Thursday, June 25, 2015

UNESCO kuwaweshesha wajasiriamali jamii ya Kimasai Ngorongoro


Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akimwelezea Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili kushoto), namna mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiliamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana kutoka Kata tano za Wilaya ya Ngorongoro utakavyotekelezwa juzi katika Kijiji cha Ololosokwan. Wengine ni maofisa miradi kutoka UNESCO wakishuhudia.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akimwelezea Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili kushoto), namna mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiliamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana kutoka Kata tano za Wilaya ya Ngorongoro utakavyotekelezwa juzi katika Kijiji cha Ololosokwan. Wengine ni maofisa miradi kutoka UNESCO wakishuhudia.
………………..
SHIRIKA la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania linatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiliamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana kutoka Kata tano za Wilaya ya Ngorongoro kama jitihada za kuongeza kipato kwa familia za jamii ya Wamasai.
Akitoa maelekezo ya mradi huo juzi katika Kijiji cha Ololosokwan mbele ya Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo, Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues alisema mradi huo unatarajia kutekelezwa kuanzia Mwezi Agosti, 2015.
Bi. Rodrigues alimueleza Kileo kuwa mradi huo unajumuisha ujenzi wa kituo cha kisasa cha sanaa ambacho kitatumiwa na wajasiliamali wa jamii ya Kimasai kwa ajili ya kuuza bidha zao za asili mbalimbali kwa watalii wanaofika kutembelea vivutio anuai vya utalii ikiwemo Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inayozunguka vijiji hivyo.
Akifafanua zaidi juu ya mradi huo, Ofisa Mradi Utamaduni wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Rehema Sudi alisema mradi huo utajumuisha mafunzo ya ujasiliamali juu ya utengenezaji wa bidhaa za ngozi, pembe za ng’ombe pamoja na shanga ili kuziongezea thamani na kuuzwa kwa watalii anuai wanaotembelea vivutio na kukuza vipato vya familia hasa akinamama.
Bi. Sudi aliongeza kuwa kata zinazotarajia kunufaika na mafunzo na ujenzi wa kituo hicho cha kisasa kwa ajili ya mauzo ya bidhaa hizo za asili za Wamasai ni pamoja na Kata za Ololosokwani, Arash, Soit Sambu, Oloipili na Kata ya Aoliani Magaidulu zote za Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro.
“…Mradi huu utajumuisha akinamama na wasichana kutoka kata tano ambazo ni Ololosokwani, Arash, Soit Sambu, Oloipili na Kata ya Aoliani Magaidulu, tutawapatia mafunzo juu ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali zinazotokana na ngozi na pembe za ng’ombe pamoja na shanga ikiwa ni hatua ya kuziongezea thamani kisha kuziuza kwa watalii ambao wanatembelea vivutio vya utalii eneo hili hasa Kijiji cha Ololosokwan,” alisema Ofisa Mradi Utamaduni Unesco, Bi. Sudi.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues  (kulia) akimuonesha Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili  kulia) kompyuta ndogo mpakato ambazo zimefungwa katika darasa moja maalumu kwa mafunzo mbalimbali kwa watoto  na wahitaji wengine. Darasa hilo ni sehemu ya mradi wa kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu  ya macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya 'X-Ray' na  'Ultra-sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akimuonesha Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo (wa pili kulia) kompyuta ndogo mpakato ambazo zimefungwa katika darasa moja maalumu kwa mafunzo mbalimbali kwa watoto na wahitaji wengine. Darasa hilo ni sehemu ya mradi wa kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu
ya macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra-sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues  (kulia) akitembelea eneo la mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya  macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Katikati ni Katibu Tawala, Halmashauri  ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo pamoja na Ofisa Mradi Utamaduni wa Shirika la UNESCO nchini  Tanzania, Rehema Sudi wakikagua mradi huo.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akitembelea eneo la mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Katikati ni Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo pamoja na Ofisa Mradi Utamaduni wa Shirika la UNESCO nchini Tanzania, Rehema Sudi wakikagua mradi huo.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues  (kulia) akitembelea eneo la mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya  macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Katikati ni Katibu Tawala, Halmashauri  ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo pamoja na Ofisa Mradi Utamaduni wa Shirika la UNESCO nchini  Tanzania, Rehema Sudi wakikagua mradi huo.
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (kulia) akitembelea eneo la mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno pamoja na huduma za uchunguzi magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Katikati ni Katibu Tawala, Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kristian Kileo pamoja na Ofisa Mradi Utamaduni wa Shirika la UNESCO nchini Tanzania, Rehema Sudi wakikagua mradi huo.
Alisema wataalam na wabunifu wataletwa katika vijiji vya mradi na kutoa mafunzo kwa akinamama na wasichana kabla ya ujenzi wa kituo maalumu ambacho kitatumiwa na wanufaika wa mafunzo hayo kama eneo la kuuzia bidhaa zao ikiwa ni sehemu pia ya kulinda na kukuza tamaduni za jamii ya Wamasai. “…Tutazunguka na kutoa mafunzo juu ya ubunifu na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za ngozi, pembe za ng’ombe pamoja na shanga na kutengeneza bidhaa za asili kwa ajili ya kuziuza kwa wateja hasa watalii,” alisema Bi. Sudi.
Hata hivyo Ofisa huyo mradi Utamaduni wa UNESCO alisema sehemu ya maandalizi ya mradi huo unaotekelezwa kwa msaada wa UNESCO pamoja na washirika wengine ambao ni Umoja wa Ulaya (EU) na Chuo Kikuu cha Liechtenstein na pia Chuo Kikuu cha Ardhi cha Dar es Salaam imeanza kutekelezwa tangu Februari 2015.
Mbali na mradi huo UNESCO pia inatekeleza mradi wa ujenzi wa Kijiji cha Dijitali, ambao unajumuisha ujenzi wa Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho, Kliniki ya kisasa ya matibabu ya meno pamoja na huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia fipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra-sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai katika Kijiji cha Ololosokwan huduma itakayosaidia jamii za wafugaji maeneo ya Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya 'X-Ray' na 'Ultra- sound' na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.
Sehemu ya majengo ya mradi wa Kijiji cha kidijitali unaojumuisha Kliniki ya kisasa ya matibabu ya macho na meno, huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali kwa kutumia vipimo vya ‘X-Ray’ na ‘Ultra- sound’ na shule ya kisasa kwa ajili ya mafunzo anuai Kijijini hapo. Mradi huo unatekelezwa na Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania kwa kushirikiana na wafadhili wengine ikiwemo kampuni ya Samsung Tanzania Kata ya Ololosokwan wilayani Ngorongoro.

KINANA AKIHUTUBIA WAKAZI WA MISUNGWI MKOANI MWANZA

NAPE AZUNGUMZIA UMUHIMU WA KUSHIRIKISHWA WADAU WA HABARI KABLA YA SHERIA KUPITISHWA NA BUNGE

TRA yakutana na Baraza la Maaskofu Tanzania Kuijadili sheria mpya ya Kodi

1
Afisa Mwandamizi Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Rose Mahendeka akiwasilisha Taarifa ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014 kwa viongozi wa Baraza la Maaskofu Tanzania na kuwaeleza jinsi ilivyoziongelea jinsi ilivyozieleza Taasisi za Dini hasa katika masuala ya ulipaji kodi, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
3
Baadhi ya Viongozi wa Dini wakimsikiliza Bi. Rose Mahendeka alipokuwa anawasilisha Taarifa ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
4 5
Askofu Mkuu Paul Ruzoka wa Jimbo la Tabora akichangia kwenye moja ya maeneo ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
6
Father Longino Rutagwelera wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino tawi la Mtwara akichangia kwenye moja ya maeneo ya Sheria mpya ya Kodi ya ongezeko la Thamani ya mwaka 2014, wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
7
 Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Fr. Raymond Saba akiongea na wajumbe wa Baraza hilo waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
9
Afisa Mwandamizi Idara ya Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Rose Mahendeka akiwaeleza jambo wajumbe wa baraza la Maaskofu Tanzania wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Na Hassan Silayo-MAELEZO

Airtel yazindua ofa ya LUKU DAR ES SALAAM

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari leo katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam Juni 23, 2015 wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe itakayowazawadia wateja wa Airtel nchini kupata Unit za bure za LUKU pindi watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel Money (Kulia) Meneja wa Airtel Money.Steven Kimea.
Meneja wa Airtel Money Steven Kimea (Kulia) akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa ofa kabambe itakayowazawadia wateja wa Airtel nchini kujipatia nyongeza ya Unit za bure za LUKU pindi watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel Money, anayefwata kushoto ni Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando.

