Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akifundi somo la Uraia kwa wanafunzi wa kidato cha tano shule ya sekondari Sadani wilaya ya Mufindi leo baada ya kufanya ziara shuleni hapo
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza akifundisha somo la urai |
Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akipokelewa shule ya sekondari Sadani |
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Wiliam Jamhuri akimkaribisha mkuu wa mkoa wa Iringa |
Watalam wa mkoa wa Iringa |
Walimu na viongozi wa wilaya ya Mufindi |
Watumishi wakimsikiliza mkuu wa mkoa |
Mkuu wa shule ya sekondari Sadani Mufindi Yusuph Mwagala |
Mkuu wa shule ya sekondari Sadani Mufindi Yusuph Mwagala akipongezwa na mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza |
Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza na mkuu wa wilaya ya Mufindi Wiliam Jamhuri wakifungua daharia ya wasichana shule ya sekondari Sadani |
Rc akikagua daharia hiyo |
Bwalo la chakula Sadani Sekondari ambalo linahitaji wadau kuchangia ili kukamilika |
Rc Mwalimu Masenza akitoka kukagua bwalo hilo |
Mwanafunzi wa kidato cha sitta Sadani sekondari Sagendo Fadhili akijibu maswali ya mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza |
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza akiendelea kufundisha wanafunzi wa kidato cha nne shule ya sekondari sadani |
Mkuu wa mkoa wa Iringa mwalimu Amina Masenza akiwa na mkuu wa shule ya Sadani katikati na mkuu wa wilaya ya Mufindi Bw Wiliam Jamhuri kushoto |
Walimu wa Sadani Sekondari wakifurahia ziara ya mkuu wa mkoa shuleni hapo na kuomba kusaidiwa kusogezewa umeme wa Rea shuleni hapo |
Mwalimu Masenza mkuu wa mkoa wa Iringa akiteta na walimu wenzake wa shule ya sekondari Sadani Mufindi |
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mwalimu Amina Masenza (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari Sadani |
Na MatukiodaimaBlog
MKUU wa mkoa wa
Iringa Amina Masenza amelazimika kuingia darasani kufundisha kama njia ya kuwataka walimu kuwajibika kufundisha huku akiuagiza
uongozi wa wilaya ya Mufindi kuhakikisha wanaweka mikakati
itakayoiwezesha shule ya sekondari ya
Sadani kuingia katika nafasi ya 10 bora
katika mitihani ya kitaifa mwakani 2018.
Iringa Amina Masenza amelazimika kuingia darasani kufundisha kama njia ya kuwataka walimu kuwajibika kufundisha huku akiuagiza
uongozi wa wilaya ya Mufindi kuhakikisha wanaweka mikakati
itakayoiwezesha shule ya sekondari ya
Sadani kuingia katika nafasi ya 10 bora
katika mitihani ya kitaifa mwakani 2018.
Huku akichangia
kiasi cha Tsh milioni 1 kwa ajili
ya ujenzi wa bweni la wanafunzi shuleni hapo
kama sehemu ya maandalizi ya shule
hiyo kujiandaa kuwa shulebora kitaifa.
kiasi cha Tsh milioni 1 kwa ajili
ya ujenzi wa bweni la wanafunzi shuleni hapo
kama sehemu ya maandalizi ya shule
hiyo kujiandaa kuwa shulebora kitaifa.
Mkuu huyo wa mkoa ametoa agizo hilo leo wakati wa ziara yake ya
ukaguzi na ufunguzi wa bweni la
wanafunzi wa kike katika
shule hiyo,kuwa kutokana na
mkoa wa
Iringa kufanya vema katika
mitihani ya Kitaifa ya
kidato cha nne kwa
kuwa mkoa wa pili kitaifa ila bado wilaya ya Mufindi inapaswa kuhakikisha shule hiyo
kuwa kati ya shule 10 bora kitaifa .
ukaguzi na ufunguzi wa bweni la
wanafunzi wa kike katika
shule hiyo,kuwa kutokana na
mkoa wa
Iringa kufanya vema katika
mitihani ya Kitaifa ya
kidato cha nne kwa
kuwa mkoa wa pili kitaifa ila bado wilaya ya Mufindi inapaswa kuhakikisha shule hiyo
kuwa kati ya shule 10 bora kitaifa .
Alisema kuwa moja katika ya maagizo ambayo anataka
mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mufindi kufanya ni kuandaa
mkataba maalum, kati ya waslimu
wa shule hiyo ya mkurugenzi
mkataba ambao atausaini kwa ajili ya
ofisi yake na mkuu wa wilaya ya Mufindi kuingia mkataba iwapo watashindwa kuingia katika shule 10 bora basi watamtafuta aliyekwamisha
mkataba illi achukuliwe hatua.
mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mufindi kufanya ni kuandaa
mkataba maalum, kati ya waslimu
wa shule hiyo ya mkurugenzi
mkataba ambao atausaini kwa ajili ya
ofisi yake na mkuu wa wilaya ya Mufindi kuingia mkataba iwapo watashindwa kuingia katika shule 10 bora basi watamtafuta aliyekwamisha
mkataba illi achukuliwe hatua.
