Sunday, February 12, 2017

MKOA WA RUVUMA UMEANZA MCHAKATO WA UANZISHWAJI WA BENKI YA WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA.


RUVUMA GUO

MKOA wa Ruvuma umeanza mchakato wa uanzishwaji wa Benki ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.Uanzishwaji wa benki ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma ni utekelezaji wa maagizo ya Waziri Mkuu ambaye ameagiza kila mkoa hapa nchini uwe na Benki ya wananchi ili kusogeza huduma za kifedha kwa wananchi. Utafiti uliofanyika mwaka 2013 unaonesha kuwa ni asilimia 15 tu ya watanzania wanaotumia huduma za kibenki huku asilimia 85 wakikosa huduma hizo.Habari kamili tizama hii video

No comments :

Post a Comment