Picha na Philemon Solomon-Fullshangweblog
……………………………………………………
Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na shirika la umeme la (TANESCO) imezindua ofa kabambe itakayowazawadia wateja wake nchi nzima Unit za bure za Luku pindi watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel Money.
Ofa hii mpya ina lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme na pia kuwazawadia wateja wa Airtel wanaonunua unit za LUKU kupitia huduma ya Airtel Money.
Akiongea kuhusu ofa hiyo, Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackosn Mmbandoalisema” Wateja wetu watazawadia unit LUKU za ziada Bure mara tu watakaponunua LUKU kupitia huduma ya Airtel Money. Tunaamini ofa hii inaendana na mahitaji na mwendendo wa maisha ya watanzania. Kwa sasa manunuzi ya umeme kupitia njia nyingine si tu yanaleta changamoto za kusafiri umbali mrefu na kupoteza muda mwingi kupata huduma bali husababisha watu kukaa foleni ndefu kusubiri kununua umeme. leo Airtel tunatoa ofa hii kwa wateja wetu na kuwawezesha kununua LUKU kwa urahisi wakiwa majumbani mwao pamoja na kunawazawadia kwa kuwapatia unit za Luku za ziada za bure”.
Aliongeza kwa kusema “ Airtel tunaendelea na dhamira yetu ya kutoa huduma za kibunifu zinazokithi na kutatua mahitaji ya wateja wetu , tukiwa na mawakala wa Airtel Money zaidi ya 45,000 nchini , wateja wetu wanafaidika na huduma ya mikopo, huduma za kuhamisha pesa, kutoa na kuweka pesa na nyingine nyingi.
Huduma ya Airtel Timiza inayotoa mikopo isiyo na dhamana kupitia simu za mkononi ni uthibitisho wa dhamira yetu ya kutoa huduma za kisasa zenye ubunifu kwa watanzania.” aliongeza Mmbando.
 

NAPE : GOLI NI GOLI

Rais Dkt. Jakaya Kikwete awatunuku Nishani watumishi wa umma walioliletea sifa Taifa

N1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimvisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza kwa kuwa mwaminifu na kujitolea moja kwa moja kulipatia Taifa sifa kubwa katika Nyanja za kisiasa, kiuchumi, kiulinzi na kijamii wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimvisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Liberata Rutegaruka Mulamula Nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza kwa kuwa mwaminifu na kujitolea moja kwa moja kulipatia Taifa sifa kubwa katika Nyanja za kisiasa, kiuchumi, kiulinzi na kijamii wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N3Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimvisha Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Martin Turuka Nishani ya Utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la kwanza kwa kuwa mtumishi wa umma kuanzia ngazi ya ukurugenzi na kutumikia Taifa si chini ya ishirini mfululizo na kuonyesha maadili mema wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimvisha akimvisha Balozi wa Tanzania nchini Burundi Rajabu Hassan Gamaha Nishani ya Utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la kwanza kwa kuwa mtumishi wa umma kuanzia ngazi ya ukurugenzi na kutumikia Taifa si chini ya ishirini mfululizo na kuonyesha maadili mema, wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N5Mwalimu Rosalia Marmo Massay akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete baada ya kuvishwa nishani ya Utumishi mrefu na maadili mema Daraja la Pili kwa kufanya kazi bora na maadili mema yanayostahili kuigwa na wengine kwa muda usiopungua miaka ishirini wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N6Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akimvisha CPL Liberatus Tibaitirwa Ndyetabula nishani ya Ushupavu inayotolewa kwa majeshi ya ulinzi na Usalama na watu wengine kwa vitendo vya ushupavu, wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano Ikulu leo Jijini Dar es Salaam.
N7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi waliovishwa nishani mbalimbali leo Jijini Dar es salaam.Kushoto ni Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman na kulia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi.
N8
N9Mtoto huyo akimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete picha aliyoipiga.
N10Mtoto wa Mmoja ya viongozi waliovishwa nishani akipiga picha ya pamoja iliyomjumuisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi waliovishwa nishani
………………………………………………………………………..
Na Hassan Silayo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewavisha nishani mbalimbali watumishi wa Serikali kwa kutambua mchango wao kitaifa. 
Rais Kikwete amefanya hivyo kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya sheria ya mamlaka ya Rais (sura ya 9) kamailivyorekebishwa mwaka 2002 fungu la 4 kama ilivyotangazwa katika tangazo la serikali namba 227.

Nishani zilizotunukiwa leo ni Nishani ya Jamhuri ya muungano Daraja la Kwanza, Nishani ya Utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la kwanza, Nishani ya utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la pili na Nishani ya Ushupavu. 
Nishani hizo zinatunukiwa kwa watumishi ambao sifa zao zimekidhi mmatakwa ya nishani husika 

KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MISUNGWI LEO, KESHO NI JIMBO LA SUMVE

????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati akiwa ameongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM wa pili kutoka kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza Ndugu Miraji Mtaturu wa pili kutoka kushoto wakiingia kwenye kivuko cha MV Misungwi katika feri ya Busisi wakati msafara wa Katibu mkuu huyo ukitoka wilaya ya Sengerema kuelekea Usagara wilaya ya Misungwi mkani Mwanza ambapo ndipo alipopokelewa. 
Leo Kinana aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo mbalimbali na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010-2015, inayotekelezwa na serikali ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili wananchi ili kuzipatia ufumbuzi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Misungwi Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi amesema Chama cha Mapinduzi CCM kinaishauri Serikali kuutoa na kuurudisha kwa wadau  muswaada wa sheria ya habari ambao umepelekwa bungeni kwa ajili ya kujadiliwa kwa, kuwa wadau wanaulalamikia na wanataka kushirikishwa kuujadili ndipo uende bungeni kwa ajili ya kujadiliwa na kupitishwa kama sheria uli iweze kusainia na Rais.
Ameongeza kwamba “Sheria zinazotungwa ni kwa ajili ya wananchi hivyo Chama cha Mapinduzi kinaishauri serikali kuwa,  kama wadau wanaulalamikia muswaada huo. Ni vyema ukarudhishwa kwa wadau ili ujadiliwe kwa pamoja na serikali na wadau ndipo upelekwe  Bungeni  ukajadiliwe na kupitishwa kama sheria”.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MISUNGWI-MWANZA)
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifuatana na Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu kupanda ngazi kwenda uneo la juu la kukaa kwenye kivuko cha MV Misungwi leo asubuhi.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana naKatibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kuelekea eneo la kukaa kwenye kivuko cha MV Misungwi. 
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Mbunge wa jimbo la Sengerema Mh. William Ngeleja wakati msafara wake ukielekea wilayani Misungwi kuendelea na ziara yake katika jimbo hilo  mkoani Mwanza
????????????????????????????????????
Vijana wakijadili jambo wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea wilayani Misungwi kwa boti katika ziwa Victoria kutoka kushoto ni Adam Mzee, Octavian Kimario aliyegeuka ni Msaidizi wa Katibu Mkuu Edward Mpogolo, Suleiman Mwenda na Atley Kuni- Afisa habari Mwanza
????????????????????????????????????
Magari yakishuka kwenye kivuko baada ya kuvuka ziwa Victoria na kuingia  Kigongo Feri wilaya ya Misungwi.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu katikati na Mbunge wa jimbo la Sengerema Mh. William Ngeleja kushuka kwenye kivuko cha MV Misungwi mara baada ya kuwasili Kigongo Feri wilayani Misungwi
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo mara baada ya kuwasili Kiogongo Feri wilayani Misungwi.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo kulia mara baada ya kuwasili Usagara wilaya ya Misungwi ambapo alipokelewa katikati ni Mbunge wa jimbo la Misungwi Mh. Charles Kitwanga maarufu  “Mawe Matatu”
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma mara baada ya kupokelewa Usagara.
????????????????????????????????????
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo akishiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyang’omango wilayani Misungwi kulia ni mbunge wa jimbo hilo Mh. Charles Kitwanga.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti wa kumbukumbu mara baada ya kutembelea na kukagua ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyang’omango.
????????????????????????????????????
Mbunge wa jimbo la Misungwi Mh. Charles Kitwanga akipanda mti wa Kumbukumbu katika zahanati ya kijiji cha Nyang’omango wakati Kinana alipokagua ujenzi wa zahanati hiyo.
????????????????????????????????????
Moja ya ofisi nzuri za CCM iliyojengwa katika kijiji cha Nyangomango
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizindua ofisi hiyo.
????????????????????????????????????
Wananchi wakipalilia shamba la Dengu la wananchi katika kijiji cha Misasi ambapo Katibu Mkuu Kinana na viongozi mbalimbali wamkoa wa Mwanza pia walishiriki katika palizi hiyo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongoza viongozi wa mkoa wa Mwanza na wilaya ya Misungwi pamoja na wananchi kushiriki kupalilia shamba la wananchi  la Dengu katika kijiji cha Misasi. 
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati, Mbunge wa jimbo la Misungwi Mh. Charles Kitwanga, Mkuu wa mkoa wa Mwanza kushoto pamoja na wananchi wakishiriki kupalilia shamba hilo.
????????????????????????????????????
Kikundi cha ngoma kikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Mahando wilayani Misungwi.
????????????????????????????????????
Baadhi ya vijana wakiwa na bango kubwa linalozungumzia kumrudisha tena mbunge wao Mh. Charles Kitwanga katika ubunge wa jimbo la Misungwi katika uchaguzi ujao.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa ameongozana na Mama Ntilie wa Misungwi wakati alipowatembelea na kusomewa risala yao.
????????????????????????????????????
Mbunge wa jimbo la Misungwi Mh. Charles Kitwanga akizungumza mafanikio yaliyokwishapatikana katika uongozi wa awamu ya Nne ya CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Misungwi.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuelezea jambo Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nappe Nnauye huku Nape  akionekana kufurahia jambo hilo.
????????????????????????????????????
Mkuu wa mkoa wa Mwanza akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nappe Nnauye akiwahutubia wananchi katika mkutano huo uliofanyika mjini Misungwi leo.
????????????????????????????????????
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nappe Nnauye aksisitiza jambo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano huo uliofanyika mjini Misungwi leo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Misungwi leo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Misungwi leo.