“ Mkataba hii itakuwa
kwa walimu wote wa mkoa wa Iringa ili kupima uwezo wa walimu katika kutimiza wajibu waokatika utendaji kazi ili kama mwalimu asiyewajibika basi kukaa pembeni ili kupisha mwalimu ambae
anafanya kazi kwa ari ya kujituma zaidi”
kwa walimu wote wa mkoa wa Iringa ili kupima uwezo wa walimu katika kutimiza wajibu waokatika utendaji kazi ili kama mwalimu asiyewajibika basi kukaa pembeni ili kupisha mwalimu ambae
anafanya kazi kwa ari ya kujituma zaidi”
Hata hivyo aliwataka
walimu kufanya kazi kwa kutimiza
wajibu wao badala ya kufanya kazi
kwa mazoea kwa kukimbilia
kudai haki zao badala ya kufuata
taratibu.
walimu kufanya kazi kwa kutimiza
wajibu wao badala ya kufanya kazi
kwa mazoea kwa kukimbilia
kudai haki zao badala ya kufuata
taratibu.
Alisema wapo baadhi ya
walimu wanalalamika kudai
haki zao
ila wamekuwa wakiendea kutibiwa
nje ya mkoa bila
hata ya kufuata taratibu za
kuandika barua na kuwataka kuzingatia
taratibu za kazi kwa kutunza kumbukumbu
mbali mbali katika mafaili yao.
walimu wanalalamika kudai
haki zao
ila wamekuwa wakiendea kutibiwa
nje ya mkoa bila
hata ya kufuata taratibu za
kuandika barua na kuwataka kuzingatia
taratibu za kazi kwa kutunza kumbukumbu
mbali mbali katika mafaili yao.
Kuhusu ujenzi bweni
na umaliziaji wa bwalo la chakula shuleni hapo
aliagiza mkuu wa
wilaya kuitisha kikao na wafanyabiashara ili
kusaidia ujenzi huo na shughuli za
kimaendeleo shuleni hapo.
na umaliziaji wa bwalo la chakula shuleni hapo
aliagiza mkuu wa
wilaya kuitisha kikao na wafanyabiashara ili
kusaidia ujenzi huo na shughuli za
kimaendeleo shuleni hapo.
Pia alipongeza
jitihada kubwa zinazofanywa na uongozi wa shule hiyo
chini ya mkuu wake Yusuph Mwagala
kutokana na kuendelea kufanya shule
hiyo kuwa mbeli kielimu pamoja na maendeleo mengine
jitihada kubwa zinazofanywa na uongozi wa shule hiyo
chini ya mkuu wake Yusuph Mwagala
kutokana na kuendelea kufanya shule
hiyo kuwa mbeli kielimu pamoja na maendeleo mengine
Awali mkuu wa shule
hiyo Bw Mwagala alisema kuwa
shule hiyo imeendelea
kufanya vema katika nafasi ya kimkoa na
kitaifa ambapo mwaka
2015 katika matokeo ya kidato
cha nne ilishika nafasi ya 64 kati ya shule 131 kimkoa na kiwilaya
ilishika nafasi ya 26 kati ya shule 54
wakati kwa mwaka huu imeshika nafasiya
25 kati ya shule 152 kimkoa na nafasi ya
8 kati ya 42 kiwilaya
hiyo Bw Mwagala alisema kuwa
shule hiyo imeendelea
kufanya vema katika nafasi ya kimkoa na
kitaifa ambapo mwaka
2015 katika matokeo ya kidato
cha nne ilishika nafasi ya 64 kati ya shule 131 kimkoa na kiwilaya
ilishika nafasi ya 26 kati ya shule 54
wakati kwa mwaka huu imeshika nafasiya
25 kati ya shule 152 kimkoa na nafasi ya
8 kati ya 42 kiwilaya
Pia alisema mbali ya mafanikio katika elimu
bado shule hiyo inakabilia na changamoto mbali mbali
kamaupungufu wa mabweni ya
wanafunzi wa kidato cha tano na
sita upungufu ambao unatokana
na ongezeko kubwa
la udahiri wa
wanafunzi wa kidato cha tano
kulingana na miundo mbinu iliyopo kabla ya kuanzisha kidato cha tano na
sita ,upungufu na uchakavu wa
vyumba vya madarasa,ukosefu wa
umeme ,ukosefu wa bwalo la
chakula, upungufu wa walimu 8 wa masomo ya sayansi ,walimu watatu wa somo la biolojia, walimu wawili
wa masomo ya fizikia ,walimu
watatu wa kemia na
hesabu mwalimu mmoja ,ukosefu
wa maabara ya biolojia.
bado shule hiyo inakabilia na changamoto mbali mbali
kamaupungufu wa mabweni ya
wanafunzi wa kidato cha tano na
sita upungufu ambao unatokana
na ongezeko kubwa
la udahiri wa
wanafunzi wa kidato cha tano
kulingana na miundo mbinu iliyopo kabla ya kuanzisha kidato cha tano na
sita ,upungufu na uchakavu wa
vyumba vya madarasa,ukosefu wa
umeme ,ukosefu wa bwalo la
chakula, upungufu wa walimu 8 wa masomo ya sayansi ,walimu watatu wa somo la biolojia, walimu wawili
wa masomo ya fizikia ,walimu
watatu wa kemia na
hesabu mwalimu mmoja ,ukosefu
wa maabara ya biolojia.
MWISHO
No comments :
Post a Comment