Meneja
kiongozi wa Masoko na Uhusiano Eunice Chiume akimpatia Maelezo juu ya
Mradi wa Nyumba wa Kijichi Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF
Prof. Samwel Wangwe alipotembelea Banda la NSSF kwenye Maonesho ya 40 ya
biashara ya Kimataifa.
Katibu
Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Mhandisi Joseph
Nyamhanga akifurahia baada ya kupewa maelezo juu ya Miradi ya Nyumba ya
Mtoni Kijichi, Toangoma na Dungu Farm, Miradi hiyo iliyopo kigamboni
imevutia watu wengi kutokana na urahisi wake wa kufikika kupitiaDaraja
la NyerereWAZIRI MKUU ASITISHA VIBALI VYA UVUNAJI MBAO
HUAWEI YALETA SIMU ZA KISASA ZENYE UWEZO WA 4G KWA GHARAMA NAFUU
Balozi
wa Huawei Jennipher Lazaro, akimuonyesha mteja Catherine Mosha ubora
wa simu ya Huawei Y 3lite alipotembelea banda la tigo katika maonyesho
ya Sabasaba.
Dar es Salaam, Julai 2016;. Kampuni ya Huawei wakishirikiana na makampuni ya mtandao wa simu Vodacom, Airtel na Tigo wamezindua promosheni kwa ajili ya wananchi wote watakaohudhuria maonyesho ya Saba Saba katika matoleo yake ya simu za kisasa za Y3II, Y3 C, na toleo mahususi la Y3 Lite. Katika maonyesho hayo, wananchi wataweza kujipatia simu mpya halisi kwa bei rahisi zaidi
Tukizingatia kwamba kila Mtanzania anayo haki ya kuendelea kuunganishwa na ndugu, jamaa na marafiki kwa njia ya mawasiliano ya simu bila kujali tofauti zao za kipato, Huawei kwa mara nyingine inafanikisha hilo kwa kuleta simu zake za Yseries ili kuwezesha upatikanaji wa simu za kisasa za gharama nafuu kwa watumiaji wa simu wa kipato cha chini Tanzania.
Huawei Tanzania kwa kupitia mkakati wake huu wa kushirikiana na makampuni ya mawasiliano; Tigo, Vodacom na Airtel inampa mtumiaji fursa ya kugusa, kuhisi na kufurahia namna za kipekee za utendaji wa matoleo haya ya Y series ikiwamo Y3II, Y3Lite, Y3 C na Y6 Pro.
Akizungumzia kuhusu ofa na punguzo hili la simu, Meneja Masoko wa Huawei Tanzania Bi. Jane Wang amewahimiza wananchi wote watakaofika katika maonyesho ya Saba Saba kutembelea mabanda ya Vodacom, Tigo na Airtel katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kuanzia tar 28 June mpaka tar 8 Julai ili kujipatia moja ya hayo matolea ya simu za Huawei.
”Ofa ya Huawei na Vodacom ni katika simu ya Huawei Kishkwambi kwa gharama y ash. 100,000 ambapo mteja atajipatia kifurushi cha bure cha dakika 1000 na interent GB6 kwa muda wa miezi 12.” Alisema.
Promosheni ya Huawei na Tigo huwawezesha wateja kununua simu ya Huawei Y3 Lite kw ash. 125,000 tu, ikiwa na kifurushi cha GB 2 za data pamoja na muda wa maongezi wa thamani ya sh. 10,000 kwa muda wa miezi 6.
Kwa Y3II Tigo inatoa ofa ya GB 10 na dakika 3000 kwa kupiga Tigo – Tigo na dakika 500 kupiga mitandao mingine kwa muda wa miezi 3. Y3 C inakuja na dakika 100 za kupiga mitandao yote, kifurushi cha internet cha GB1 na sms 10,000 kwa miezi 4 kutoka Airtel”
Akizungumzia kuhusu simu za gharama ya chini na uhitaji wake kwa watu wa kipato cha chini, Mkurugenzi wa Mauzo wa Huawei Tanzania, Bw. Sylvester Manyara alisema, ukiziangalia simu hizi ni vigumu kuamini kuwa ni simu za gharama ya chini kwa sababu simu zote zimeundwa kwa muundo na teknolojia ya hali ya juu na ya kimataifa.
Y3 Lite inafaa Zaidi kwa ajili ya watu wazima, wanafunzi na watu wa kipato cha kati na cha chini ambao kwao gharama na utendaji wa simu huwa na umuhimu sawia.
Simu hii inawafaa wale ambao wanahitaji kuitumia simu kwa muda mrefu sana bila kuichaji. Ni moja ya simu pekee katika zenye thamani hii zinazoweza kuvumilia matumizi makubwa. Betri yenye uwezo mkubwa ya Huawei Y3 Lite inayohifadhi nguvu kwa kiwango cha juu inaiwezesha simu hii kudumu na chaji kwa zaidi ya siku nzima.
