Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Balozi
wa Italy Nchini Tanzania, Luigi Scotto, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015 kwa ajili ya mazungumzo.
Picha zote na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi
wa Italy nchini Tanzania, Luigi Scotto, wakati alipofika Ofisini kwake
Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015 kwa mazungumzo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya
pamoja kwa kumbukumbu na Ballozi wa Italy nchini Tanzania, Luigi Scotto
(wa pili kushoto), baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa
Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 25, 2015. Kushoto ni
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Marekani, Balozi Joseph Sokoine (kulia)
ni Msaidizi wa Balozi wa Italy, Michelangela Adamo.
UTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
Wataalam wa Kujitolea kutoka
nchini Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini wakimsikiliza
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Utumishi Bw.HAB Mkwizu katika hafla
fupi ya kuwaaga iliyofanyika ukumbi wa Utumishi jijini Dar es Salaam
Juni 25,2015.
Mtaalam wa Kujitolea kutoka nchini
Japani Bw.Koji Ueda akielezea namna alivyofanya kazi katika shule ya
Sekondari Sogesca iliyoko mkoani Mwanza,katika hafla fupi ya kuwaaga
wataalam wa kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao.
Mtaalam wa Kujitolea kutoka nchini
Japani Bi. Haruka Ota akielezea namna alivyofanya kazi katika Maktaba
Kuu ya Taifa,wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalam wa kujitolea
kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais-Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akikabidhi zawadi kwa Mtaalam wa
Kujitolea kutoka nchini Japani Bi.Sekiko Masui aliyemaliza muda wake wa
kutoa huduma nchini katika hafla ya kuwaaga wataalam hao.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-
Utumishi Bw.HAB Mkwizu ( wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya
pamoja na Wataalam wa Kujitolea kutoka nchini Japan waliomaliza muda wao
wa kutoa huduma nchini baada ya hafla ya kuwaaga iliyofanyika ofisini
kwake leo. Wengine ni watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi na Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
Tanzania yaongoza Afrika Mashariki kwa uwekezaji
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha
Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa kwanza kulia), akizungumza
wakati wa uzinduzi wa ripoti ya Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji
mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es
Salaam jana. Pembeni yake ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dk.
Florence Turuka (wa kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha
Uwekezaji nchini (TIC), Prof. Lucian Msambichaka (Katikati) na Mjumbe
wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Dk. Florence Turuka (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji
nchini (TIC), Prof. Lucian Msambichaka kwa pamoja wakizindua ripoti ya
Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji kwenye hafla fupi iliyofanyika
jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu
Dk. Florence Turuka (wa pili kulia) akionyesha ripoti ya Dunia ya mwaka
2015 kuhusu uwekezaji mara tu baada ya kuizindua kwenye hafla fupi
iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Nakuala Senzia (wa
kwanza kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya TIC, Prof. Lucian Msambichaka (wa
pili kushoto) na Mjumbe wa kamati ya Bodi ya TIC, Dr Frances Shao.
Baadhi ya wageni waalikwa na
wafanyakazi wa TIC waliohudhuria hafla fupi ya uzinduzi wa ripoti ya
Dunia ya mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyofanyika jijini Dar es Salaam
jana wakifuatilia uwasilishaji wa mada mbalimbali kuhusu uwekezaji
zilizoambatana na uzinduzi huo.
…………………………………….
Na Mwandishi watu
Tanzania imefanikiwa kukuza
uwekezaji wa nje wa moja kwa moja (FDI) kwa asilimia 14.5 ongezeko
linaloelezwa kuchangiwa na uvumbuzi wa gesi hapa nchini.
Kwa mujibu wa ripoti ya Dunia ya
mwaka 2015 kuhusu uwekezaji iliyozinduliwa jana jijini Dar es Salaam,
ongezeko hilo linaifanya Tanzania iendelee kuwa kinara kwenye aina hiyo
ya uwekezaji dhidi ya mataifa mengine yanayounda Jumuiya ya Afrika
Mashariki.
Hata hivyo ripoti hiyo imebainisha
kuwa dunia kwa ujumla imeporomoka kwenye aina hiyo ya uwekezaji kwa
asilimia 16 hadi kufikia kiasi cha sh. Trilioni 1.2 katika kipindi cha
mwaka 2014 hali iliyosababishwa na mdororo wa uchumi wa dunia sambamba
ukosefu wa sera rafiki katika uwekezaji miongoni mwa mataifa mengi
duniani.
Akizungumza kwa niaba ya Waziri wa
Uwekezaji na Uwezeshaji, Muhandisi Christopher Chiza katika hafla ya
uzinduzi wa ripoti hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam jana, Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Flolence Turuka alisema kiasi cha
uwekezaji huo hapa nchini kimekuwa zaidi kwa mwaka 2014.
Alisema katika mwaka 2014 taifa
lilifanikiwa kuvutia uwekezaji wenye thamani ya sh. Milioni 2,142
ikilinganishwa na kiasi cha sh. Milioni 2,131 mnamo mwaka 2013.
“Kiasi hiki ni kikubwa zaidi
ikilinganishwa na kiwango cha chini zaidi cha dola 640 kati ya mwaka
2005-2007 (kabla ya mgogoro wa uchumi). Mafanikio haya yanatokana na
uvumbuzi wa gesi hapa nchini na hivyo kuifanya nchi yetu kuendelea kuwa
kinara kwenye aina hii ya uwekezaji ililinagnishwa na nchi nyingine
wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,’’ alisema.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo Uganda
inashika nafasi ya pili katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuvutia
uwekezaji wenye thamani ya Dola za kimarekani bilioni 1.147 ikifuatiwa
na Kenya iliyovutia Dola za Kimarekani milioni 989.
Nchi za Rwanda na Burundi
zimeshika nafasi ya nne nay a tano kwa kuvutia uwekezaji wa thamani ya
dola za Kimarekani milioni 268 kwa Rwanda huku Burundi ikifanikiwa
kuvutia aina hiyo ya uwekezaji wenye thamani ya Dola za Kimarekani
milioni 32.
Zaidi ripoti hiyo imebainisha kuwa
Afrika Kusini ndio inaoongoza barani Afrika kwa aina hiyo ya uwekezaji
kwa mwaka 2014 hukunafasi kama hiyo ikishikiliwa na China katika ngazi
ya kidunia, ikifuatiwa na Hong Kong huku Marekani ikitajwa kushika
nafasi ya tatu.
Zaidi ripoti hiyo imebainisha kuwa
katika mataifa kumi yanayofanya vizuri kwenye aina hiyo ya uwekezaji,
nusu yanatoka kwenye kundi la mataifa yanayoendelea yakiwemo Brazil,
Hong Kong, India na Singapore.
Katika mazingira haya kuna haja ya
kuimarisha sera za uwekezaji za kimataifa ikiwa ni pamoja na
Makubaliano ya uwekezaji ya kimataifa (IIA) huku pia suala la kodi za
kimataifa likipewa kipaumbele,’’ alisema.
Katika hotuba yake ya ufunguzi,
Mwenyekiti wa Bodi ya Kituo cha Uwekezaji hapa nchini (TIC),Prof. Lucian
Msambichaka pamoja na mambo mengine alikipongeza kituo hicho kwa
jitihada zake katika kuvutia uwekezaji hapa nchini sambamba na kupunguza
vikwazo katika uwekezaji huo.