RAIS KIKWETE AMTUNUKU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)

1
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, wakati wa sherehe ya kutunuku Nishani iliyofanyika kwenye Ukumbi mpya wa Mikutano Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
2
Rais Jakaya Kikwete (kushoto), akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, baada ya kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), katika sherehe ya kutunuku Nishani iliyofanyika kwenye Ukumbi mpya wa Mikutano Ikulu.
8
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (watatu kushoto) akiwa na baadhi ya Watunukiwa wakiwa katika hafla hiyo wakati wakisubiri kutunukiwa.
9
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (wapili kwenda nyuma mstari wa kwanza) akiwa na baadhi ya Watunukiwa wakiwa katika hafla hiyo wakati wakisubiri kutunukiwa. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.
3
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP) Ernest Mangu (kulia) akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil baada ya kutunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I) na Rais Jakaya Kikwete, katika sherehe ya kutunuku Nishani iliyofanyika kwenye Ukumbi mpya wa Mikutano Ikulu,
4
Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, (CGP) John Minja (kulia) akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil baada ya kutunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I) na Rais Jakaya Kikwete.
5
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (kulia) akimpongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil baada ya kutunukiwa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I) na Rais Jakaya Kikwete.
6
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto) akiteta jambo na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi nchini (UNHCR), Joyce Mends-Cole katika Ukumbi Mpya wa Mikutano Ikulu, jijini Dar es Salaam, mara baada ya Rais Jakaya Kikwete kumtunukia Katibu Mkuu huyo, Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I).
7
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, (CGP) John Minja (kulia) na Mkurugenzi wa Sera na Mipango, wa Wizara hiyo, Haji Janabi, nje ya Ukumbi mpya wa Mikutano Ikulu, jijini Dar es Salaam, mara baada ya Rais Jakaya Kikwete kumtunuku Katibu Mkuu huyo, Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I).
   10
Rais Jakaya Kikwete (wanne kushoto mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na Watunukiwa wa Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la Kwanza. Wakwanza kulia mstari wa nyuma ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma Juni 23,2015 ( Kulia), Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Chilolo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akipiga kura ya ndio wakati bunge lilipokuwa likipitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma ( Kulia), Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Chilolo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa (kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mh. Mussa Azan Zungu wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo-juni 23, 2015.

MATUKIO KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA-JUNI 23,2015

1
Waziri wa Fedha, Saada  Mkuya akihitimisha Hoja ya Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Fedha, Bungeni Mjini Dodoma Juni 23, 2015.
(Picha zote na ofisi ya Waziri Mkuu)
2
Waziri Mkuu, Mizengo  Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Mpanda Kati, Said Arfi,  Bungeni mjini Dodoma.
4
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Asiye na Wizara Maalum, Profesa Mark Mwandosya na Mbunge wa kigoma Mjini Peter Serukamba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma.
5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na wabunge wa Viti Maalum, Anna Abdallah (kushoto) na Al Shymaa Kwegyir wakitoka kwenye kumbi wa Bunge mjini Dodoma.

Kitendo kilichafanywa na Wajumbe wa CUF kutoka nje ya Baraza sio cha busara-WAZIRI Mohd Aboud

images 
Na Kijakazi Abdalla / Maryam Kidiko -Maelezo Zanzibar
………………………………………………….
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi wamesikitishwa na kitendo cha wawakilishi wenzao wa Chama cha Wananachi (CUF) kutoka nje  ya kikao kilichojadili mswada wa kupitisha matumizi ya Serikali kwa mwaka 2015/2016.
 Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud amesema kuwa kitendo kilichafanywa na Wajumbe  wa CUF kutoka nje ya Baraza  sio cha busara na hakileti sura nzuri ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa..
Amesema  uamuzi waliochukuwa wajumbe hao ni kukitia aibu chama hicho na kuwanyima haki wananchi waliowachagua kuwaingiza ndani ya Baraza.
Waziri Aboud amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zazibar ina nia thabiti ya kufanya uchaguzi kwa njia ya haki kwa wanannchi wote na sivyo kama wnavyofikiria wawakilishi  hao.
Amesema wakati huu ambapo tunaelelekea katika  uchaguzi mkuu wa mwezi wa Oktoba  ilikuwa si busara kuchukuwa hatua hiyo  kwa vile  hawakutumia sheria bali walitumia  siasa zaidi.
Wakichangia mswada huo baadhi ya wawakilishi   CCM wamewataka wananchi waliowachagua wawakilishi wa CUF  kuwakataa katika uchaguzi wa mwezi Oktoba  kwa vile wameshindwa kuwawakilisha vizuri katika vikao vya Baraza hilo tokea walipoingia mwaka 2010.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa CUF wametoka nje ya Baraza kwa madai  ya kutoridhika na zoezi zima la uandikishaji wapiga kura linaloendelea Wilaya ya Magharibi A.
Akitoa taarifa baada ya kuanza kikao cha asubuhi cha Baraza hilo   huko Chukwani, nje kidogo ya mji wa Zanzibar, mjumbe wa CUF Juma Duni Haji  alisema kuwa wameamua kutoka nje kutokana na kutokuwa na imani na zoezi  la uandikishaji wapiga kura linavyoendeshwa.
Alidai kuwa  baadhi ya wanachama wa CUF wenye sifa  ya kuandikishwa wamekuwa wakunyimwa haki hiyo na wamekuwa wakipigwa na askari wa vikosi vya SMZ wakati wakiwa njiani kwenda  kujiandikisha.
“Tumeshuhudia  askari  waliovaa  ninja (kufunika nyuso) wenye silaha katika mitaa wakiwakimbiza wananchi wanaokwenda kujiandikisha kupiga kura,” alilalamika Juma Duni.
Pamoja na wajumbe hao kutoka nje ya Baraza,  Wajumbe wa Chama cha Mapinduzi CCM waliendelea  kujadili na kupitisha  mswada  wa matumizi ya fedha kwa mwaka 2015/2016  .

