Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mabalozi mbalimbali
wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini katika Sherehe za Mwaka mpya kwa
Mabalozi(New Diplomatic Sherry Party) Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga katika picha ya
pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini mara
baada ya kuwahutubia katika Sherehe za Mwaka mpya kwa Mabalozi(New
Diplomatic Sherry Party) Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments :
Post a Comment