Kongamano la Huawei Cloud Conference-lafanyika Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei
Tanzania, Zhang Yongquan akitoa hotuba yake katika kongamano la Huawei
Cloud Conference 2015, wakitazama (kutoka kushoto hadi kulia); Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa na Balozi wa
China nchini Tanzania Balozi Lv Youqing.
Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Patrick Makungu na Mkurugenzi
Mtendaji wa Huawei Tanzania Zhang Yongquan wakitia saini Mkataba wa
Makubaliano (MoU), kati ya Huawei Tanzania na Wizara ya Mawasiliano,
Sayansi na Teknolojia ambapo Huawei watakuwa washauri wakuu wa nchi
katika maswala ya TEHAMA. Wakitizama (kutoka kulia hadi kushoto); Waziri
wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Balozi wa
China nchini Tanzania Balozi Lv Youqing na Naibu Waziri wa Afya wa
Zanzibar Mahmoud Kombo.
Kushoto hadi kulia; Mkurugenzi wa
TEHAMA katika Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Dr. Ally
Simba, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
John Mngodo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia Prof. Patrick Makungu, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar
Mahmoud Kombo, Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Lv Youqing na
Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei Tanzania Zhang Yongquan wakijitayarisha
kuzindua bidhaa mpya za teknolojia za Huawei; OceanStor V3 na FusionCube
katika kongamano la Huawei Cloud Conference 2015.
Mkurugenzi Mtendaji wa Huawei
Tanzania Zhang Yongquan na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame Mbarawa wakikata utepe kuzindua rasmi gari maalum la Huawei
kwa ajili ya maonyesho.
…………………………
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Technolojia, Prof. Makame Mbarawa ameipongeza HUAWEI Tanzania kwa
ushirikiano wao wa karibu na wizara katika kuchangia miradi mingi
hususan mambo mengi ya TEHAMA .
Huawei Tanzania inafanya kazi kwa ukaribu sana ni wizara na kwa hivi sasa ni mojawapo ya supplier wa vifaa vingi vya ujenzi wa jingo jipya la DATA center.
Data center ni mojawapo ya ujenzi mkubwa unaofanywa na wizara ya sayansi na jingo hili litakua na kazi ya kuhifadhi DATA za serikali pamoja na makampuni mbalimbali ya umma na ya binafsi. Data center itakuwa inahifadhi na kutunza kwa usalama takwimu na habari zozote kwa kutumia sever zake na kupelekea upatikanaji wa huduma kua kwa bei nafuu na kwa urahisi.
Huawei Tanzania inafanya kazi kwa ukaribu sana ni wizara na kwa hivi sasa ni mojawapo ya supplier wa vifaa vingi vya ujenzi wa jingo jipya la DATA center.
Data center ni mojawapo ya ujenzi mkubwa unaofanywa na wizara ya sayansi na jingo hili litakua na kazi ya kuhifadhi DATA za serikali pamoja na makampuni mbalimbali ya umma na ya binafsi. Data center itakuwa inahifadhi na kutunza kwa usalama takwimu na habari zozote kwa kutumia sever zake na kupelekea upatikanaji wa huduma kua kwa bei nafuu na kwa urahisi.
WANACCM 21,000 WA MKOA WA PWANI WAMDHAMINI BERNARD MEMBE
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
akilakiwa na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi
waliofurika nje ya viwanja vya ofisi ya CCM Wilaya ya Kibaha Mjini
mkoani Pwani jana, wakati alipofika kutafuta wadhamini ili aweze kuwania
urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo
wanaCCM zaidi ya 21,000 walimdhamini.
Picha zote na John Badi
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
akizungumza na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na
wananchi waliofurika nje ya viwanja vya ofisi ya CCM Wilaya ya Kibaha
Mjini mkoani Pwani jana, wakati alipofika kutafuta wadhamini ili aweze
kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho,
ambapo wanaCCM zaidi ya 21,000 walimdhamini.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(kushoto) akipokea lundo la bahasha lenye fomu zilizojazwa na wanaCCM wa
Mkoa wa Pwani zaidi ya 21,000 kutoka kwa Kada wa CCM, Pili Chande
wakati alipofika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya
Kibaha Mjini jana, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania
urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Anayeshuhudia
(katikati) ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya hiyo, Maulid Bundala.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(kushoto) akiwa na lundo la bahasha lenye fomu zilizojazwa na wanaCCM wa
Mkoa wa Pwani zaidi ya 21,000 kutoka kwa Kada wa CCM, Pili Chande
wakati alipofika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya
Kibaha Mjini jana, kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania
urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Kushoto ni
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (MNEC) kutoka Wilaya ya Mafia,
Mohamed Nyundo na (kulia) ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya hiyo, Maulid
Bundala.
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI
• MTU MMOJA MKAZI WA MBALIZI ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA AKIWA NA POMBE MOSHI.
KATIKA TUKIO LA KWANZA:
MTU MMOJA MKAZI WA CHALANGWA
WILAYANI CHUNYA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA JOFREY MWAMBONA @ ANKI (28)
AMEKUTWA AMEUAWA NA WATU WASIOFAHAMIKA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA
KALI SEHEMU ZA KICHWANI NA KUTOLEWA KOROMEO.
MWILI WA MAREHEMU ULIKUTWA
UMETELEKEZWA KANDO YA BARABARA YA MBEYA/CHUNYA MNAMO TAREHE 24.06.2015
MAJIRA YA SAA 23:59 USIKU HUKO KATIKA KIJIJI CHA CHALANGWA, KATA YA
CHALANGWA, TARAFA YA KIWANJA, WILAYA YA CHUNYA, MKOA WA MBEYA.
INADAIWA KUWA MAREHEMU ALIKUWA
AMETOKA GEREZANI HIVI KARIBUNI ALIPOKUWA AKITUMIKIA KIFUNGO CHA MIAKA 30
KWA KOSA LA KUBAKA WATOTO WATATU NA ALIKUWA AMETOKA KWA RUFAA. MWILI WA
MAREHEMU UMEFANYIWA UCHUNGUZI WA KITABIBU NA KUKABIDHIWA NDUGU KWA
MAZISHI. MSAKO UNAENDELEA KUWATAFUTA WALIOHUSIKA KATIKA TUKIO HILI.
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA
KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA
YEYOTE MWENYE TAARIFA ZA WATU WALIOHUSIKA KATIKA TUKIO HILI AZITOE
KATIKA MAMLAKA HUSIKA ILI WAKAMATWE NA HATUA ZA KISHERIA ZICHUKULIWE
DHIDI YAO.
TAARIFA ZA MISAKO:
MTU MMOJA MKAZI WA MBALIZI NJE
KIDOGO YA JIJI LA MBEYA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA LUSAJO MWAMPOSA (29)
ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA AKIWA NA POMBE MOSHI
(GONGO) UJAZO WA LITA 12.
MTUHUMIWA ALIKAMATWA MNAMO TAREHE
24.06.2015 MAJIRA YA SAA 12:30 MCHANA HUKO MTAA WA NDOLA, KATA YA
UTENGULE, TARAFA YA BONDE LA USONGWE KATIKA MSAKO ULIOFANYIKA MAENEO
HAYO. MTUHUMIWA NI MUUZAJI WA POMBE HIYO, TARATIBU ZA KUMFIKISHA
MAHAKAMANI ZINAENDELEA.