HABARI ZA KIMICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA TFF

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania – TFF, Jamal Malinzi leo ameagana rasmi na aliyekua kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, mholanzi Mart Nooij.
Akiongea na waandishi wa habari leo katika hoteli ya Tansoma, Malinzi amesema wameamua kuagana nae mbele ya vyombo ya habari kama iliyofanyika pia wakati wa utambulisho wake wakati wa kuanza kazi.
“Mpira wa miguu unachangamoto nyingi, watanzania tunasafari ndefu katika mafanikio ndio maana  TFF imeanza kuwekeza katika soka la vijana, sababu ndio msingi wa kuwa na timu bora ya Taifa” alisema Malinzi.
Duniani kote chimbuko la timu bora ni soka la vijana na watoto, tukiwa na vijana wengi walioanza kucheza mpira katika umri mdogo wanapofikia umri wa kuchezea timu ya Taifa tutakua na kikosi bora.
Nchi za wenzetu inapofikia kocha kuita wachezaji wa timu ya Taifa anakuwa na wigo mpana, kwetu sisi wachezaji wanocheza soka nje ya nchi wanahesabika, hivyo ni lazima tuanze kuwekeza kwenye soka la vijana
TFF ilishaanza mkakati huo ndio maana kuna timu za U13, U15 ambazo zitakua zikiingia kambini na kucheza michezo ya kirafiki ndani ya nje kwa lengo la kupata uzoefu kabla ya kushiriki kuwania kufuzu kwa fainali za vijana mwaka 2016.
Kikosi cha U15 kinatarajiwa kufanya ziara mwezi Disemba mwaka huu katika nchi za Malawi, Zambia, Zimbambwe, Botswana na Afrika Kusini, kisha mwakani mwezi April 2016 kitaenda Rwanda, Burundi, Uganda na Kenya kucheza michezo ya kirafiki.
Naye Mart Nooij aliyekua kocha wa Taifa Stars, akiongea na waaandishi wa habari alisema anawashukuru watanzania wote, serikali, wadau wa mpira wa miguu nchini na TFF kwa sapoti waliyompatia wakati akiwa kocha mkuu wa timu ya Taifa.
Nooij alisema alifurahia maisha yake akiwa Tanzania kwa kipindi chote alichokua akifundisha timu ya Taifa, lakini kwa sababu imefikia mwisho wa ajira yake hana jinsi anaondoka, lakini ataendelea kuikumbuka Tanzania na watanzania wote kila siku kwa ukarimu wao.
Wakati huo huo Rais wa TFF. Jamal Malinzi amemtangaza Charles Mkwasa kuwa kocha mpya wa Taifa Stars akisaidiwa na kocha Hemed Morocco, Mkwasa  ambaye ni kocha wa Yanga na Morocco kocha wa Mafunzo watafanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu ambayo timu ya taifa itakua na michezo ya kuwania kufuzu kwa CHAN na AFCON.
Malinzi amesema uteuzi wa makocha hao wazawa umezingatia vigezo vya makocha wa timu ya Taifa kuwa na leseni A ya ukocha kutoka CAF au zinazofanana kutoka mashiriksho mengine duniani wanaozifanyia kazi, jambo ambalo makocha  hao wazawa wamekizi.
Kocha Mkwasa atakua akipewa hudumu zote na masilahi  (zikiwemo posho) alizokuwa anapewa kocha aliyeondoka, pia amepewa nafasi ya kuchagua benchi lake la ufundi la kufanya nalo kazi, hivyo nawaomba wadau wa mpira wa miguu na watanzania kwa ujumla tuwape sapoti makocha hao wazawa” aliongeza Malinzi”
Aidha Kamati ya utendaji ya TFF Iimemteua Alhaj Ahmed Mgoyi kuwa mratibu wa timu ya Taifa, lengo la uteuzi huo wa Mgoyi ni kuwa kiunganishi kati ya kamati ya Utendaji na timu ya Taifa.
U15 YAINGIA KAMBINI
Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 15 ya Tanzania, imeingia kambini jana na kuanza mazoezi leo katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya kombaini U15 ya mkoa wa Mbeya siku ya jumapili.
Kikosi hicho kilicho chini ya makocha Bakari Shime na Peter Manyika kitacheza mchezo huo kwa lengo la waalimu kupatawa fursa ya kuwaona vijana hao na kuwaongeza wengine watakaoneka katika kikosi hicho.
U15 ni mpango wa TFF kuandaa kikosi kizuri chenye ubora kuelekea kuwania kufuzu ka fainali za vijana Afrika mwaka 2017 zitakazofanyika nchini Madagascar, ambapo vijana hao watakua na umri wa miaka 16 kufikia mwakani wakati michezo ya kuwania kufuzu itakaponza mwezi Julai, 2016.

BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu 
……………
BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokeza kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto
bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya mwingine 
alitolea mfano wa mabondia wanaotamba Dar es salaam kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe kila wakati ni Lulu Kayage,Halima Ramadhani, Fatuma Yazidu
sasa wakae foleni kwani atawapa vipigo mmoja baada ya mwingine bondia uyo mpaka sasa amecheza michezo mitatu ambapo mchezo wake wa kwanza alicheza na Vailet Modest na kufanikiwa kumtwanga kwa point mchezo wake wa pili alicheza na Telesia Kiwale na mchezo wake wa tatu alicheza na Jennifer Pius na kumsambalatisha kwa pointi
hivyo amewaomba mapromota wajitokeza kumsaidi kupambanishwa na mambondia aliowataja hapo juu kwa uzito wa kg 49
mbali na hivyo ametowa wito kwa tasisi mbalimbali pamoja na kmpuni kujitokeza kudhamini mchezo wa masumbwi kwani unapendwa na mashabiki lukuki nchini

Chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania wasitisha kukununua stika za TRA na kupeleka filamu zao Bodi ya filamu kwaajili ya kufanyiwa ukaguzi

 
Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za kitanzania kutokuwa na ushindani sokoni.

Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha filamu kutoka nje ambayo inasemekana kuwa na maadili yasiofahaa kutazamwa na watoto chini ya miaka 18 ambayo inaendelea kuuzwa nchini huku ikiwa haijakaguliwa na bodi ya filamu wala haina stika za TRa kitu ambacho kimekuwa kikiwaumiza watayarishaji na wauzaji wa filamu za kitanzania ambazo zimekuwa na mlolongo mrefu hadi kuingia sokoni.

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa makini kuandika kile kinachozungumzwa.

Mjumbe wa chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania, Bw Saleh Abdallah akizungumzia kauli moja waliyokubaliana kama wasambazaji kuwa Kuanzia tarehe 1 Julai 2015 wao kama watayarishaji na wasambazaji wa kazi za filamu Tanzania wamesitisha swala la kupeleka filamu zao bodi ya filamu kwaajili ya kukaguliwa wala kununua stika za TRA mpaka pale mamlaka husika zitakapokaa chini na kujadiliana kuhusu swala hili.
……………………………………………………….
HABARI PICHA- NA  LUKAZABLOG
Chama cha wasambazaji wa kazi za filamu Tanzania leo wamekutana na waandishi wa habari kuelezea nia yao ya kusitisha kupeleka filamu zao bodi ya filamu Tanzania kwaajili ya kukaguliwa huku wakielezea sababu kuwa Bodi ya filamu imekua ikikagua filamu za Tanzania tu huku zile za nje zikiwa hazikaguliwi na kupelekea kuwaumiza wao katika soko la filamu.
Vilevile wamesitisha zoezi la kununua stika za TRA kutokana na sababu kuwa kazi nyingi za nje hazina stika na pia maafisa wa TRA wakipita kukagua filamu wanachukua za Tanzania tu ambazo hazina stika huku wakiziacha zile zinazotoka nje na zile zinaharamiwa huku sheria ya filamu ya mwaka 2012 ikisema kuwa filamu zote ziwe za nje au za ndani zinatakiwa kukaguliwa na kupewa daraja.
Kutokana na sababu ambazo chama cha wasambazaji wamezieleza kuwa Pamoja na kuwaandikia barua Mamalaka ya Mapato Tanzania na Bodi ya Filamu kuhusiana na swala hilo hawakuweza kupatiwa majibu ya barua yao na ndipo walipoamua kusitisha kununua stika na kupeleka filamu zao bodi kwaajili ya kukaguliwa mpaka watakapokaa meza moja huku wakiendelea kupeleka filamu sokoni.

Simbachawene -ataka ushirikiano kwa wananchi atekeleze majukumu ya Wizara

1
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mwilowe, Wilaya ya Mpwapwa, baada kuzuia msafara wake wakati alipopita katika Kijiji hicho wakati wa ziara ya kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili unaofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Kutekelezwa na Shirika la Umeme Nchini, (TANESCO). Wanakijiji hao walimweleza Waziri kuwa kijiji chao pia kiunganishwe na umeme.
2
2. Wananchi wa Kijiji cha Mwilowe wakizuia msafara wa Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene wakitaka kijiji hicho pia kiunganishwe na nishati hiyo. Waziri alikua katika ziara ya kutembelea na kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini unaofadhiliwa na wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO).
3
3. Baadhi ya akina mama wa Kijiji cha Lukole, Wilaya ya Mpwapwa wakishangilia baada ya Waziri wa Nishati na Madini, George simbachawene kuwahakikishia kukiunganisha Kisima cha maji kijijini hapo na Nishati ya Umeme.
4
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akimsikiliza Mwananchi katika moja ya mikutano yake na wananchi wakati akikagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili, katika Kijiji cha Malolo, Wilaya ya Mpwapwa.
5
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akiangalia mfano wa mashine ya kusaga inayotumia umeme wa mota aliyotengenezwa na Kijana katika Kijiji cha Lukole. Simbachawene aliahidi kumsaidia Kijana hiyo kuweza kufikia lengo lake.
6
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akizindua Albam ya nyimbo ya Kwaya ya Mtakatifu Agustino katika Kijiji cha Kingiti, Kigango cha Kingiti, wilaya ya Mpwapwa wakati wa ziara yake ya kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini, Awamu ya Pili.
7
8. Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akionesha Album ya nyimbo ya Kwaya ya Mtakatifu Agustino katika Kigango cha Kingiti, kijiji cha Kingiti baada ya kuzindua Albam hiyo. Simbachawene alizindua album hiyo wakati wa ziara yake ya kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini, Awamu ya Pili.
8
Waziri wa Nishati na Madini, George simbachawene akishiriki kucheza ngoma ya Kabila la Wagogo wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Umeme Vijijini, Awamu ya Pili katika Kijiji cha Malolo, Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma.
9
10. Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akimkabidhi baskeli , Diana Kalenza, katika kijiji cha Idodoma, Wilaya ya Mpwapwa wakati wa ziara yake ya kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme vijijini, Awamu ya Pili. Kwa mujibu wa Simbachawene baiskeli hiyo imetengenezwa na SIDO, Dar es Salaam.
10
11. Mmoja wa wananchi katika kijiji cha Malolo akiimba wimbo mbele ya Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene wakati wa ziara ya Waziri katika Kijiji chicho. Wimbo huo uliokuwa na ujumbe wa kumwomba waziri kukiunganisha Kijiji hicho. Aidha, wimbo huo ulieleza namna wanakijiji hao watakavyotumia nishati hiyo kwa maendeleo yao.
…………………………………………………………..
Na Asteria Muhozya, Mpwapwa
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amewataka wananchi kuwapa ushirikiano viongozi wa Wizara hiyo ili waweze kutekeleza kikamilifu majukumu yao kutokana na kusimamia rasilimali muhimu zinazobeba uchumi wa nchi.
Simbachawene aliyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wa ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini unafadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), na kutekelezwa na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), katika vijiji vya Kinusi, Nzugilo, Idodoma, Malolo na Lukole, Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma.
“Tuko kwa ajili ya kuwatumikia wananchi. Tunataka mshuhudie mafanikio makubwa ya usambazaji umeme vijijini. Serikali inatambua umuhimu wa nishati hii kwa maendeleo,na tutahakikisha kuwa, tunavifikia vijiji zaidi katika Awamu ya Tatu”, alieleza Simbachawene.
Simbachawene aliongeza kuwa, Mradi wa usambazaji Umeme Vijijini ni endelevu na kuongeza kuwa, hivi sasa , serikali imezifikia takriban Kata na Tarafa nyingi nchini na kuongeza kuwa, serikali itahakikisha inayafikia maeneo mengi zaidi yakiwemo yale yenye huduma muhimu za kijamii zikiwemo zahanati, shule na visima vya maji.
Aidha, alisema wizara yake iko kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote kuhakikisha kwamba wananufaika na rasilimali anazozisimamia bila kujali itikadi za vyama na hivyo kuwaomba wananchi kuonesha ushirikiano wakati serikali inapotekeleza Mradi huo wa usambazaji umeme Vijijini.
“Tuo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi na si kwa kuangalia itikadi za vyama.Tutawatumikia wananchi wote bila kupokea rushwa kwa kuwa tunao uwezo wa kuwatumikia , nia tunayo, tunachotaka ni ushirikiano wenu”, alisema Simbachawene.
Katika hatua nyingine Simbachawene amepiga marufuku uchimbaji wa madini katika vyanzo vya maji na kueleza kuwa, wote watakaobainika kuchimba madini katika vyanzo hivyo, watafutiwa leseni zao za uchimbaji madini.
“ Sheria ya madini, kanuni na taratibu zake haziruhusu kuchimba madini katika vyanzo vya maji, kwa yeyote atakaebainika kuchimba madini katika vyanzo hivyo, tutamfutia leseni kwa kufuata taratibu na kanuni hizo”,alisistiza Simbachawene.

