Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu), Jenista Mhagama (kulia) akipokelewa na Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara mara baada ya kuwasili katika banda la Shirika hilo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunga, Kazi, Ajira Vijana na Wenye ulemavu, Jenista Mhagama akisalimiana naOfisa Uhusiano wa NSSF, Devota.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge, Kazi, Ajira Vijana na Wenye
ulemavu, Jenista Mhagama (wa pili kulia), akipata maelezo kutoka kwa Meneja
Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume (kulia), wakati
alipotembelea banda la NSSF kwenye maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa
katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara.
Waziri Jenista Mhagama akiangalia Kadi ya mwanachama aliyejiunga na NSSF.
Waziri Jenista Mhagama akizungumza na waandishi wa habari.
No comments :
Post a Comment