliokaa )na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile(katikati waliokaa) wakiwa katika picha ya
pamoja wadau na waharakati wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika
ufunguzi wa Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika
katika viwanja vya Leade’s Club Dar es Salaam Novemba 25,2017. (PICHA NA KITENGO CHA
MAWASILIANO WAMJW)
Baadhi
ya wananchi na wadau wa maendeleo wakiwa katika maandamano maalum ya
ufunguzi wa Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika
viwanja vya Leader’s Club Kinondoni Dar es Salaam Novemba 25, 2017.
Waziri wa Nishati Mhe. Angellah Kairuki akiwaasa wadau na
watanzania kujikita katika kupambana na ukatili wa kijinsia wakati
akimwakilisha Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa
Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia uliofanyika katika
viwanja vya Leader’s Club Dar es Salaam Novemba 25,2017.
No comments :
Post a Comment