Kongamano la Huawei Cloud Conference lafanyika Dar es salaam

1
Katibu mkuu wa Wizara ya Sayansi Pro. Patrick Makungu  Md of Huawei Tanzania Bw. Zhan Yongquan anayeshuhudia ni balozi wa china nchini Tanzania, Waziri wa Mawasiliano Sayansi na technolojia na waziri wa afya wa Zanzibar. bw kombo, wakisaini mkataba wa makubaliano kati yao  ikiipa nafasi kampuni ya Huawei Tanzania kua moja ya washauri wa mambo ya TEHAMA nchini.
2
Waziri wa Wizara ya Sayansi pro. Makame Mbawara akielezea Data Center iliyojengwa hapa Tanzania kwa waandishi wa habari. Pembeni yake ni Director wa ICT Dr. Ally Simba,
3
Mr. Jiang Xin (Product Manager wa Huawei Enterprises) akielezea Data Center.
………………………………………………………..
Kampuni ya Huawei Tanzania ikishirikiana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia  wameandaa kongamano la kwanza la sekta ya TEHAMA (ICT) ijulikanayo kama Huawei Cloud Conference kwenye ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC).
Kongamano hili liliwakutanisha wadau wote wa TEHAMA (ICT) nchini, wakiwemo wa serikali na wa sekta binafsi na lilizinduliwa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Lv Youquin, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof Patrick Makungu pamoja na usimamizi wa makampuni shirika ya Huawei Tanzania kutoka; Airtel, Viettel, Tigo, Vodacom, na TTCL.
Katika Kongamano hilo la mada “Rahisisha Teknolojia, Rahisisha Biashara” ilizungumziwa hali ya sasa ya sekta ya TEHAMA, sera zake pamoja na kupanga jinsi ya kuiendeleza sekta hii nchini ili kufikia malengo ya Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ya millenia ya 2025 ambayo ni kuendeleza Tanzania kupitia TEHAMA.
Katika kongamano hili kampuni ya Huawei Tanzania (ambao ni wabunifu wakubwa wa bidhaa na huduma za TEHAMA) pamoja na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia walitia sahihi mkataba wa makubaliano kati yao huku ikiipa nafasi kampuni ya Huawei Tanzania kua moja ya washauri wa mambo ya TEHAMA nchini.
Baada ya kutia sahihi, Kampuni ya Huawei Tanzania ilielezea mipango yake ya kuendeleza na kukuza mawasiliano nchini Tanzania kwa kukuza sekta ya TEHAMA na kutoa elimu serikalini, mashuleni na kwa wananchi wote kwa ujumla kuhusu sekta iyo.
Tanzania imekua ikifanya kazi kwa karibu sana na Kampuni ya Huawei Tanzania na kwa mda wote kampuni hii imeshirikiana na wizara kwa karibu sana. Utiaji sahihi wa makubaliano ya kushirikiana katika shughuli za TEHAMA ni ushuhuda tosha wa jinsi Huawei Tanzania inavyojali sekta ya TEHAMA nchini na itaendeleza kukuza teknolojia hiyo nchini.
Akizungumza katika Kongamano hilo, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Prof. Makame Mbarawa alisema, “TEHAMA inachangia sana katika maendeleo ya Uchumi ya nchi kwani inawezesha mambo kufanyika kwa ufanisi zaidi. Wizara na serikali kwa ujumla imekuwa na mahusinao mazuri na Kampuni ya Huawei Tanzania, na tumesha shirikiana katika miradi mingi. Pamoja na ubunifu wake katika sekta ya TEHAMA, Huawei imechangia sana katika mambo mbali mbali nchini Tanzania. Kufikia kwenye Mkataba wa Makubaliano kati ya Wizara na Huawei ni ishara ya ubora wa kazi ambayo kampuni hii, na itaendeleza ubadilishinaji wa teknolojia kati ya Huawei na Tanzania. Huawei imechangia pakubwa katika ukuaji wa sekta ya TEHAMA nchini Tanzania.
Naye Balozi wa China nchini Tanzania Bw. Lv Youquin alisema, “ Kwa mda mrefu Tanzania na China wamekua na mahusiano mazuri hususan baada ya ujio wa raisi wa china bwa. Xi Jinping mwaka 2013; Kampuni nyingi za kichina zimekuja Tanzania kuwekeza na kukuza nchi. Kama kiongozi wa mambo ya TEHAMA duniani, Huawei imewekeza nchini Tanzania kwa Zaidi ya miaka 17 na kwa muda wote huo imetoa ajira nyingi kwa watanzania pamoja na kuwekeza kwenye shughuli za kijamii nchini, na kuwa mfani wa kuiga katika maswala ya kidiplomasia kati ya Tanzania na China.
Katika hotuba yake, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof Patrick J Makingu aliwapongeza Huawei kwa mchango wao katika kujenga Tanzania bora kupitia TEHAMA na kuwasihi makampuni mengine ya TEHAMA kuiga mfano wa Huawei. Aliendelea kwa kusema, “Huawei imekuwa ikijikita katika kutafuta suluhisho mpya katika sekta ya TEHAMA duniani. Awali mwaka huu, Huawei ilihusika katika Kongamano la Mobile World Congress mjini Barcelona nchini Uhispania ambapo walikuwa moja kati ya mashirika makubwa kufanya maonyesho ya bidhaa zake mpya na sisi kama Wizara tunajivunia kufanya kazi nao”.
Naye Mtendaji Mkuu wa Huawei Tanzania Bw. Zhang Yongquan alisema “Kampuni ya Huawei Tanzania imekuwepo nchini kwa takribani miaka 17 na imejishughulisha katika shughuli mbalimbali za kujenga nchi ikiwepo shughuli za kijamii hususani kwenye michango vyuoni na mahospitalini. Bw. Zhang Yongquan, aliendelea kwa kusema “Tunashukuru serikali ya Tanzania pamoja na wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia kwa kuendelea kuiunga mkono kampuni yetu”.
Katika kongamano hilo, kampuni ya Huawei Tanzania ilizindua bidhaa zake mpya Oceanstor V3 and Fusioncube. Pia imeonyesha Truck yao inayozunguka nchi mbalimbali kila mara moja kwa mwaka ikianzania nchini China, na kwa mwaka huu truck hili linazunguka kusini na magharibi mwa bara la Afrika.
Kampuni ya Huawei Tanzania inaongoza katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano nchini Tanzania na imekua ikishirikiana na wadau wengine wa mawasiliano kama Tigo, Vodacom, Airtel, Zantel na TTCL katika kuchangia ukuaji wa watu binafsi kwenye hii sekta (ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano).

