Miale ya moto pamoja na moshi mzito
umeonekana katika sehemu ya uwanja huo wa Hongkou wenye uwezo wa
kuingiza mashabiki 33,000 leo asubuhi.
Picha zilizopigwa kwa simu
zinawaonyesha askari wa kikosi cha zimamoto wakikabiliana na moto huo
mkubwa ulioanza majira ya saa mbili na nusu asubuhi.
Moto ukiwa unateketeza sehemu ya uwanja wa timu ya Shanghai Shenhua
Vikosi vya zimamoto vikipambana kuuzima moto huo
No comments :
Post a Comment