Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akiwasili Tehran kushiriki hafla ya kuapishwa kwa Rais wa 12 wa Iran ambapo kwa
mujibu wa Katiba ya nchi hiyo, Rais huapishwa Bungeni na Spika.Mheshimiwa Spika
yuko Tehran kwa mwaliko wa Spika wa Bunge la nchi hiyo akiwawakilisha Maspika
wa Afrika
Mhe. Spika Job Ndugai akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii katika Bunge la Iran, Mhe Dkt, Abdolreza Aziz,wakati alipotembelea Bungeni hapo kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais wa 12 wa Iran.
No comments :
Post a Comment