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA
KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI WA POLISI AHMED Z. MSANGI ANATOA WITO KWA
JAMII KUACHA KUTUMIA POMBE MOSHI [GONGO] KWANI NI KINYUME CHA SHERIA NA
NI HATARI KWA AFYA YA MTUMIAJI. AIDHA ANAENDELEA KUTOA WITO KWA JAMII
KUTOA TAARIFA ZA WATU WANAOJIHUSISHA NA UPIKAJI/UUZAJI WA POMBE HIYO ILI
WAKAMATWE NA HATUA STAHIKI ZICHUKULIWE DHIDI YAO.
Imesainiwa na:
[AHMED Z. MSANGI – SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA.
[AHMED Z. MSANGI – SACP]
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA.
TANGAZO LA MSIBA TANZANIA NA MAREKANI
DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A. MZIGE 0713 410 531, 0754 495 998.
Inna Lillahi, wa inna ilaihi ra’ajiun.
AIRTEL YATOA 20M/- KUFUTURISHA VITUO VYA WATOTO YATIMA NCHINI
Meneja Huduma kwa Jamii wa
Airtel Tanzania, Hawa Bayumi akiongea na waandishiwa wa habari katika
hafla ya makabidhiano ya hundi kwa Bakwata, kwa vituo mbalimbali vya
watoto yatima hapa nchini vyenye thamani ya sh. Milioni 20 , Kulia ni
Naibu Katibu Mkuu Bakwata Mohamed Said,
Naibu Katibu Mkuu Bakwata Mohamed
Said, (kulia) akiishukuru airtel ambapo amesema kuwa jambo
linalooneshwa na kampuni hiyo ni jema kwa kuonesha upendo kwa jamii
ambayo inakabiliwa na changamoto katika maisha yao ya kila siku.
“Jambo hili ni jema wanalolifanya
Airtel kurudisha angalau kidogo wanachopata ili kuwa pamoja na jamii na
tunaahidi kuwa msaada huu utawafikia walengwa kama
ilivyokusudiwa,”alisema.
Meneja Huduma kwa Jamii wa Airtel
Tanzania, Hawa Bayumi akikabidhi hundi yenye dhamani ya sh.milioni 20
ya msaada wa vyakula kwa BAKWATA kwa vituo mbalimbali vya watoto yatima
hapa nchini, akipokea (Kulia) Naibu Katibu Mkuu Bakwata Mohamed Said,
……………………………………………………………………..
Na Mwandishi wetu
Airtel Tanzania imetoa Tsh Milioni
20 kwa Jumuiya ya Waislamu kupitia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania
(BAKWATA) kwa lengo la kufuturisha vituo kumi vya kulelea watoto yatima
nchini.
Akikabidhi hundi kwa Naibu katibu
Mkuu wa Bakwata Meneja Huduma za Jamii wa Airtel Hawa Bayumi alisema
vituo vitakavyopata msaada huo ni pamoja na Kigogo Fresh orphanage cha
Ilala, IHSANI orphanage cha Temeke, Almadina center kinondoni.
Pia kwa Arusha ni Kiboa Islamic
orphanage, Nusuru yatima orphanage Bukoba, Nuru orphanage Mbeya, Zam zam
orphanage Dodoma, Maua Daftari Foundation Zanzibar, Chuno orphanage
center Mtwara na Makorora Yatima center cha Tanga ambapo kila kimoja
kitapatiwa vyakula vyenye thamani ya shilingi milioni2.
“Airtel Tanzania kama inavyofanya
miaka mingine leo pia inaungana na ndugu na jamaa zetu waislamu
kuadhimisha mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kwa kuwakumbuka watoto yatima
na wanaoishi katika mazingira magumu kupitia hivi vituo ili nao waweze
kushiriki mfungo wa Ramadhan.” alisema.
Aliongeza kuwa Airtel imekuwa
ikitoa misaada kama hii kwa makundi mbalimbali katika jamii kila mwaka
na kusisitiza kuwa baadhi ya wafanyakazi wa Airtel watajumuika na watoto
hawa katika mwezi huu ili na wao pia wajiskie kama sehemu ya jamii.
“Tunapenda kutoa rai kwa mashirika
mengine pia yawakumbuke hawa watoto na kuwasaidia ili wajisikie kama
sehemu ya jamii,” alisema.
Akipokea hundi hiyo, Naibu katibu
Mkuu wa Bakwata, Sheikh Mohamed Khamis Said aliishukuru Airtel Tanzania
kwa msaada huo na kusisitiza kuwa utasaidia kwa kiasi kikubwa na
kuhakikisha watoto wanaolelewa katika vituo hivi wanapata mahitaji
muhimu hasa katika mwezi huu wa Ramadhan.
“Tunashukuru mno kwa niaba ya
vituo hivi na tunatoa wito kwa mashirika mengine pia yajitokeze na
kutuunga mkono ili tuweze kufikia yatima wengi zaidi na kuwapa faraja
katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan” alisema.
LOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO JIJINI ARUSHA LEO, WANACCM 120,335 WAMDHAMINI

Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa (wa tatu kulia) sambamba na Mkewe Mama Regina Lowassa,
wakiongozana na viongizi mbali mbali wa Chama wa Mkoa wa Arusha
waliofika kumpokea kwenye Uwanja wa Ndege wa KIA, wakati akitokea Mkoani
Dodoma kuhudhulia vikao cha Bunge na kupigia kura bajeti kuu ya
Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akimjulia hali Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM, Mathias Manga,
aliyejeruhiwa kwa risasi jana usiku na watu wasiofahamika, wakati
walipokutana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa KIA, Mkoani Kilimanjaro
leo Juni 24, 2015.
Sehemu ya Wakereketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaoishi maeneo ya jirani na Uwanja wa Ndege wa KIA wakimshangilia Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa wakati walipomsimamisha ili aweze kuwasalimia leo Juni 24, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza jambo na Sioi Sumary.

Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akisalimiana na baadhi ya madakrari wa kigeni wanaotoa huduma
kwenye hospitali ya Kanisa na International Evangelical Church, lililopo
katika Kijiji cha Sakila, Wilayani Arumeru jijini Arusha. Kulia ni
Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Eliud Isanja.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akiwapungua mkoni ikiwa ni ishara ya kuwasalimia waumini wa Kanisa
na International Evangelical Church, waliomualika leo Juni 24, 2015 ili
aweze kuzungumza nao pamoja na kufanyiwa ibada maalum ya kumuombea.

Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelical Church, Askofu Eliud Isanja akizungumza jambo wakati akimtambulisha Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa kwa waumini wa kanisa hilo.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Waumini wa Kanisa la International Evangelical Church (hawapo pichani).
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akizungumza jambo na Mkewe, Mama Regina Lowassa kabla ya
kufanyiwa Ibada maalum ya kumuombea Mh. Lowassa katika Kanisa la International Evangelical Church, lililopo katika Kijiji cha Sakila, Wilayani Arumeru jijini Arusha.
Sehemu ya Maaskofu wa Kanisa la International Evangelical Church, wakimuombea Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa na Mkewe Mama Regina Lowassa, leo Juni 24, 2015.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akiagana na Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evangelical Church, Askofu Eliud Isanja.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akiwa safarini kuelekea Jijini Arusha, mara msafara wake
ukasimamishwa na WanaCCM wa Mji wa Maji ya Chai Wilayani Arumeru
waliotaka kumsalimia.
