Mchungaji
wa Kanisa la Ufunuo, Nabii Paul Bendera akiongoza ibada katika kanisa
hilo lililoko Kimara jijini Dar es Salaam kabla ya kumkaribisha mgeni
rasmi Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita Charles kuzumgumza na waumini wa kanisa la ufunuo aliposhiriki ibada ya jumapili leo.
Mchungaji wa kanisa la Ufunuo, Nabii Paul Bendera (kushoto) akimtambulisha mgeni rasmi kwa waumini Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita Charles kuzumgumza na waumini wa kanisa la ufunuo na kujumuika kwenye ibada ya jumapili leo.
Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita Charles akizungmza na waumini wa kanisa la Ufunuo wakati aliposhiriki ibada ya jumapili.
Waumini wa kanisa la Ufuno wakipiga makofi kumpongeza Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita Charles wakati akizunguza.
Waumini wa kanisa la ufunuo wakishikishiriki kwenye ibada.
Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita (kulia) pamoja na Mchungaji wa kanisa la Ufunuo, Nabii Paul Bendera
(katikati) wakiwa kwenye ibada ya jumapili.
(katikati) wakiwa kwenye ibada ya jumapili.

Waumini wakiwa kwenye maombi ya ibada ya jumapili .
Meya wa jiji la Dar es Salaam, Isaya
Mwita akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya
kushiriki ibada ya jumapili kwenye kanisa la ufunuo lililoko kimara
jijini Dar es Salaam.
Mchungaji wa kanisa la Ufunuo, Nabii Paul Bendera akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
…………………..
Meya wa jiji la Dar es salaam Isaya Mwita amewasihi
wazazi kushirikiana na serikali katika maswala ya elimu ili kuweza
kutatua tatizo la kufeli katiaka shule za Serikali.
Kauli hiyo ameitoa leo hii wakati akifanaya aliposhiriki ibada katika Kanisa la Ufunuo linaloogozwa na Nabii Paulo Bendera, lililopo Kimara Jijini Dar es salaam amesema wazazi wanatakiwa kuchunguza watoto wao katika masomo kwakuwa baadhi ya watoto wanaaga wanakwenda shule lakini hawafiki hivyo inapelekea watoto kutokufanya vizuri.
”Nawasii wazazi na walezi waendelee kushirikiana na serikali pamoja na bodi ilikuweza kupunguza matokeo mabaya katika mkoa wetu lakini wazazi wawakataze watoto wao kutumia simu kwa sababu watoto wengi wanatumia simu muda mwingi kuliko muda wa kusoma”amesema Mwita
Nae Mchungaji wa kanisa hilo la Ufunuo Nabii Bendera ameliombea Taifa amani na kuwahasa watanzania kushirikiana ili waweze kuwa na maendeleo ya kiuchumi.
” Nawaomba watanzania waandelee kuitunza amani na kuwaombea viongozi wetu kwakuwa tusipokuwa na amani na ushirikiano hatutoweza kufikia maendeleo tunayo yaitaji” amesema Bendera
Kauli hiyo ameitoa leo hii wakati akifanaya aliposhiriki ibada katika Kanisa la Ufunuo linaloogozwa na Nabii Paulo Bendera, lililopo Kimara Jijini Dar es salaam amesema wazazi wanatakiwa kuchunguza watoto wao katika masomo kwakuwa baadhi ya watoto wanaaga wanakwenda shule lakini hawafiki hivyo inapelekea watoto kutokufanya vizuri.
”Nawasii wazazi na walezi waendelee kushirikiana na serikali pamoja na bodi ilikuweza kupunguza matokeo mabaya katika mkoa wetu lakini wazazi wawakataze watoto wao kutumia simu kwa sababu watoto wengi wanatumia simu muda mwingi kuliko muda wa kusoma”amesema Mwita
Nae Mchungaji wa kanisa hilo la Ufunuo Nabii Bendera ameliombea Taifa amani na kuwahasa watanzania kushirikiana ili waweze kuwa na maendeleo ya kiuchumi.
” Nawaomba watanzania waandelee kuitunza amani na kuwaombea viongozi wetu kwakuwa tusipokuwa na amani na ushirikiano hatutoweza kufikia maendeleo tunayo yaitaji” amesema Bendera









No comments :
Post a Comment