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI LEO JUMANNE -JUN

14
15
5
6
7
8
10
9
11
12
13
1
2 3 4

SERIKALI YA MAREKANI YAZINDUA MRADI WA DOLA MILIONI 14.5 WA KULINDA MAZINGIRA,KUKUZA UHIFADHI NA UTALII NCHINI TANZANIA

SAM_3286
Balozi  wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa PROTECT  wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira,kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa unaolenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania,uzinduzi huu ulifanyika jana katika eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori {WMA} la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa tarangire Wilayani Monduli mkoani Arusha.
SAM_3306
Balozi  wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress wakitiliana saini mkataba wa mradi wa PROTECT na Waziri wa Mali Asili na Utalii nchini Tanzania Lazaro Nyalandu
SAM_3297
Waziri wa Mali Asili na Utalii nchini Tanzania Lazaro Nyalandu akizungumza katka uzinduzi huo, ameishukuru serikali ya Marekani kwa msaada huo huku akiongeza kuwa kumekuwa na uvamizi mkubwa katika maeneo ya hifadhi za taifa na kusema kuna mpango makakati wa kuhakikisha njia zote zinafunguliwa ili kuwezesha wanyamapori wote kuwa huru kuzunguka katika hifadhi zote nchini.
SAM_3282
Mkuu wa mradi huo wa PROTECT Jon Anderson akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa PROTECT  wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira,kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa.
SAM_3274
Mwenyekiti wa jumuiya ya hifadhi ya jamii Randilen   Daniel Loishaye akizungumza katika uzinduzi huo.
SAM_3276
Wadau wa wanyamapori wakiwa wanafatilia hotuba ya Balozi  wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress.
SAM_3311
Balozi  wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akiwa anapunga mikono ishara ya kuagana na wadau mbalimbali waliofika katika uzinduzi huo
SAM_3256
Wanyama aina ya Twiga wakiwa wanapamba hifadhi ya Tarangire.
 …………………………………
(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog
Serikali ya Marekani kwa kupitia shirika la ushirikiano wa kimataifa
{USAID} imezindua rasmi mradi wa miaka mitano wa kulinda mazingira na
kukuza uhifadhi wa utalii wa  dolla za kimarekani milioni14.5 hapa
nchini ujulikanao kama PROTECT=PROJECT
Uzinduzi huu ambao umefanyika ndani ya eneo la hifadhi ya wanyamapori
linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori {WMA} la Randilen
linalopakana na hifadhi ya taifa tarangire Wilayani Monduli mkoani
Arusha, balozi  wa marekani nchini Tanzania mark Childress amesema
mradi huu unalenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na
ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania.
Balozi Mark amesema mradi wa PROTECT utalenga kutoa ufumbuzi wa muda
mfupi kwa tatizo kubwa lililopo sasa la ujangili huku likiweka misingi
ya mafanikioya muda mrefu katika vita dhidi ya ujangili sanjari na
kuhimiza ushirikiano kati ya jumuiya za kiraia.
Amesema mradi huu  pia utatoa ruzuku ya miaka mitano ya dolla za
kimarekanio 2.75 milioni kwa jamii inayozunguka hifadhi kwa lengo la
kuwajengea uwezo wa kusimamia raslimali hizo.
Aidha balozi ametangaza mradi mpya wa dola 14 milioni za kimarekani
unaotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni utakaoshughulikia maeneo ya
bayoanuai zilizopo katika hatari ya kutoweka katika ukanda wa
kaskazini mwa Tanzania utakao fahamika kama Endangered Ecosystems
Northern Tanzania project kwa lengo la kupambana na ujangili.kutoa
msaada ya moja kwa moja kwa MWA ,jamii na wadau katika sekta ya utalii
ili kuboresha usimamizi wa wanyamapori.
Kwa upande wa Waziri wa Mali Asili na Utalii Lazaro Nyalandu baada ya
uzinduzi na kusaini mkataba amesema kumekuwa na uvamizi mkubwa katika
maeneo ya hifadhi za taifa na kusema kuna mpango makakati wa
kuhakikisha njia zote zinafunguliwa ili kuwezesha wanyamapori wote
kuwa huru kuzunguka katika hifadhi zote nchini.
Pia amewataka wana jamii wa maeneo ya hifadhi ya jumuiya ya WMA
Randilen kukaa na uongozi wa hifadhi na kutatua changamoto zilizopo.

NHC LAFANYA UHAKIKI WA VIKUNDI VYA VIJANA KATIKA MKOA WA LINDI NA MTWARA

Uhakiki wa vikundi vya vijana vilivyopewa msaada wa mashine na NHC ili kujiajiri na kusaidia wananchi kupata matofali ya kujengea nyumba bora umeanza katika Mikoa mbalimbali ukianzia na Mkoa wa Lindi na Mtwara. Katika hali isiyotarajiwa Mkoa wa Mtwara ambao kwa muda mrefu umekuwa ukililia kuletewa maendeleo umeshindwa kutumia fursa ya msaada wa mashine kwa vijana waliyopewa na NHC hali iliyolifanya Shirika kutwaa baadhi ya mashine ili zipewe vikundi vingine vinavyofanya vizuri Fuatilia kupitia habari picha hizi ili ufahamu kilichojiri katika mikoa hiyo ya kusini mwa Tanzania. Leo uhakiki huo unaendelea Mkoani Ruvuma.
New Picture
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Bw. Nicholous Kombe akimsikiliza Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya akimshukuru kwa Halmashauri hiyo kusaidia kikundi cha vijana kwa kuwawezesha fedha na udongo kwa ajili ya kutengeneza matofaliya kufungamana. Katikati ni Meneja wa NHC Mkoa wa Lindi Bw. Mussa Patrick Kamendu.
New Picture (2)
Jengo la Ofisi ya kikundi cha vijana cha Narunye(hakuna kutegeana) katika Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Vijijini likiwa limeonwa na Kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru kama inavyoonekana. Kikundi hiki kimeshaanza kupata maombi mengi ya matofali kutoka kwa wananchi wanaohitaji.
New Picture (1)
Kikundi cha vijana cha Ruangwa Materials Group katika Halmashauri ya Wilaya Ruangwa kimeshatengeneza matrofali kwa kutumia mashine ya msaada kutoka NHC. Halmashauri ya Wilaya hiyo imeamua kuyatumia matofali ya vijana hawa kujengea zahanati na majengo mengine yanayohitajika katika Halmashauri zikiwemo nyumba za Waalimu.
New Picture (3)
Meneja wa NHC Mkoa wa Lindi Bw. Mussa Patrick Kamendu akitoa mawaidha kwa kikundi cha vijana cha Narunye kilichopo katika Wilaya ya Lindi vijijini baada ya kutembelea kikundi hicho kukagua kazi zake.Vijana hawa wanajihusisha pia na utunzaji mazingira.
New Picture (4)
Baada ya Wakurugezi wa Halmashauri za Kilwa na Lindi Vijijini kutokuwa karibu na vikundi vya vijana, Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC na Meneja wa Mkoa wa Lindi waliweza kufanya mazungumzo nao ya kina na hatimaye wamekubali kuwasaidia vijana waliopewa msaada wa mashine na NHC katika Halmashauri zao ili waweze kujiajiri. Kulia ni Bi. Oliver Vavunge ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Vijijini na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kilwa Bi. Maimuna Mtanda.
New Picture (5)
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Bw. Daniel Kaluse hakuwa nyuma kutembelea kikundi cha Vijana na Maendeleo kilichopo eneo la Mitwero nje kidogo ya Manispaa hiyo ili kuwapa moyo na kufahamu maendeleo yao akiwa ameandamana na ujumbe wa NHC.
New Picture (6)
Meneja wa NHC Mkoa wa Mtwara Bw. Joseph John akitoa taarifa ya Mkoa kwa Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC ya maendeleo ya vikundi vya vijana waliosaidiwa mashine na NHC . Katika taarifa yake Meneja huyo alisikitishwa na vijana wa Mkoa wa Mtwara kushindwa kutumia kikamilifu msaada huo na akalaumu Halmashauri za Mkoa huo kushindwa kushiriki kikamilifu katika programu hiyo ya kusaidia vijana.
New Picture (7)
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya akikemea na hatimaye kukinyanganya mashine kikundi cha Likonde katika Manispaa ya Mtwara kwa kuifungia stoo mashine waliyopewa msaada na NHC bila kufanya kazi iliyokusudiwa ya kufyatua matofali. Mashine hiyo itapewa kikundi kingine ili itumike kikamilifu.
New Picture (8)
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya akiwa Wilayani Tandahimba akikagua matofali yaliyotengenezwa na kikundi cha vijana cha Maendeleo Group kilichopewa msaada wa mashine na NHC. Kikundi hiki kinasubiri kulipwa na Halmashauri matofali hayo yanayotarajiwa kujengea nyumba za waalimu.
New Picture (9)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Bw Dennis Mwaitete akielezea mkakati wa Halmashauri yake wa kusaidia vijana ulivyo alipotembelewa na ujumbe wa NHC uliokuwa ukihakiki vikundi vya vijana Mkoani Mtwara.
New Picture (10)
Kikundi cha vijana cha Umoja Lekanelo kilichopo Wilaya ya Newala kilichoshindwa kutumia kikamilifu mashine ya msaada kilichopewa na NHC kiliweza kupokonywa mashine hiyo jana. Wilaya ya Newala ina shughuli za madini na kilimo cha korosho kiasi cha kuwafanya vijana kushindwa kujihusisha kikamilifu na mradi wa kufyatua matofali.
New Picture (11)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Marx Kamaoni akizungumza na ujumbe wa NHC uliofika Ofisini kwake kuhamasisha Halmashauri za Wilaya kusaidia vikundi vya vijana vilivyopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali na NHC.
New Picture (12)
Vyombo vya habari vimehusishwa katika uhakiki huu na hapa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Newala Bw. Marx Kamaoni akiongea na waandishi wa habari kuelezea mkakati wa Halmashauri yake kusaidia vijana.
New Picture (13)
Kikundi cha Vijana cha For Energy Group kilichopo Wilayani Masasi kilitembelewa na baada ya kuridhishwa na utendaji wake NHC ilikiongezea mashine mbili zilizopokonywa vikundi vingine vilivyoshindwa kuzitumia Wilayani Newala na Masasi Vijijini. Hii ni nyumba iliyojengwa na kikundi hicho Wilayani Masasi.
New Picture (14)
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC Bw. Muungano Saguya akivionya vikundi vya vijana vya Nayoden na Mangaka Wilayani Nanyumbu waliokula fedha ya mtaji waliopewa na NHC ambapo aliamuru kuchukuliwa kwa mashine zao na kuwapa muda wa kujiandaa. Aliwataka kuziomba mashine hizo kwa maandishi watakapokuwa tayari kuzitumia. Mashine hizo zilifungiwa Ofisi ya Kata ya Mangaka kwa muda wa miezi nane wakisubiri kupata fedha nyingine kutoka NHC.
New Picture (15)
Mashine iliyopokonywa vijana wazembe Wilayani Nanyumbu ikipandishwa katika gari baada ya vijana hao kuzembea kuitumia na kuifungia Ofisi kwa muda mrefu.