Dereva wa Daladala uzalendo ukamsinda kwenye usukani na kuamua kukaa Dirishani ili aweze kumuona Mh. Lowassa.

Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa alishuka kwenye gani na kuungana na WanaCCM hao.

Msafara
wa Mh. Lowassa ulizuiwa tena eneo la Tengeru, Jijini Arusha baada ya
WanaCCM wa Mji huo kufunga barabara ili waweze kuzungumza na kipenzi
chao.
Mh. Lowassa akiwapungia mkono WanaCCM hao wa Mji wa Tengeru waliokuwa wamefurika kwa wingi barabarani.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akiongozana na Mwenyekiti wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole
Nangole pamoja na WanaCCM wengine, wakati wakielekea kwenye Uwanja wa
Msikiti Mkubwa, kulikoandaliwa shughuli nzima ya kukabidhiwa fomu za
kumdhamini Mh. Lowassa ili apate ridhaa
ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa
kufanyika Oktoba 25, 2015. Jumla ya WanaCCM 120, 335 wa jiji la Arusha
wamemdhamini Mh. Lowassa.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akiwasalimia wanaCCM na Wananchi wa Jiji la Arusha waliofurika
kwa wingi kwenye Uwanja wa Msikiti Mkubwa uliopo mbele ya Ofisi za CCM
Mkoa wa Arusha, leo Juni 24, 2015. Jumla ya WanaCCM 120, 335 wa jiji la Arusha wamemdhamini Mh. Lowassa.
Baadhi ya Wazee wa Kabila la Kimasai wakimbariki Mh. Lowassa katika Safari yake ya Matumaini.

Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akipokea fomu za WanaCCM wa Mkoa wa Arusha waliomdhamini ili
aweze kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye
Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Anaekabidhi fomu
hizo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Mjini, Ferouz Bano, ambapo
WanaCCM wapatao 120, 335 wamemdhamini Mh. Lowassa.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akikabidhi sehemu ya fomu hizo kwa Mkewe Mama Regina Lowassa.
Kulia ni Mwenyekiti wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole Nangole.
Mke wa Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa, Mama Regina Lowassa akiwasalimia WanaCCM wa Mkoa wa Arusha
waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Msikiti Mkubwa uliopo mbele ya
Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Arusha, leo Juni 24, 2015.
Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mh. Goodluck Ole Mideye akiwasalimia wanaCCM wa Mkoa wa Arusha.
Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Namelock Sokoine akiwasalimia WanaCCM wa Arusha.
Umati wa Watu.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Ndg. Hamis Mngeja akisalimia.
Sehemu ya WanaCCM wa Mkoa wa Arusha wakionekana ni wenye Furaha na Imani Kubwa na Mh. Lowasaa.
Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM kutoka Wilaya ya Arumeru, Mathias Manga akisalimia.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akisikiliza jambo kutoka kwa Mkewe, Mama Regina Lowassa.
Mwenyekiti
wa CCM jijini Arusha, Ndg.Onesmo Ole Nangole akizungumza machache kabla
ya kumkaribisha Mtangaza nia kuzungumza na WanaCCM wa Mji wa Arusha.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa akimpa pole Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya CCM, Mathias Manga,
aliyejeruhiwa kwa risasi jana usiku na watu wasiofahamika, wakati
alipomwita jukwaani kuwasalimia WanaCCM wa Arusha.

Waziri
Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward
Lowassa, akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Jiji la
Arusha waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa ulipo mbele ya Ofisi za CCM
Mkoa huo, leo Juni 24, 2015, wakati alipofika kwa ajili ya kupata
udhamini utakaomuwezesha kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais
kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Mh. Lowassa akiwaaga WanaCCM wa Mji wa Arusha.
WAZIRI BERNARD MEMBE AKUTANA NA WASANII WA FILAMU MKOA WA MOROGORO
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
akizungumza na wasanii wa tasnia ya filamu mkoa wa Morogoro jana, wakati
alipokuwa mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini ili aweze kuwania
urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi
(CCM), ambapo wanaCCM zaidi ya 950 walimdhamini.
Picha zote na John Badi
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
akiwa katika picha ya pamoja na wasanii wa tasnia ya filamu mkoa wa
Morogoro jana, wakati alipokuwa mkoani humo kwa ajili ya kutafuta
wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi
ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambapo wanaCCM zaidi ya 950 walimdhamini.
RAIS KIKWETE NA DKT. REGINALD MENGI IKULU, DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na
Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha
Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT) Dkt Reginald Mengi wakiongea na
kubadilishanma mawazo Ikulu, Jijini Dar es salaam katika hafla ya
kutunuku nishani kwa watumishi wa umma na wananchi waliofanya vyema na
kwa uadilifu kwenye sehemu zao za kazi. Dkt Mengi alikuwa mmoja wa watu
mashuhuri walioalikwa hapo Ikulu.
PICHA NA IKULU
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA LEO ALIKUWA NA WANAKWIMBA
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa jimbo la
Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor wakati alipowasili katika kijiji cha
Hungumalwa njia panda ya Mwamashimba wakati alipoanza ziara katika jimbo
hilo akitokea jimbo la Misungwi mkoani Mwanza, Kinana yuko katika ziara
ya kikazi ya mkoa wa Mwanza yenye lengo la kukagua Ilani ya Uchaguzi ya
CCM ya mwaka 2010-2915 inayotekelezwa na serikali huku akisikiliza kero
mbalimbali za wananchi na kuzipatia ufumbuzi na kuhimiza uhai wa Chama
cha Mapinduzi, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA
FULLSHANGWE-KWIMBA)
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC
Itikadi na Uenezi CCM wakipokelewa na Sungusungu walinzi wa asili wa
kabila la kisumuka wakati alipowasili katika kijiji cha Hungumalwa
wilayani Kwimba.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amevishwa mavazi ya
Sungusungu huku akiimbiwa nyimbo na sungusungu hao wakati alipowasili
katika kijiji cha Hungumalwa.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati akiongozana na Mbunge wa
jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa
Mwanza Ndugu Miraji Mtaturu wakati alipowasili kukagua mradi wa ujenzi
wa zahanati ya Hungumalwa.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua kikundi cha ngoma mara
baada ya kuwasili katika zahanati ya Hungumalwa ambapo alikagua ujenzi
wake.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza katika zahanati ya
Hungumalwa ambayo ujenzi wake unaendelea katikati ni kijana mdogo
Diwaniwa wa Hungumalwa Shija Marando ambaye amesimamia ipasavyo ujenzi
wa zahanati hiyo na kulia ni Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi
CCM.
Mkuu
wa mkoa wa Mwanza Ndugu Magesa Mulongo akishiriki ujenzi wa zahanati ya
Hungumalwa mara baada ya Katibu Mkuu wa CCM kukagua ujenzi wake kushoto
ni Mbunge wa jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kulia , Mkuu wa mkoa wa Mwanza
Ndugu Magesa Mulongo na Mbunge wa jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan
Mansoor kulia wakipanda mbegu za miti wakati Kinana alipotembelea
kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Ngudu wilayani Kwimba.
