Monday, February 13, 2017

TAARIFA KUTOKA KWA MKEMIA MKUU WA SERIKALI KWA WASAFIRISHAJI NA WATUMIAJI WA KEMIKALI NCHINI


mkemia
Mkemia Mkuu wa Serikali Profesa Samwel Manyelle akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya taasisi hiyo Ocean Road wakati alipotoa taarifa ya mafunzo kwa wadau wa wanaoshughulika na mambo ya kemikali kulia ni Bw. Sabanitho Mtega Mkurugenzi wa Idara ya Usimamizi na Udhibiti Kemikali.
………………………………………………………………………..
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya
mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tz
Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali  iliyo chini ya Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imekuwa ikitekeleza moja ya majukumu yake ambayo ni Sheria Namba 3 ya Udhibiti na usimamizi wa Kemikali za Majumbani na Viwandani ya mwaka 2003 . Lengo kuu la Sheria hii ni kulinda afya ya jamii na mazingira dhini ya kemikali.
Katika kutekeleza Sheria hii, Wakala hufanya Usajili na ukaguzi kwa wadau wote wanaohusika na kemikali wakiwemo waagizaji (Importers), Watengenezaji, (Producers) Wasafirishaji (Transporters), Watumiaji (users), Wanaosafirisha nje ya nchi (Exporters)  au yeyote yule anayehusika na kemikali kwa njia moja au nyingine. Pia ukaguzi unaohusisha mahali kemikali zinakotumika, zinakotunzwa au kuhifadhiwa (premises) unafanyika kila wakati.
Aidha, ili kuhakikisha kemikali zinatumika vema na kwa njia salama bila kuleta madhara kwa jamii na mazingira, Wakala imekuwa ikiandaa mafunzokwa makundi mbali mbali ya wadau wa kemikali kulingana na uhitaji wao. Miongoni mwa wadau waliopatiwa mafunzo hayo ni pamoja na Askari wa  Jeshi la Polisi Usalama barabarani Tanzania Bara, wasimamizi wa shughuli za uzalishaji kwenye viwanda, wasambazaji na wasafirishaji wa kemikali pamoja na madereva wanaosafirisha kemikali.Mpaka sasa kwa Kanda ya Mashariki wadau waliokwisha kupatiwa mafunzo ni 642, na hii ni kuanzia mwaka 2012/13-2016/2017.
Hivyo basi Wakala kupitia Kanda ya Mashariki (ambayo ni mikoa ya Dar es salaam na Pwani) imeandaa mafunzo tena kwa makundi yafuatayo:
  1. Mafunzo kwa ajili ya Wasimamizi wa shughuli zinazohusisha kemikali (Supervisors and Chemical handlers) – Tarehe 21/02/2017- 22/02/2017
  2. Mafunzo kwa ajili Mawakala wa Forodha (Clearing and Forwading Agents) – Tarehe 23-24/02/2017
  3. Mafunzo kwa ajili ya Madereva wanaosafirisha kemikali- Tarehe 10-11/03/2017
 Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku mbili kwa kila kundi. Mtu ambaye hajapata mafunzo  haruhusiwi kisheria kufanya kazi zinazohusu kemikali. Kwa sababu hiyo, yeyote anayejihusisha na kemikali kwa njia yeyote anatakiwa kupitia mafunzo hayo.
Wakala haitaruhusu madau ambaye hajapitia mafunzo haya kuhusika katika shughuli yoyote ya kemikali iwe kutumia, kuhifadhi, kusafirisha, kutoa bandarini na hata kuagiza kutoka nje ya nchi. Ili kutekeleza matakwa ya Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa kemikali ni vema kuwahi kuhudhuria mafunzo haya ili kuepuka usumbufu utakaoweza kujitokeza.
Maelezo zaidi kuhusu mafunzo haya yanaweza kupatika katika Tovuti ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali ambayo ni www.gcla.go.tzv

No comments :

Post a Comment