Wasanii wapewa warsha juu ya masuala ya Ukombozi wa Mwanamke
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian
Liundi (kulia) akifungua Warsha ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa
Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika
sekta ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika
jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao. Mkurugenzi
Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Lilian Liundi
(kulia) akifungua Warsha ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa
Mwanamke Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta
ya Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika
jijini Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao.Majadiliano katika warsha hiyo yakiendelea.Baadhi ya maofisa wa TGNP Mtandao wakiwa katika warsha hiyo.Baadhi
ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke
Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya
Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini
Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao.Baadhi
ya washiriki wa washa ya Wasanii Juu ya Masuala ya Ukombozi wa Mwanamke
Kimapinduzi hasa kwa kuangalia vipaumbele vya TGNP katika sekta ya
Afya, Maji, Elimu, Kilimo na Viwanda. Warsha hiyo iliyofanyika jijini
Dar es Salaam iliandaliwa na TGNP Mtandao.
No comments :
Post a Comment