TBL FAMILY DAY ILIVYOFANA BAHARI BEACH DAR es salaam

Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiandika majina ya watoto waliofika pamoja na wazazi wake kwa ajili ya kuwapatia zawadi wakati ya sherehe ya siku ya familia ya TBL iliyofanyika kwenye ufukwe wa bahari beach.
Ofisa Uhisano wa TBL, Dorris Malulu akiwa na mumewe wakipata mlo.
Wakipata chakula wakati wa siku ya familia.
Watoto wa wafanyakazi wa TBL wakiogelea wakati wa siku ya familia.
Wafanyakazi wa TBL NA FAMILIA ZAO WAKICHEZA MUZIKI.
Mabalozi wa Bia mpya ya Twist wakiwasili kwa boti katika hafla hiyo.
Mabalozi wa Bia mpya ya Twist wakiselebuka kanda ya bahari ya Hindi baada ya kushuka kwenye boti iliyowaleta kwenye ufukwe wa Bahari Beach, Dar es Salaam kushiriki siku ya familia ya Kampuni ya Bia tanzania (TBL)
 Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakicheza muziki kando ya ufukwe wa bahari beach, dar es salaam wakati wa sherehe ya siku ya familia ya TBL.
Msaani mwenye vimbwanga katika sanaa ya maigizo na sarakasi, Emsi Amani wa kundi la Sanaa la Bantu Acrobatics akionyesha uwezo wake wa kucheza na jukwaa wakati wa siku ya familia ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).

BARAZA LA USHAURI LA WATUMIAJI USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC WASHIRIKI KIKAMILIFU WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM

Kikosi kazi cha Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) wakiwa tayari kutoa huduma kwa wageni mbalimbali watakaotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Athuman Bakari, Aziza Tamim na Debora Mligo.
Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC)wakitoa huduma kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda hilo leo.
 Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la watumiaji Huduma za Usafiri wa anga (TCAA-CCC), Hamza Johari akizungumza jambo wakati wa mahojiano na waandishi wa habari waliotembelea banda hilo.
 Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la watumiaji Huduma za Usafiri wa anga (TCAA-CCC), Hamza Johari akiwa katika mahojiano na waandishi wa habari wa Magazeti ya serikali(Daily News na Habarileo) waliotembelea banda hilo Dar es Salaam jana.
 Debora Mligo na Aziza Tamim wa TCAA-CCC wakiwasikiliza wageni waliotembelea banda hilo.
Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)
Charles Chacha  akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea banda la Baraza la Ushauri la watumiaji Huduma za
Usafiri wa anga (TCAA-CCC) liliopo kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa
Umma yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo. Kutoka
kushoto   ni  Katibu Mtendaji wa Baraza Hamza Johari
,waelimishaji na wahamasishaji  wa baraza
hilo Debora Mligo na Athuman Bakari.
Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Charles Chacha
(mwenye suti)  katikati akiwa katika picha na  ya Pamoja na wafanyakazi
wa Baraza la Ushauri la watumiaji Huduma za Usafiri wa anga (TCAA-CCC)wakati alipotembelea
kwenye banda lhilo  kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini
Dar es Salaam.

BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU

SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliofika kwenye viwanja vya Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino Ikulu, wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Picha zote na John Badi
SONY DSC
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akiangalia kikundi cha ngoma za asili wakati alipowasili kwenye viwanja vya Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino Ikulu, wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
SONY DSC
Mzee Aidan Mazego (kushoto), akitoa salamu za baraka kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati) alipofika kwenye Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino Ikulu, wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kulia ni Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Dodoma, Mzee William Kusila.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Chamwino Ikulu, Joseph Seganje kuhusu Mnara wa kumbukumbu ya Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyeishi katika kijiji hicho, kuanzia Julai 10.1971 hadi Oktoba 30.1971 akihimiza siasa ya ujamaa na kujitegemea nchi nzima, wakati Waziri Membe alipofika wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wa pili (kushoto) ni Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Janeth Mashele.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akisoma falsafa za Mwl. Nyerere alipotembelea Mnara wa kumbukumbu ya Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyeishi katika Kijiji cha Chamwino Ikulu, kuanzia Julai 10.1971 hadi Oktoba 30.1971 akihimiza siasa ya ujamaa na kujitegemea nchi nzima, wakati Waziri Membe alipofika wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wa tatu (kushoto) ni Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Janeth Mashele.
SONY DSC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akitazama picha za matukio mbalimbali ya Mwl. Nyerere alipotembelea Mnara wa kumbukumbu ya Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliyeishi katika Kijiji cha Chamwino Ikulu, kuanzia Julai 10.1971 hadi Oktoba 30.1971 akihimiza siasa ya ujamaa na kujitegemea nchi nzima, wakati Waziri Membe alipofika wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kushoto ni Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Dodoma, Mzee William Kusila na (wa tatu kushoto) ni Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Janeth Mashele.

SIMBA SPORT CLUB WAZINDUA TOVUTI YAKE Dar es salaam

Afisa Mtendaji Mkuu wa  EAG Group Imani Kajula Akimwelezea Jambo Rais wa Simba Sport Club Evans Aveva (Aliyekaa) Wakati wa Uzinduzi wa Tovuti ya Club Hiyo Anayeshuhudia ni Makamu wa Rais wa Club ya Simba Geofrey Nyange ‘Kaburu
Simba Sports Club leo hiiimezindua tovuti yake Ili kukuza  mawasiliano  na  wadau wake mbalimbali  hususani; wanachama, wapenzi, vyombo  vya  habari na wadau wengine muhimu. 
…………………………………………
Na Mwandishi wetu-Dar es Salaam
Akizungumza  wakati  wauzinduzi  huo  Rais  wa  Simba Evans Aveva  alisema ‘’Katika dunia na zama  za  utandawazi  tovuti  ndio  na  mitandao   ya   jamii   ndio  njia  kuu ya mawasiliano. Sisi  tuliliona  hili  na  leo  hii  nafurahi  kuwa  Simba Sports Club itazindua  rasmi  tovuti  yake  ambayo  itakuwa  jukwaa  kuu la mawasiliano  na utoaji wa taarifa zake za  club ya   Simba. Natarajia wengi wenu mtaitumia kikamilifu na muhimu zaidi mtatupa mrejesho chanya kuhusu  tovuti yetu’’. 
AfisaMtendajiMkuuwa EAG Group Imani Kajula ambao ni washauri watekeleza ji wa Masokona Biashara wa Simba alisema ‘’Tovuti hii sio tuitaiwezesha Simba kuwapa wadau wake taarifa mbalimbalibali pia  itatumika  kwa  ajili  ya uuzaji  wa  vifaa  vya  Simba, Bidhaa  mbalimbali  mpya  na  muhimu  zaidi  kuwaunganisha   wanachama, mashabiki  na wapenzi wa  Simba  kutumia   mitandao  ya  jamii  iliyo   rasmi  ya  Simba Sports Club’’. 
Mkutano   huo  wa  wandishi  wa  habari   ulitumika  kutaarifu   Wanachama, Wapenzina  Vyombo   vya   habari   juu   ya  kocha   mpya   wa   Simba. Alizungumza  wakati  wakumtambulisha   kocha   mpya   wa   Simba, Rais   Aveva   alisema ‘’Baada ya kupitia  vyeti  na  maombi   ya  makocha   mbalimbali, Napenda  kuwa taarifu kuwa Klabu ya Simba imeingia  kwenye  mkataba  wa   kuifundisha   na   kocha Dylan Kerr raia   wa   Uingereza. Ni kocha   mwenye    uzoefu   wa   zaidi   ya   miaka 30, akiwa  amefanya  kazi  Nchi  mbalimbali  zikiwemo    Uingereza, Scotland, Vietnam   na    AfrikayaKusini’’. 
Aliendelea  kusema ‘’Tunaamini   ujuzi   na   uzoefu wake wa  ukocha na pia kama mchezaji wa kiwango cha juu  utakuwa   chachu   ya   kuifanya   Simba    ifanye    vizuri’’
Continue reading →

