Wednesday, July 6, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA BARAZA LA EID EL FITRI JIJINI DAR ES SALAAM



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Sheikhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Alhadi Mussa Salum mara baada ya kuwasili
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya Baraza la Eid Elfitri
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara baada ya kuwasili.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli(katikati) akifurahia jambo na Mufti Mkuu Sheikh Aboubakar Zubeir(kulia) pamoja na Waziri Mkuu Kassim majaliwa(kushoto) wakati walipokuwa wakisiliza ujumbe wa Kaswida katika baraza la Eid Elfitri.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli(kulia) akijadiliana jambo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa(kushoto) katika Baraza la Eid Elfitri.
 Mufti Mkuu Sheikh Aboubakar Zubeir akimshukuru Rais Dkt. Magufuli mara baada ya kuhutubia katika Baraza hilo
 Waumini wa dini ya kiislamu wakifatilia kaswida iliyokuwa ikiimbwa katika viwanja hivyo vya Karimjee.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Mufti Mkuu Sheikh Aboubakar Zubeir

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika baraza hilo la Eid Elfitri
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika baraza hilo la Eid Elfitri

 Baadhi ya viongozi mbalimbali wakifatilia hotuba hiyo ya mgeni rasmi.
 Rais John Magufuli akizungumza na mtoto Asma Maulid baada ya kuhutubia Baraza la Idi kwenye  ukumbi wa Karimjee 
 Rais John Magufuli akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislam waliohudhuria  Baraza la Idi alilolihutubia kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikhe Aboubakar Zubeir wakati alipowasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya Baraza la Eid El fitri lililofanyika katika viwanja hivyo.

 Mkurugenzi wa Shirika la Numba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maonyesho ya TANTRADE Sabasaba yanayoendelea katika viwanja hivyo vilivyopo barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam ambapo ameelezea uendelezaji na uuzaji wa nyumba katika maeneo mbalimbali unaoendelea katika miradi yao iliyopo nchi nzima.
  Mkurugenzi wa Shirika la Numba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akifafanua jambo kuhusu mipango ya shirika hilo wakati akizungumza na wanahabari katika banda la maonyesho ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya TANTRADE barabara ya Kirwa.
 Clara  Lumbanga Ofisa Maeneleo ya Biashara NHC akimuangalia mmoja wa wananchi waliotembelea katika banda hilo wakati alipokuwa akisaini kitabu cha wageni.
  Mkurugenzi wa Shirika la Numba la Taifa NHC Bw. Nehemia Mchechu akifurahia jambo na baadhi ya wateja waliotembelea katika banda hilo.
  Clara  Lumbanga Ofisa Maeneleo ya Biashara NHC akitoa maelezo kwa wananchi mbalimbali waliotembelea katika banda la Shirika la Nyumba la Taifa NHC.
  Clara  Lumbanga Ofisa Maeneleo ya Biashara NHC akipokea wageni mbalimbali waliofika katika banda hilo ili kujionea shughuli mbalimbali za shirika hilo.
Bw. Emmanuel Lyimo Ofisa Utafiti wa Masoko akizungumza na Mkurugenzi wa Blogu ya Fullshangweblog Bw. John Bukuku wakati alipotembelea katika banda la NHC.
 Clara  Lumbanga Ofisa Maendeleo ya Biashara NHC akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa shirika la NHC wanaoshiriki katika maonyesho ya TANTRADE yanayofanyika kwenye uwanja wa Sabasaba jijini Dar es salaam katika barabara ya Kirwa.


Watoto wakishiriki swala hiyo.
Sheikh Zaki akiwasalimia waumini wenzake waliokuwepo kwenye swala hiyo.
Ibada ikiendelea.
Swala ikifanyika katika viwanja hivyo vya Mwembe Yanga.
Sheikh Abdulkadir Mohamed akiongoza swala ya Ed El- Fitr.
Waumini wa dini ya kiislam wakiswali kuhitimisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan
Waumini wa dini ya Kiislam wakiswali kwa unyenyekevu mkubwa katika swala hiyo.

