Wednesday, August 24, 2016

MKURUGENZI MKUU MPYA IDARA YA USALAMA WA TAIFA ATEULIWA, NI DKT.MODESTUS FRANCIS KIPILIMBA



Mkurugenzi Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt.Modestus Francis Kipilimba

 Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idaraya Usalama wa Taifa, Rashid Othman
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete, (katikati), na Waziri wa Mambo ya Nje yaUshirikiano wa Kimataifa wa serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe, (kulia), wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara yaUsalama wa Taifa, Rashid Othman, wakati wa kikao cha usuluhishi wa mzozowa Burundi Ikulu jijini Dar es Salaam, 2015. (Maktaba ya K-VIS


NA K-VIS MEDIA, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) umeamua kuongeza safari ya tatu ya treni ya abiria ya kawaida kwenda bara ambayo itaondoka Dar es Salaam kila Jumapili, safari ya kwanza itakuwa Jumapili hii ya Septemba 04, 2016 saa 9 alasiri.
 Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi mkoani  Rukwa Agosti 23, 2016. Wanaoshuhudia tendo hilo wapili kushoto ni mkewe Mary, wakwanza kulia  Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene, na . (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)

Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akikagua vitanda katika wodi mpya ya Hospitali Teule ya Wilaya ya Nkansi baada ya kuizindua akiwa kataika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016. Kushoto kwake ni mkewe Mary na wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Zelote Stephene. 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Hospitali  Teule ya wilaya ya Nkansi baada ya kufungua wodi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa Agosti 23, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Sabasaba mjini  Nkansi akiwa katika ziara ya mkoa wa Rukwa, Agosti 23, 2016

Baadhi ya wananchi na askari wilayani Nkansi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Sabasaba mjini  Nkansi, Agosti 23,

Ukosefu wa maarifa na taarifa sahihi wa vipindi vya mabadiliko maisha ya vijana husababisha uwezekano wa kupotoka kimaadili kwa kufanya mafunzo kwa vitendo na kuathiri makuzi bora.

Akitoa mafunzo kwa wanafunzi wanaounda vikundi vya kutayarisha vipindi vya redio kwa ajili kupaza sauti zao kuieleza Jamii kuhusu hali zao mashuleni, mamlaka mbalimbali, majumbani na katika Jamii wilayani Sengerema na Pangani, Afisa Mtaalam masuala ya Afya wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Herman Mathias alisema kwamba changamoto nyingi zinazoathiri makuzi ya kimaadili kwa vijana ni kutopewa maarifa na taarifa sahihi jinsi ya kutumia miili yao bila kuathiri ndoto zao.

“Vijana wengi wameshindwa kufikia ndoto zao kutokana na kutomaliza shule kwa sababu hawajui namna ya kufanya maamuzi sahihi kutumia fursa walizo nazo”, alisema Herman Mathias.

Mwezeshaji Herman Mathias kutoka UNESCO akitoa somo kwa washiriki wa Shule za Sekondari Sengerema.

Ili kufikia malengo ya ndoto zao Afisa huyo wa UNESCO alisema vijana wanahitaji kusoma kwa bidii na kuhitimisha mzunguko wa elimu, kuwa na tabia njema kwa kuepuka vishawishi vya mtaani hususan kuvuta bangi na matumizi ya vileo, utoro na matumizi ya lugha mbaya.

Alizitaja tabia njema nyingine pamoja na kuepuka tabia za kimapenzi yanayoweza kusababisha magonjwa ya zinaa, maambikizi ya virusi vya UKIMWI na ujauzito na upatikanaji wa malezi yanayojali nafasi na muda wa m

No comments :

Post a Comment