Dar es Salaam, Julai 2016;. Kampuni ya Huawei wakishirikiana na makampuni ya mtandao wa simu Vodacom, Airtel na Tigo wamezindua promosheni kwa ajili ya wananchi wote watakaohudhuria maonyesho ya Saba Saba katika matoleo yake ya simu za kisasa za Y3II, Y3 C, na toleo mahususi la Y3 Lite. Katika maonyesho hayo, wananchi wataweza kujipatia simu mpya halisi kwa bei rahisi zaidi
Tukizingatia kwamba kila Mtanzania anayo haki ya kuendelea kuunganishwa na ndugu, jamaa na marafiki kwa njia ya mawasiliano ya simu bila kujali tofauti zao za kipato, Huawei kwa mara nyingine inafanikisha hilo kwa kuleta simu zake za Yseries ili kuwezesha upatikanaji wa simu za kisasa za gharama nafuu kwa watumiaji wa simu wa kipato cha chini Tanzania.
Huawei Tanzania kwa kupitia mkakati wake huu wa kushirikiana na makampuni ya mawasiliano; Tigo, Vodacom na Airtel inampa mtumiaji fursa ya kugusa, kuhisi na kufurahia namna za kipekee za utendaji wa matoleo haya ya Y series ikiwamo Y3II, Y3Lite, Y3 C na Y6 Pro.
Akizungumzia kuhusu ofa na punguzo hili la simu, Meneja Masoko wa Huawei Tanzania Bi. Jane Wang amewahimiza wananchi wote watakaofika katika maonyesho ya Saba Saba kutembelea mabanda ya Vodacom, Tigo na Airtel katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kuanzia tar 28 June mpaka tar 8 Julai ili kujipatia moja ya hayo matolea ya simu za Huawei.
”Ofa ya Huawei na Vodacom ni katika simu ya Huawei Kishkwambi kwa gharama y ash. 100,000 ambapo mteja atajipatia kifurushi cha bure cha dakika 1000 na interent GB6 kwa muda wa miezi 12.” Alisema.
Promosheni ya Huawei na Tigo huwawezesha wateja kununua simu ya Huawei Y3 Lite kw ash. 125,000 tu, ikiwa na kifurushi cha GB 2 za data pamoja na muda wa maongezi wa thamani ya sh. 10,000 kwa muda wa miezi 6.
Kwa Y3II Tigo inatoa ofa ya GB 10 na dakika 3000 kwa kupiga Tigo – Tigo na dakika 500 kupiga mitandao mingine kwa muda wa miezi 3. Y3 C inakuja na dakika 100 za kupiga mitandao yote, kifurushi cha internet cha GB1 na sms 10,000 kwa miezi 4 kutoka Airtel”
Akizungumzia kuhusu simu za gharama ya chini na uhitaji wake kwa watu wa kipato cha chini, Mkurugenzi wa Mauzo wa Huawei Tanzania, Bw. Sylvester Manyara alisema, ukiziangalia simu hizi ni vigumu kuamini kuwa ni simu za gharama ya chini kwa sababu simu zote zimeundwa kwa muundo na teknolojia ya hali ya juu na ya kimataifa.
Y3 Lite inafaa Zaidi kwa ajili ya watu wazima, wanafunzi na watu wa kipato cha kati na cha chini ambao kwao gharama na utendaji wa simu huwa na umuhimu sawia.
Simu hii inawafaa wale ambao wanahitaji kuitumia simu kwa muda mrefu sana bila kuichaji. Ni moja ya simu pekee katika zenye thamani hii zinazoweza kuvumilia matumizi makubwa. Betri yenye uwezo mkubwa ya Huawei Y3 Lite inayohifadhi nguvu kwa kiwango cha juu inaiwezesha simu hii kudumu na chaji kwa zaidi ya siku nzima.
POLISI WANNE WAUWAWA KATIKA MAANDAMANO JIJINI DALLAS
Mdunguaji amewapiga risasi na
kuwauwa polisi wanne na kujeruhi wengine saba huko Dallas, Marekani
katika maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi yanayofanywa na
polisi.
Milio ya risasi ilisikika wakati
waandamanaji walipokuwa wakiandamana katika mji huo. Mtu mmoja
anashikiliwa na polisi na mwingine mmoja aliyeonekana na bunduki
amejisalimisha.
Polisi wakiwa kazini wakimsaka mdunguaji
Hali ilikuwa inatisha kiasi ya watu kujificha kwenye magari wakati polisi wakihaha kumsaka mdunguaji
Huyu aliamua kundamana na bunduki yake, na sasa amejisalimisha polisi kwa mahojiano zaidi.
