MKOA WA RUVUMA UMEANZA MCHAKATO WA UANZISHWAJI WA BENKI YA WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA.
MKOA wa Ruvuma umeanza mchakato wa
uanzishwaji wa Benki ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma.Uanzishwaji wa benki
ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma ni utekelezaji wa maagizo ya Waziri Mkuu
ambaye ameagiza kila mkoa hapa nchini uwe na Benki ya wananchi ili
kusogeza huduma za kifedha kwa wananchi. Utafiti uliofanyika mwaka 2013
unaonesha kuwa ni asilimia 15 tu ya watanzania wanaotumia huduma za
kibenki huku asilimia 85 wakikosa huduma hizo.Habari kamili tizama hii
video
No comments :
Post a Comment