KOREA KUSINI YATOA BILIONI NNE KUJENGA KITUO CHA TAARIFA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI .
Wajumbe
wa Kamati ya Maendeleo kwa Afrika katika Bunge la Korea Kusini
wakiwasili katika uwanja mdogo wa ndege uliopo katika Hifadhi ya Taifa
ya Serengeti.
Ujumbe
wa Wabunge wa Bunge la Korea Kusini wakitizama picha ya Hayati Baba wa
Taifa ,Mwl Julius K. Nyerere akiwa na rafiki yake Prof,Dkt Bernhard
Grzimek huku wakipata maelezo kutoka kwa Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya
Taifa ya Serengeti ,William Mwakilema.
Ujumbe wa Wabunge wa Bunge la Korea Kusini wakipata maelezo katika
michoro ya kituo cha kisasa cha taarifa katika Hifadhi ya taifa ya
Serengeti.
Mhifadhi
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ,William Mwakilema (kushoto)
akizungumza na Wajumbe wa kamati ya Maendeleoo ya Afrika ya Bunge la
Korea Kusini waliofika katika Hifadhi hiyo kwa ajili ya ufuatiliaji wa
maenedeleo ya kuanza kwa mradi wa ujenzi wa kituo cha kisasa cha Taarifa
katika Hifadhi hiyo.
ATAKAYEVAMIA MSITU FAINI MIL. 70, JELA MIAKA SABA- MAJALIWA
MAJALIWA AANZA ZIARA MKOANI RUKWA
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua vitanda katika wodi mpya ya Hospitali
Teule ya Wilaya ya Nkansi baada ya kuizindua akiwa kataika ziara ya mkoa
wa Rukwa Agosti 23, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na wapili kushoto
ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Hospitali Teule ya wilaya ya
Nkansi baada ya kufungua wodi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti
23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa
Sabasaba mjini Nkansi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa, Agosti 23,
2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Baadhi
ya watumishi wa Halmashauri na mkoa wa Rukwa wakimsikiliza Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa St
Maurus mjini Sumbawanga Agosti 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
No comments :
Post a Comment