WASHINDI WANNE WANYAKUA ZAWADI KATIKA KAMPENI YA FAIDIKA NA AMANA BANK
Mkurugenzi
wa Bank ya Amana DR MUHSIN MASOUD akimkabidhi zawadi ya Television
mshindi wa kwanza wa kampeni ya Faidika na Amana Bank Bi PIKIRA NLONGANE
wakati wa Hitimisho la kampeni hiyo iliyokuwa na lengo la kuwajengea
uwezo watanzania wa kuwekeza zaidi,Hitimisho la Kampeni hiyo limefanyika
wakati wa siku ya maonyesho ya kimataifa ya biashara saba saba Jijini
Dar es salaam ambayo Bank ya amana ni moja kati ya wafanyabiashara
waliokuwa na Banda katika Maonyesho hayo
Katika
kuadhimisha kilele cha kampeni ya FAIDIKA NA AMANA BANK,Bank
imezawadiwa wateja wake waliobahatiika kushinda zawadi mbalimbali
kutokana na kujiwekea akiba zao na Benk hiyo leo siku ya kilele cha
maonyesho ya saba saba Tarehe 7/7/2016.
Wateja hao walichaguliwa kitaalam katika droo iliyochezeshwa ndani ya viwanja vya saba saba katika banda la amana bank na kupewa taarifa ya kufika kupokea zawadi zao kutoka uongozi mkuu wa bank hiyo wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji DR MUHSIN SALIM MASOUD.
Kampeni hiyo iliyojumuisha wateja wa akaunti za akiba binafsi kujiwekea akiba katika akaunti zao kuanzia kiasi cha shilingi 500,000 na kuendelea kwa muda wa miezi mitatu na kuweza kupata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali za vifaa vya matumizi ya nyumbani kama Luninga,Jokofu,Microwevu,Pamoja na Table Feni yenye AC Pia.
Zawadi
ya JOKOFU kwenda kwa mshindi wa pili ambaye ni SHAKIRA IBRAHIMU
imekabidhiwa na kupokelewa na mwakilishi wake ambaye ni AHMED SANDE
(Pichani) akikabidhiwa zawadi hiyo na Mkurugenzi wa Bank ya Amana DR
MUHSIN MASOUD wakati wa utoaji wa zawadi hizo.
|
Mshindi
wa nne amepata zawadi ya Table Feni ya kisasa yenye AC pia.Pichani
ni Mkurugenzi wa Bank ya Amana DR MUHSIN MASOUD akimkabidhi zawadi
Bwana HEMED SULEIMAN ambaye ameibuka mshindi wa nne katika kampeni ya
Faidika na Amana Bank iliyochezeshwa ndani ya banda la Bank hiyo katika
maonyesho ya kimataifa ya Biashara ya saba saba Jijini Dar es salaam
ambapo washindi wanne wamejinyakulia zawadi mbalimbali zenye thamani ya
shilingi za kitanzania Million Tano
|
Wateja hao walichaguliwa kitaalam katika droo iliyochezeshwa ndani ya viwanja vya saba saba katika banda la amana bank na kupewa taarifa ya kufika kupokea zawadi zao kutoka uongozi mkuu wa bank hiyo wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji DR MUHSIN SALIM MASOUD.
Kampeni hiyo iliyojumuisha wateja wa akaunti za akiba binafsi kujiwekea akiba katika akaunti zao kuanzia kiasi cha shilingi 500,000 na kuendelea kwa muda wa miezi mitatu na kuweza kupata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali za vifaa vya matumizi ya nyumbani kama Luninga,Jokofu,Microwevu,Pamoja na Table Feni yenye AC Pia.
Mkurugenzi
wa Bank ya Amana DR MUHSIN MASOUD akizungumza na wanahabari wakati wa
Utoaji wa zawadi hizo kwa washindi wanne wa Kampeni ya Faidika na Amana
Bank ambapo amewataka watanzania kuwa na utamaduni wa kuwekeza kwani ni
utamaduni mzuri na unaofaa kuendelezwa
|
KAIMU NAIBU MKURUGENZI WA TANESCO ATEMBELEA BANDA LA SHIRIKA HILO SABA SABA

Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja (wa tatu
kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa
shirika hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Dar es
Salaam 2016 kwenye viwanja vya Biashara vya Mwalimu Nyerere Barabara ya
Kilwa Dar es Salaam leo.
Mmoja
wa wafanyakazi wa kampuni ya kuendeleza jotoardhi Tanzania(TGDC) wa
pili kushoto akitoa maelezo kwa Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji
Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),
Mhandisi Sophia Mgonja.

Kaimu Meneja Uhusiano Tanesco, Leila Muhaji (kushoto), akiwa na Kaimu
Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la
Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja walipotembelea banda la
TGDC.

Kaimu
Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Huduma kwa Wateja wa Shirika la
Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Sophia Mgonja (kushoto),
akimsikiliza mteja aliyetembelea banda hilo.
















No comments :
Post a Comment