Saturday, September 9, 2017

TIGO JAZA UJAZWE UJAZIWE ZAIDI YAFIKIA TAMATI LEO NCHINI NZIMA


Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Brigitta  Mbuya, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Ibrahim Hassan mkazi wa Goga, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Cecilia Paul mkazi wa Kimara, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam jana.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Aisha Hamisi mkazi wa Magomeni, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Sarah Lema mkazi wa Tabata, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Goodluck Mayanja, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akimkabidhi simu aina ya Tecno S1 mmoja kati ya washindi 120 waliojishindia simu kwenye promosheni ya mwisho ya Jaza Ujazwe Ujaziwe zaidi  , Amour Haji mkazi wa Mbagala, jumla ya washindi 720 wamejishindia simu  nchi nzima . Hafla hiyo ilifanyika Duka la Tigo Manzese jijini Dar Es Salaam leo.
Meneja Mawasiliano wa Tigo, Woinde Shisael akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washindi walioshinda simu aina ya Tecno S1 zilikuwa zinatolewa kwenye promosheni ya Jaza ujazwe Ujaziwe zaidi leo

No comments :

Post a Comment