WIZARA YA HABARI UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO YAMUAGA RASMI MTALAMU WA KUPIGA PICHA KUTOKA SHIRIKA LA (JICA) LA JAPAN

4
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akitoa shukrani kwa mwalimu wa picha  kutoka Japan  Mitsuhiro Matsuda  katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Ofisini kwake Mnazimmoja.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
3
Afisa habari Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Ramadhani Ali akitoa maelezo ya mafunzo yaliyoendeshwa na Mtaalamu wa Japan  Mitsuhiro Matsuda katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara  ya  Habari Mnazimmoja  Zanzibar.
5
Mtaalamu wa kupiga picha kutoka Shirika la JICA la Japan Mitsuhiro Matsuda akizungumza katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Mnazimmoja Zanzibar.
2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akiangalia baadhi ya picha za wanafunzi waliopata mafunzo ya  mwalimu  kutoka Shirika la JAICA  la Japan  Mitsuhiro  Matsuda katika hafla  ya kumuaga  iliyofanyika  Wizara Habari Mnazimmoja baada ya kumaliza muda wa miaka miwili ya kutoa mafunzo ya kupiga picha Zanzibar.
6
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akimkabidhi zawadi  Mitsuhiro Matsuda zilizotolewa na Idara ha Habari Maelezo Zanzibar katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Mnazimmoja  Zanzibar
7
1
Picha ya pamoja ya Mitsuhiro Matsuda na baadhi ya wanafunzi wake waliopata mafunzo ya miaka miwili ya kupiga na kusafisha picha katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mnazimmoja Zanzibar.

KINANA ALIPOHUTUBIA GEITA

KINANA AKAGUA MIRADI MBALIMBALI SENGEREMA LEO, KESHO KUINGIA MISUNGWI

????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuaindua rasmi kivuko cha Super Sumar kinachofanya safari zake kati ya Pwani ya Kamanga wilayani Sengerema na Mwanza wakati Katibu Mkuu huyo alipo fanya ziara katika jimbo la Sengerema leo akikagua, Kuhimiza na kusikiliza kero mbalimbali za wananchi ili kuzipatia ufumbuzi. Huku akihimiza uhai wa Chama cha Mapinduzi CCM, Akiongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.
Katika picha kutoka kulia ni Miraji Mtaturu Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Mbunge wa jimbo la Sengerema Mh. William Ngeleja, kutoka kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mwanzan Ndugu Magesa Mulongo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Songoro Marine ya Mwanza Salum Ali wakishiriki katika uzinduai huo uliofanyika katika Feri ya Kamanga wilayani Sengerema.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SENGEREMA)
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua kivuko cha Super Sumar akiwa ameongozana na viongozi wa mkoa wa Mwanza. 
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia chumba cha kapteni wa kivuko hicho mara baada ya kukizindua rasmi katika feri ya Kamanga wilayani Sengerema.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akijaribu kuendesha kivuko hicho.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Mbunge wa Sengerema Mh. William Neleja, katikati ni  Kada wa CCM Bw. Laurence Masha na kulia ni Mkurungenzi wa Songoro Marine ya Mwanza  Bw. Salim Ali.
????????????????????????????????????
Mbunge wa Sengerema Mh. William Neleja akizungumza katika uzinduzi huo huku Katibu wa CCM Itikadi na Uenezi  Ndugu Nape Nnauye akimsikiliza.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza  katika uzinduzi huo ambapo amesema ni muhimu kuitengeneza barabara ya Kamanga Sengerema kwa kiwango cha lami ili kuboresha huduma za usafiri kwa wananchi wanaotumia feri hiyo ya Kamanga.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa mtambo wa kusukuma maji kutoka ziwa Victoria katika kijiji cha Nyamazugo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Anhony Sanga Mkurugenzi wa MWAUWASA wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa mtambo wa kusukuma maji kutoka ziwa Victoria kwenda katika mji wa Sengerema na vijiji vyake.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akilagua mradi wa ujenzi wa mtambo wa kusukuma maji kutoka ziwa Victoria kwenda katika mji wa Sengerema na vijiji vyake.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Anhony Sanga Mkurugenzi wa MWAUWASA wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa tanki kubwa la maji katika eneo la Igogo mjini Sengerema ambalo litapokea maji  kutoka ziwa Victoria kwenda katika mji wa Sengerema na vijiji vyake.
????????????????????????????????????
Hii ni sehemu ya tanki la maji linalojengwa katika keneo la Igogo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na  Mhandisi Anhony Sanga Mkurugenzi wa MWAUWASA wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa tanki kubwa la kupokea maji kutoka ziwa Victoria kwenda katika mji wa Sengerema na vijiji vyake, Katikati ni Mbunge wa jimbo al Sengerema Mh William Ngeleja na Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu mwenye kofia.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi huo  kutoka kushoto ni Miraji Mtaturu Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza ,  Mhandisi Anhony Sanga Mkurugenzi wa MWAUWASA  na Mbunge wa jimbo la Sengerema Mh. William Ngeleja wakati alipokagua mradi wa ujenzi wa tanki kubwa la kupokea maji linalojengwa eneo la Igogo kutoka ziwa Victoria kwenda katika mji wa Sengerema na vijiji vyake.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendelea na ukaguzi huo
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Anhony Sanga Mkurugenzi wa MWAUWASA wakati alipokagua mradi huo.
????????????????????????????????????
Mafundi wakiendelea na kazi katika mradi huo
????????????????????????????????????
Miraji Mtaturu Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza akizungumza na wananchi wakati akimkaribisha Ndugu William Ngelea kupanda jukwaani kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM mjini Sengerema.
????????????????????????????????????
Mbunge wa jimbo la Sengerema Mh. William Ngereja akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Sengerema.
????????????????????????????????????
Katibu wa CCM Itikadi na Uenezi  Ndugu Nape Nnauye akiwahutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Sengerema.
????????????????????????????????????
Katibu wa CCM Itikadi na Uenezi  Ndugu Nape Nnauye akiwahutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa CCM Sengerema.
????????????????????????????????????
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo akizungumza na wananchi katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi katika mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa CCM  mjini Sengerema
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati akihutubia katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu matatizo ya wananchi katika mkutano huo.
????????????????????????????????????
????????????????????????????????????
Umati wa wananchi akiwa umefurika katika mji wa Sengerema.

MATUKIO KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA-JUNI 22,2015

1
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Peramiho na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge,Jenista Mhagama bungeni mjini Dodoma Juni 22, 2015.
(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
2
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista Mhagama akiteta na Mbunge wa Kibakwe na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene bungeni mjini Dodoma Juni 22, 2015.
3
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akteta na Mbunge wa Nkenge, Asumta Mshama kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 22, 2015.
4
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwanasheria  Mkuu wa Serikali, George masaju kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma juni 22, 2015.
5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mbunge wa Mji Mkongwe, Muhammad Sanya (kushoto ) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 22, 2015.
6
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Shirika la Moyo Mtakatifu wa Yesu la Parokia ya Karatu kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma juni 22, 2015. Kushoto kwake ni Mbunge wa Viti Maalum, Cecilia Paresso.
7
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na watoto wa Shirika la Moyo Mtaktifu wa Yesu wa Parokia ya Karatu, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 22, 2015.
8
9
Naibu Spika wa Bunge Job Ndugai akiteta na Mbunge wa Viti Maalum Maria Hewa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 22, 2015.
10
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mafia , Abdulkarim Shahah  (kulia) na Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (katikati) kwenye jengo la Utawala la  Bunge mjini Dodoma juni 22, 2015.

No comments :

Post a Comment