Mbunge
wa jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor akimtwisha ndoo ya maji
mmoja wa akina mama wakati Katibu Mkuu wa CCM alipotembelea moja ya
vituo vya maji safi na salama katika mji Ngudu.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisaini kitabu cha wageni wakati
alipokagua majengo ya wagonjwa mahututi ICU na wodi ya wagonjwa daraja
la pili katika hospitali ya wilaya ya Kwimba katika mji wa Ngudu mkoani
Mwanza.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC
Itikadi na Uenezi CCM wakiondoka hospitalinia hapo mara baada ya
kutembelea hospitali hiyo na kuona huduma mbalimbali na katika hospitali
hiyo.
Nape
Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akiwahutubia wananchi wa
Ngudu katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira
Ngudu.
Nape
Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akisisitiza jambo wakati
akiwahutubia wananchi wa Ngudu katika mkutano wa hadhara uliofanyika
kwenye uwanja wa mpira Ngudu.
Umati wa wananchi waliojitokeza katika mkutano huo kwenye uwanja wa mpira wa Ngudu wilayani Kwimba.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa mjini
Ngudu katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa
Ngudu.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati
akiwahutubia wananchi wa mjini Ngudu katika mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Ngudu.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha kadi za waliokuwa
wananchama wa Chama cha CHADEMA mara baada ya wananchi hao kujiunga na
Chama cha Mapinduzi CCM katika mkutano huo.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkabidhi kadi ya uanachama wa
CCM aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA kijiji cha Ilula kata ya Ilula
wilayani Kwimba Bw. Hamala Matelemki katika mkutano wa hadhara
uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa Ngudu.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi baiskeli kwa walemavu
zilizotolewa na mbunge wa jimbo la Kwimba Mhe. Shanif Hilan Mansoor.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la Kwimba Mhe.
Shanif Hilan Mansoor wakikabidhi vyerehani kwa vikundi vya akina mama
washonaji wa nguo baada ya mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa mpira
mjini Ngudu.
Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano huo.
WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWAN
Kibao kinacho elekeza eneo la mradi wa viwanda wilayani
Kisarawe mkoani Pwani lililopo Visegese. Mradi huo unaendeshwa na
Halmshauri hiyo na wabia wa Kampuni ya World Map
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji
Tanzania (TIC), Brendan Maro (kushoto), akizungumza na viongozi wa
Halmshauri ya Wilaya ya Kisarawe, Wabia wa eneo la mradi wa Kampuni ya
World Map na wawekezaji kutoka nchini China waliofika wilayani humo
jana kuangalia fursa za kuwekeza viwanda katika eneo hilo. Kulia ni
Ofisa Mipango Miji Mwandamizi kutoka TIC, Elibariki Ngorovily.
Wawekezaji kutoka China wakiwa katika mkutano na uongozi
wa wilaya ya Kisarawe na wabia wa mradi huo kutoka Kampuni ya World Map
kabla ya kwenda kuona eneo la mradi wa viwanda. Kutoka kushoto ni Makamu
wa Rais wa Umoja wa Makampuni ya Huallan ‘Huallan Group’, Tu Huobao,
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni hiyo, Apple Ye, Huang Haitao na Meneja
Masoko, Nara Zhou.
Mkurugenzi wa Halmshauri ya Kisarawe, Mwanamvua Mrindoko
(kulia), akizungumza katika mkutano huo wakati akiwakaribisha wawekezaji
hao. Kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha
Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro, Ofisa Mipango Miji Mwandamizi
kutoka TIC, Elibariki Ngorovily, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Subira
Kigalu, Mwenyekiti wa Halmshauri hiyo, Adam Ng’imba.
Mwenyekiti wa Halmshauri ya Kisarawe, Adam Ng’imba
(katikati), akizungumza katika mkutano huo. Kulia ni Mkurugenzi wa
Halmshauri ya Kisarawe, Mwanamvua Mrindoko na Mkuu wa Wilaya hiyo,
Subira Kigalu.
Mkuu wa Wilaya hiyo, Subira Kigalu akizungumza katika mkutano huo.
Wabia wa mradi huo kutoka Kampuni ya World Map na viongozi wa idara mbalimbali za wilaya hiyo wakiwa kwenye mkutano huo.
Wakuu wa idara wa wilaya ya Kisarawe wakiwa kwenye mkutano huo.
Mkutano na wawekezaji ukiendelea.
Maofisa wabia wa mradi huo kutoka Kampuni ya World Map wakiwa kwenye mkutano huo.
Miundombinu ya barabara inavyoonekana eneo la mradi.
Katapila likiwa eneo la mradi kutendeneza miundombinu ya barabara.
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji
Tanzania (TIC), Brendan Maro (katikati), akiwaonyesha ramani ya eneo la
mradi wawekezaji hao. Kushoto ni Mwenyekiti wa Halmshauri hiyo, Adam
Ng’imba.
Mazungumzo eneo la mradi.
Sehemu ya eneo la mradi.
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Subira Kigalu (katikati), akiwa
katika picha ya pamoja na wawekezaji hao na viongozi wa wilaya hiyo
pamoja na wabia wa mradi huo kutoka Kampuni ya World Map.
Na Dotto Mwaibale
KATIKA
kukuza uchumi kwa wakazi Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe mkoani
Pwani mradi wa uendelezaji wa viwanja katika mji mdogo wa Kisarawe uliopo Kijiji cha visegese umeanza kupata wawekezaji kutoka nchini China ili kusaidia kuendelea wilaya hiyo kwa kujenga viwanda.
Wilaya hiyo kwa kushirikiana na wabia kutoka kampuni ya world Map wameweza kupima viwanja zaidi ya 250 katika kijiji hicho kwa ajili ya viwanda na
Kutangazwa katika maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi na kituo cha
uwekezaji Tanzania (TIC), na hatimaye kuanza kupata wawekezaji ambao
wametemebea katika wilaya hiyo na kujionea maeneo ya viwanda hivyo.
Awali kabla ya kutembea katika Kijiji cha visegese ambapo kuna viwanja ya maeneo ya uwekezaji mkuu wa wilaya ya Kisarawe Subira Mgalu ambaye
ni mwenyeketi wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya hiyo
aliwakaribisha wawekezaji hao na kuwahakikisha mazingira ya usalama kwa
ajili uwekezaji
Akizungumza
katika mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe,
Mwanamvua Mrindoka amekishukuru kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kuwaleta wawekeza hao ili kufanikisha wananchi wa wilaya hiyo wanakuwa na uchumi wa kati na kuongeza kodi kwa serikali.
Mwakilishi
wa Mkurugenzi Mkuu wa TIC, Brendan Maro alisema wilaya hiyo imepiga
hatua katika kutenga maeneo ya viwanja kwa ajili ya uwekezaji hivyo kwa
sasa kituo hicho hakinabudi kupeleka wawekezaji katika maeneo ya
pembezo.
Katika
mradi huo wa viwanja 291 ambao asilimi 63 ni kwa ajili ya wananchi na
asiliami 37 ni kwa ajili ya halamshauri ya wilaya ya Kisarawe na wabia
wa mnradi huo kwa mafanikio hayo uwe ni chachu kwa halmashuri zingine ili kukuza uchumi kwa wananchi kwa kutenga maeneo ya viwanda na kupima hali itakayosaidia kuepukana na mipango miji holela.