 Mkurugenzi wa Majanga wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Uphoo Swai, akimkabidhi Kitambulisho Clara Benard,  mmoja kati ya wanachama wapya waliojiunga na Mfuko wa PPF kupitia huduma ya Wote Scheme, katika Banda la PPF kwenye Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Picha na Mafoto Blog
 Meneja Uhusiano Lulu Mengele na Meneja Masoko Elihuruma Ngowi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakiwahudumia baadhi ya wanachama waliojiunga na huduma ya Wote Scheme, katika Banda la PPF.
 Mkurugenzi wa Majanga wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Uphoo Swai, akimkabidhi Kitambulisho Mwita Bony,  mwanachama mpya aliyejiunga na Mfuko wa PPF.
 Afisa Uendeshaji wa Kanda ya Temeke, Sosteness Lyimo, akiwahudumia baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la PPF leo.
 Mkurugenzi wa Majanga wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Uphoo Swai, akimkabidhi Kitambulisho Mtani Manoko,  mwanachama mpya aliyejiunga na Mfuko wa PPF.
  Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani wa PPF, Bw. Hosea Kashimba (kushoto) na Mkurugenzi wa Majanga, Uphoo Swai (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wapya waliojiunga na Mfuko wa PPF leo.
 Maafisa wa Mfuko wa PPF,  Mwajuma Msina na Pauline Msanga, wakiwahudumia wateja waliotembelea kwenye Banda hilo, leo.
 Maafisa wa Mfuko wa PPF, wakiwahudumia wateja waliofika kujua michango yao.
 Mkurugenzi wa Majanga wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Uphoo Swai, akimkabidhi Kitambulisho Filipa Sylvester, mwanachama mpya aliyejiunga na Mfuko wa PPF.
Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani wa PPF, Bw. Hosea Kashimba (wa saba kutoka kulia) na Mkurugenzi wa Majanga, Uphoo Swai (wa saba kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa PPF wakiwa na Tuzo yao waliyokabidhiwa kwenye Maonesho ya Biashara Kimataifa. 
 Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mrishom Mpoto, (kushoto), akimuhudumia mwanachama huyu aliyefika banda la Mfuko huo lililoko jengo la Wizara ya Fedha na Mipango kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016 ambako kunafanyika maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam. Mfuko huo umezidi kujizolea wanachama wapya na hivyo kuongeza idadi ya wachangiaji. (PICHA NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said)

Joseph Lyimo, (kushoto), Afisa Mkuu wa Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, akimkabidhi kadi ya uanachama mwanachama Gilbert Nsumba, kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016


Afisa Operesheni Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kitengo cha ulipaji mafao, Murwa Clara Kihore, (kulia), akiwapa maeelzo wanachama hawa wa PSPF Maafisa wa polisi, kuhusu masuala yahu uchangiaji na michango kwenye Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye banda la Mfuko huo kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jingo la Wizara ya Fedha na Mipango Julai 5, 2016


Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Catherine Salema, akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko huo kupitia mpango wa uchangiaji wa hiari (PSS), Mtashobya E Mukebezi, kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016



Lupakisye Mwaipungu, (kushoto), Afisa Kumbukumbu  wa Mfuko wa Pensehni wa PSPF, aimkabidh kadi ya uanachama wa Mfuko huo kupitia mpango wa PSS, Paulo Elisa Kiombo kwenye banda la Mfuko huo wakati wa maonyesho ya  40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016

 Balozi wa PSPF, Mrisho Mpoto, (waliokaa wapili kulia), akimsikiliza mwanachama huyu aliyetembelea banda la PSPF wakati balozi huyo alipofika kuwapiga kukipiga "tafu" kikosi kazi cha PSPF kilichoweka kambi kwenye maonyesho hayo Julai 5, 2016
 Balozi wa PSPF, Mrisho Mpoto, akizungumza kwenye mkusanyiko wa uhamasishaji wananchi kujiunga na PSPF kwenye maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016
 Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi, (kulia), akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkusanyiko wa kuhamasisha umma kujiunga na Mfuko huo kwenye maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam Julai 5, 2016
 Hadji Jamadari, Afisa Mkuu wa Operesheni wa Mfuko wa Pensehni wa PSPF, kiongoza kikundi cha wasanii maarufu Banana Zoro (aliyepanda farasi) na balozi wa Mfuko huo Mrisho Mpoto kuelekea eneo la kuhamasisha umma kujiunga na Mfuko huo Julai 5, 2016
 Msanii wa kikundi cha Mjomba kinachomolikiwa na Balozi wa PSPF, Mrisho Mpoto akifanya vitu vyake wakati wa kuhamasisha umma kujiunga na Mfuko huo



Afisa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Catherine Salema, akimpatia maelezo mwananchi huyu aliyetembelea banda la Mfuko huo Julai 5, 2016
 Afisa wa PSPF, Penzila Kaisi, (kushoto), akimpatia maelezo ya ufafanuazi kuhusu shughuli zzitolewazo na Mfuko huo kwa mwananchi huyu aliyetembelea banda la Mfuko lililoko kwenye jengo la wizara ya fedha na mipango Julai 5, 2016
 Meneja wa Mpango wa uchangiaji wa Hiari (PSS), wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mwanjaa Sembe (Kushoto), akimkabidhi kadi ya uanachama wa Mfuko huo, mwanachama mpya kupitia mpango wa PSS kwenye mkusanyiko wa kuhamasisha umma kujiunga na mpango huo kwenye maonyesho ya 40 ya Biashara ya Kimartaifa ya Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, Julai 5, 2016
 Wananchi waliofurika kwenye mkusanyiko wa kuhamasisha umma kujiunga na Mfuko wa Pensheni wa PSPF kupitia mpango wa uchangiaji wa hiari, wakijaza fomu kujiunga na mpango huo kwenye maonyesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam Julai 5, 2016

Afisa Mkuu wa Operesheni wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kwenye mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSS, Hadji Hamis Jamadari Ialiyekaa, akimuhudumia mwananchi aliyefika banda la Mfuko huo

No comments :

Post a Comment