Wednesday, August 24, 2016

TETEMEKO KUBWA LA ARDHI LAUWA WATU WAPATAO 10 NCHINI IT

KOREA KUSINI YATOA BILIONI NNE KUJENGA KITUO CHA TAARIFA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI .

Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo kwa Afrika katika Bunge la Korea Kusini wakiwasili katika uwanja mdogo wa ndege uliopo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Korea Kusini wakitizama picha ya Hayati Baba wa Taifa ,Mwl Julius K. Nyerere akiwa na rafiki yake Prof,Dkt Bernhard Grzimek huku wakipata maelezo kutoka kwa Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ,William Mwakilema.
Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Korea Kusini wakipata maelezo katika michoro ya kituo cha kisasa cha taarifa katika Hifadhi ya taifa ya Serengeti.
Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ,William Mwakilema (kushoto) akizungumza na Wajumbe wa kamati ya Maendeleoo ya Afrika ya Bunge la Korea Kusini waliofika katika Hifadhi hiyo kwa ajili ya ufuatiliaji wa maenedeleo ya kuanza kwa mradi wa ujenzi wa kituo cha kisasa cha Taarifa katika Hifadhi hiyo.

ATAKAYEVAMIA MSITU FAINI MIL. 70, JELA MIAKA SABA- MAJALIWA

LIVERPOOL YACHARUKA KATIKA KOMBE LA EFL

MSICHANA RAIA WA UINGEREZA AUWAWA KWA KUPIGWA KISU NCHINI AUSTRALIA

RAIS DKT. MAGUFULI AMTEUA DKT. MODESTUS FRANCIS KIPILIMBA KUWA MKURUGENZI MKUU WA IDARA YA USALAMA WA TAIFA

CHELSEA YASONGA MBELE KOMBE LA EFL

MAJALIWA AANZA ZIARA MKOANI RUKWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua vitanda katika wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi baada ya kuizindua akiwa kataika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Hospitali Teule ya wilaya ya Nkansi baada ya kufungua wodi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Sabasaba mjini Nkansi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa, Agosti 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Baadhi ya watumishi wa Halmashauri na mkoa wa Rukwa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa St Maurus mjini Sumbawanga Agosti 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

HAKUNA MWANASIASA ATAKAYERUHUSIWA KUVURUGA AMANI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inalinda amani ya nchi kwa gharama zozote na kamwe haitoruhusu mwanasiasa yeyote kusababisha vurugu zitakazochochea uvunjifu wa amani.

No comments :

Post a Comment