Maaskofu wabariki uzinduzi wa albamu ya Bonny Mwaitege
………………………………………
VIONGOZI wa dini wakiwemo Maaskofu na Wachungaji wa Makanisa mbalimbali hapa nchini wamebariki uzinduzi wa albamu tatu za mwimbaji mahiri wa muziki wa Injili hapa nchini Bonny Mwaitege, unaotarajia kufanyika Agosti 2 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama sababu za viongozi hao wa dini kutoa baraka kwa albamu hizo ni kutokana na umahiri wa muimbaji huyo.
Msama alisema amepokea baraka hizo kutoka kwa viongozi hao wa dini kwa sababu uzinduzi huo unashirikisha albamu tatu kwa pamoja, jambo ambalo linaonesha ni ukomavu na umahiri katika kufanikisha neno la Mungu ipasavyo.
“Uzinduzi wa Bonny Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu viongozi wa dini mbalimbali wametia baraka kwa maneno matakatifu ambayo yatafanikisha ufikishwaji wa neno la Mungu kwa jamii ipasavyo,” alisema Msama.
Msama alisema baraka hizo za viongozi wa dini zinakwenda sambamba na maombi ya kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu hapa nchini ambao utahusu urais, Wabunge na Madiwani.
“Viongozi wa dini ndio wanafanikisha tunu ya amani tuliyonayo, hivyo wameongeza chachu ya maombi ya amani hiyo tuliyoachiwa na baba wa Taifa, Mwalim Julius Kambarage Nyerere,” alisema Msama.
Aidha Msama alisema hivi sasa wanaendelea na maandalizi ya kurekodi albamu hizo jijini Mwanza ili kupata ladha nzuri ya nyimbo hizo za kumuimbia na kumtukuza Mungu.
“Waandaaji wanaendelea na kazi yao ya kufanikisha kurekodi albamu hizo ambazo zitakuwa na ubora wa aina yake kwa sababu umahiri wa watendaji wake ambao ni wa kampuni yake ya Video Productions.
Msama alitoa wito kwa mashabiki wa muziki wa Injili kujiandaa kupata kazi bora ya muimbaji huyo ambaye anashika anga la muziki huo Afrika Mashariki na Kati.
VIONGOZI wa dini wakiwemo Maaskofu na Wachungaji wa Makanisa mbalimbali hapa nchini wamebariki uzinduzi wa albamu tatu za mwimbaji mahiri wa muziki wa Injili hapa nchini Bonny Mwaitege, unaotarajia kufanyika Agosti 2 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama sababu za viongozi hao wa dini kutoa baraka kwa albamu hizo ni kutokana na umahiri wa muimbaji huyo.
Msama alisema amepokea baraka hizo kutoka kwa viongozi hao wa dini kwa sababu uzinduzi huo unashirikisha albamu tatu kwa pamoja, jambo ambalo linaonesha ni ukomavu na umahiri katika kufanikisha neno la Mungu ipasavyo.
“Uzinduzi wa Bonny Mwaitege utakuwa ni wa aina yake kwa sababu viongozi wa dini mbalimbali wametia baraka kwa maneno matakatifu ambayo yatafanikisha ufikishwaji wa neno la Mungu kwa jamii ipasavyo,” alisema Msama.
Msama alisema baraka hizo za viongozi wa dini zinakwenda sambamba na maombi ya kuelekea uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka huu hapa nchini ambao utahusu urais, Wabunge na Madiwani.
“Viongozi wa dini ndio wanafanikisha tunu ya amani tuliyonayo, hivyo wameongeza chachu ya maombi ya amani hiyo tuliyoachiwa na baba wa Taifa, Mwalim Julius Kambarage Nyerere,” alisema Msama.
Aidha Msama alisema hivi sasa wanaendelea na maandalizi ya kurekodi albamu hizo jijini Mwanza ili kupata ladha nzuri ya nyimbo hizo za kumuimbia na kumtukuza Mungu.
“Waandaaji wanaendelea na kazi yao ya kufanikisha kurekodi albamu hizo ambazo zitakuwa na ubora wa aina yake kwa sababu umahiri wa watendaji wake ambao ni wa kampuni yake ya Video Productions.
Msama alitoa wito kwa mashabiki wa muziki wa Injili kujiandaa kupata kazi bora ya muimbaji huyo ambaye anashika anga la muziki huo Afrika Mashariki na Kati.
Mawakala wa forodha nchini waaswa kujisajili kwenye mfumo wa himaya moja ya forodha ya afrika mashariki (SINGLE CUSTOM TERRITORY)
Kamishna wa Forodha Kutoka
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi akiongea na viongozi
wa Chama cha Mawakala wa Forodha na kuwataka mawakala wa Tanzania
kujisajili katika mfumo wa uondoshaji wa Himaya moja ya Forodha(SINGLE
CUSTUM TERRITORY) ili kuwezesha uondoshwa wa mizigo kwa haraka zaidi
pindi mfumo huo utakapoanza kutumika kwani mifumo huo na watanzania
tayari zinawasiliana mpaka sasa, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo
Jijini Dar es Salaam Kushoto ni Naibu Kamishna wa Forodha Dkt. Patrick
Mugoya.
Rais wa Chama cha Mawakala wa
Forodha (TAFA) Bw. Stephen Ngatunga akiongea na viongozi wa Chama cha
Mawakala wa Forodha na wawakilishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
ambapo aliipongeza serikali kupitia Mamlaka hiyo katika kuhakikisha
wanaweka mazingira mazuri kwa mawakala wa forodha na kuiasa kuendelea
kushughulikia changamoto mbalimbali katika sekta hiyo ili kuiwezesha
serikali kupata mapato kwa maendeleo ya Taifa, Wakati wa Mkutano
uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam Kulia ni Kamishna wa Forodha Kutoka
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi.
Baadhi ya Viongozi na wanachama wa
Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) wakimsikiliza Kamishna wa Forodha
Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi, Wakati wa
Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanachama wa Chama cha
Mawakala wa Forodha (TAFA) wakichangia wakati wa mkutano uliokutanisha
Viongozi na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) pamoja na
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
………………………………………………….
Habari Picha Na Hassan Silayo-MAELEZO
Mawakala wa Forodha nchini wameaswa kujisajili katika mfumo wa
uondoshaji mizigo wa Himaya moja ya Forodha ya Afrika Mashariki (Single
Custom Territory) utakao anza kutumika hivi Karibuni.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi wakati mkutano na Viongozi na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA)
Bw. Kabisi alisema kuwa mawakala wa forodha nchini hawana budi kufanya hivyo ili kuwezesha uondoshwaji wa mizigo kwa haraka zaidi pindi mfumo huo utakapoanza kutumika.
“Sasa tunaelekea katika matumizi ya Himaya moja ya Forodha ya Afrika Mashariki yaani Single Custom Territory ili kuwa na uwezo wa kupata huduma kwa kutumia mfumo huo pindi matumizi yatakapoanza mapema ili kuondoa usumbufu utakaoweza kutokea”. Alisema Bw. Kabisi
Bw. Kabisi aliongeza kuwa mpaka sasa ni makampuni mawili (2) ya mawakala waliojisajili mpaka sasa.
Aidha Bw. Kabisi alisema kuwa mawakala wa forodha hawana budi kuendelea kuwa waamifu ili waendelee kuongoza katika makusanyo ya fedha kwa mwaka ujao ambapo kwa mwaka huu wamechangia kwa asilimia 40 ya mapato ya serikali.
Naye Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) Bw. Stephen Ngatunga alisema kuwa wataendelea kushirikiana na Mamlaka la Mapato Tanzania (TRA) katika kuhakikisha wanaifanya idara ya forodha inafanya vizuri katika makusanyo ya fedha.
Pia Bw. Ngatunga aliitaka serikali kuendelea kushughulikia changamoto mabalimbali zinazoikabili idara hiyo ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu na kuendelea kuongoza katika makusanyo ya mapato ya serikali.
Hayo yamesemwa na Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi wakati mkutano na Viongozi na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA)
Bw. Kabisi alisema kuwa mawakala wa forodha nchini hawana budi kufanya hivyo ili kuwezesha uondoshwaji wa mizigo kwa haraka zaidi pindi mfumo huo utakapoanza kutumika.
“Sasa tunaelekea katika matumizi ya Himaya moja ya Forodha ya Afrika Mashariki yaani Single Custom Territory ili kuwa na uwezo wa kupata huduma kwa kutumia mfumo huo pindi matumizi yatakapoanza mapema ili kuondoa usumbufu utakaoweza kutokea”. Alisema Bw. Kabisi
Bw. Kabisi aliongeza kuwa mpaka sasa ni makampuni mawili (2) ya mawakala waliojisajili mpaka sasa.
Aidha Bw. Kabisi alisema kuwa mawakala wa forodha hawana budi kuendelea kuwa waamifu ili waendelee kuongoza katika makusanyo ya fedha kwa mwaka ujao ambapo kwa mwaka huu wamechangia kwa asilimia 40 ya mapato ya serikali.
Naye Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) Bw. Stephen Ngatunga alisema kuwa wataendelea kushirikiana na Mamlaka la Mapato Tanzania (TRA) katika kuhakikisha wanaifanya idara ya forodha inafanya vizuri katika makusanyo ya fedha.
Pia Bw. Ngatunga aliitaka serikali kuendelea kushughulikia changamoto mabalimbali zinazoikabili idara hiyo ili kuwawezesha kushiriki kikamilifu na kuendelea kuongoza katika makusanyo ya mapato ya serikali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete afungua Kongamano la Nne la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu-juni 24, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akifungua Kongamano la Nne la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kwenye
ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam
leo Juni 24, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata
maelezo kutoma kwa Profesa Nerey Mvungi wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam
juu ya Ubunifu wake wa kutengeneza mfumo wa kidigitali wa kusaidia
kupambana na ajali barabarani kabla hajafungua Kongamano la Nne la
Sayansi, Teknolojia na Ubunifu kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Juni 24, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akipata maelezo kutoma kwa kijana Godfrey Magila wa Magilatech Company
Ltd. juu ya Ubunifu wake wa kutengeneza mfumo wa teknolojia ya
mawasiliano rahisi kabla hajafungua Kongamano la Nne la Sayansi,
Teknolojia na Ubunifu kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Julius
Nyerere jijini Dar es salaam leo Juni 24, 2015
PICHA NA IKULU
4th global Animal Health Conference 2015
Director of Veterinary Services,
Ministry of Livestock and Fisheries Development Mr Abdu Hayghaimo
delivers his keynote speech when he was opening a 4th Global Animal
Health Conference 2015 in Dar es Salaam yesterday organized by the
federation Health forAnimals (formerly known as IFAH) with the support
of the Organising Committee partners and funded by the Bill and Melinda
Gates Foundation.
A cross-section of participants of
the 4th Global Animal Health Conference 2015 in Dar es Salaam yesterday
organized by the federation Health forAnimals (formerly known as IFAH)
with the support of the Organising Committee partners and funded by the
Bill and Melinda Gates Foundation.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu apata wadhamini wilayani Masasi, Mtwara
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
wilayani Masasi, Mtwara, jana, wakati alipofika kuomba udhamini kwa
wanachama wenzake, akiomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM katika
nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Mbele ni Katibu wa CCM
wilayani humo, Mwanamasudi Msafiri Pazi.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Masasi,
Mwanamasudi Msafiri Pazi, baada ya kudhaminiwa na wana-CCM zaidi ya 97.
Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Kazumari Malilo, kwenye Ofisi za
CCM wilayani humo.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akikabidhiwa fomu na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa
(NEC) ya CCM wilaya ya Masasi, Polle Polle, baada ya kudhaminiwa na
wana-CCM kwenye Ofisi za Chama hicho,
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akisalimiana na kijana wa Chipukizi wilayani Masasi,
Raheli, wakati alipofika kuomba udhamini kwa wanachama wa CCM, jana,
ambapo zaidi ya 97 walijitokeza kumdhamini.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akizungumza na wanachama wa CCM waliojitokeza
kumdhamini katika harakati zake za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu ujao, jana. Kushoto ni Mjumbe wa NEC,
Polle Polle na Kulia ni Mwenyekiti wa CCM wilayani Masasi, Kazumari
Malilo.
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO-JUNI 24,2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry
Ikulu jijini Dar es salaam leo.Juni 24,2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza
Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picjha ya kumbukumbu na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry
na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila Ikulu jijini Dar es salaam leo.
PICHA NA IKULU
BALOZI MISS KILIMANJARO KUTAFUTWA MWEZI UJAO KATIKA UKUMBI WA KILI HOME RESORT
| Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika julay 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika pozi wakati wa utambulisho wa mashindano hayo |
Mlatibu wa mashindano ya urembo ya
Kilimanjaro Ambassador Jacqueline Chuwa akizungumza na waandishi wa
habari kuhusu mchuano huo utakaofanyika katika ukumb wa Kili Home
Resort.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine atambuisha kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars
…………………………………………………………………………….
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira
wa miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine leo amemtambuisha kocha
mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa
mbele ya waandishi wa habari.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi kesho kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya Uganda julai 4, 2015 jijini Kampala.
Mara baada ya kutambulishwa kwa waandishi wa habari, Mkwasa amesema anashukuru kwa TFF kumpatia nafasi hiyo ya kuingoza Taifa Stars na msaidizi wake Hemed Morocco, na kuomba watanzania kuwapa sapoti.
Mkwasa amesema cha kwanza atakachokifanya na msaidizi wake Morocco ni kurudisha imani ya watanzania juu ya timu yao ya Taifa, kisha watajitahidi kadri ya uwezo wao kuhakikisha kuwa timu inafanya vizuri katika michezo inayowakabili.
Aidha Mkwasa ametangaza kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kesho alhamisi katika hoteli ya Tansoma tayari kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa marudiano dhidi ya Uganda.
Wachezaji walioitwa ni makipa: Mudathir Khamis (KMKM), Mwadini Ally (Azam), Ally Mustafa “Barthez” (Yanga).
Walinzi: Shomari Kapombe (Azam), Michael Aidan (Ruvu Shooting), Mohamed Hussein “Tshabalala” (Simba), Haji Mwinyi (KMKM), Nadir Haroub “Cannavaro” (Yanga), Kelvin Yondani (Yanga), Hassan Isihaka (Simba), Aggrey Morris (Azam).
Viungo: Jonas Mkude (Simba), Abdi Banda (Simba), Salum Telela (Yanga), Frank Domayo (Azam).
Viungo wa pembeni: Saimon Msuva (Yanga), Said Ndemla (Simba), Deus Kaseke (Mbeya City), Ramadhan Singano “Messi” (Simba).
Washambuliaji: John Bocco (Azam), Atupele Green (Kagera Sugar), Rashid Mandawa (Kagera Sugar) na Ame Ally (Mtibwa Sugar).
Wachezaji Juma Abdul (Yanga), Mudathir Yahya (Azam) na Samwel Kamuntu (JKT Ruvu) wameitwa kama wachezaji wa akiba katika kikosi cha timu ya Taifa kinachoingia kambini kesho.
Katika hatua nyingine Mkwasa ametangaza benchi la ufundi la Taifa Stars, kocha msaidizi Hemed Morocco, kocha wa magolikipa Peter Manyika, Mshauri wa timu Abdallah Kibadeni, mtunza vifaa Hussein Swedi Gaga huku mratibu wa timu akiwa ni Alhaj Ahemd Mgoyi.
Kamati ya tiba ya TFF itapendekeza majina ya daktari wa timu na mchua misuli watakaoungana na kambi ya Taifa Stars.
Akiongea na waandishi wa habari, Mwesigwa amewaomba wadau wa mpira wa miguu nchini kuwapa sapoti makocha hao wazawa wanaoanza kazi kesho kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya Uganda julai 4, 2015 jijini Kampala.
Mara baada ya kutambulishwa kwa waandishi wa habari, Mkwasa amesema anashukuru kwa TFF kumpatia nafasi hiyo ya kuingoza Taifa Stars na msaidizi wake Hemed Morocco, na kuomba watanzania kuwapa sapoti.
Mkwasa amesema cha kwanza atakachokifanya na msaidizi wake Morocco ni kurudisha imani ya watanzania juu ya timu yao ya Taifa, kisha watajitahidi kadri ya uwezo wao kuhakikisha kuwa timu inafanya vizuri katika michezo inayowakabili.
Aidha Mkwasa ametangaza kikosi cha wachezaji 26 watakaoingia kambini kesho alhamisi katika hoteli ya Tansoma tayari kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa marudiano dhidi ya Uganda.
Wachezaji walioitwa ni makipa: Mudathir Khamis (KMKM), Mwadini Ally (Azam), Ally Mustafa “Barthez” (Yanga).
Walinzi: Shomari Kapombe (Azam), Michael Aidan (Ruvu Shooting), Mohamed Hussein “Tshabalala” (Simba), Haji Mwinyi (KMKM), Nadir Haroub “Cannavaro” (Yanga), Kelvin Yondani (Yanga), Hassan Isihaka (Simba), Aggrey Morris (Azam).
Viungo: Jonas Mkude (Simba), Abdi Banda (Simba), Salum Telela (Yanga), Frank Domayo (Azam).
Viungo wa pembeni: Saimon Msuva (Yanga), Said Ndemla (Simba), Deus Kaseke (Mbeya City), Ramadhan Singano “Messi” (Simba).
Washambuliaji: John Bocco (Azam), Atupele Green (Kagera Sugar), Rashid Mandawa (Kagera Sugar) na Ame Ally (Mtibwa Sugar).
Wachezaji Juma Abdul (Yanga), Mudathir Yahya (Azam) na Samwel Kamuntu (JKT Ruvu) wameitwa kama wachezaji wa akiba katika kikosi cha timu ya Taifa kinachoingia kambini kesho.
Katika hatua nyingine Mkwasa ametangaza benchi la ufundi la Taifa Stars, kocha msaidizi Hemed Morocco, kocha wa magolikipa Peter Manyika, Mshauri wa timu Abdallah Kibadeni, mtunza vifaa Hussein Swedi Gaga huku mratibu wa timu akiwa ni Alhaj Ahemd Mgoyi.
Kamati ya tiba ya TFF itapendekeza majina ya daktari wa timu na mchua misuli watakaoungana na kambi ya Taifa Stars.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
“MAYANJA ATUA COASTAL UNION, ASAINI MIAKA MIWILI KUIFUNDISHA COASTAL UNION”
Kocha Mkuu mpya wa timu ya Coastal
Union,Jackson Mayanja kushoto akisaini mkataba wa miaka miwili
kuifundisha timu hiyo kulia ni Katibu Mkuu wa Coastal Union,Kassim El
Siagi,Picha kwa Hisani ya Coastal Union.
Kulia ni Katibu Mkuu wa Coastal
Union,Kassim El Siagi akipokea mkataba wa Kocha Mkuu mpya wa timu
hiyo,Jackson Mayanja mara baada ya kuusaini leo ambapo amesaini mkataba
wa miaka miwili kuifundisha timu hiyo,katika Halfa iliyofanyika mjini
hapa,Picha kwa Hisani ya Coastal Union.
………………………………………………….
NA MWANDISHI WETU,TANGA.
MABINGWA wa Ligi kuu soka Tanzania
bara mwaka 1988,Coastal Union,Wagosi wa Kaya imeingia mkataba wa miaka
miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja ambaye ni raia wa
Uganda kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu ujao wa Ligi kuu
soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu .
Utiliaji wa saini wa Kocha
huyo ulifanyika (leo)jana mjini hapa na kuhudhuriwa na viongozi
mbalimbali wa timu ya Coastal Union akiwemo Mjumbe wa Kamati ya Utendaji
Albert Peter na Katibu Mkuu wa timu hiyo,Kassim El Siagi.
Akizungumza baada ya kumalizika
zoezi hilo,Ofisa Habari wa Coastal Union,Oscar Assenga amesema kuwa
kutokana na umahiri aliokuwa nao kocha huyo wanaimani kubwa ataipa
mafanikio timu hiyo hasa katika harakati za kuhakikisha inafanya vizuri
ligi kuu msimu ujao.
Amesema kuwa uwezo wa Kocha huyo
utaleta matumaini makubwa ya mafanikio hasa ukizingatia ni kocha mwenye
uwezo mzuri wa kufundisha na kuzipa mafanikio timu hivyo tunaamini kuja
wake kwetu itakuwa chachu katika maendeleo.
Mayanja ambaye aliwahi
kuzifundisha timu za soka Kiyuvu FC ya Rwanda,Timu ya Mamlaka ya Mapato
nchini Uganda (URA),Vipers FC ya Bunamwaya na KCC ya Uganda amesema
kutua kwenye timu hiyo kumpa faraja kubwa hivyo atahakikisha anatoa
mchango wake kwenye kuipa mafanikio.
Amesema kuwa mipango yake mikubwa
ni kuhakikisha timu hiyo inang’ara katika michuano ya Ligi kuu msimu
ujao ikiwemo kubadili aina ya mchezo wa timu hiyo ili iweze kupata
mafanikio kwa kuweka umoja baina ya wachezaji mashabiki, wanachama na
wapenzi.
Amesistiza pia umuhimu wa
mshikamano baina ya wapenzi,wanachama na viongozi ili kuiwezesha timu
hiyo kuchukua Ubingwa wa Ligi kuu msimu ujao kwani dhamira yake ni
kutaka kuona timu hiyo inang’ara kwenye medani za kitaifa na kimataifa.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alli Hssan Mwinyi afunga maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,
Alli Hssan Mwinyi akitoa hotuba yake wakati akifunga maonesho ya wiki ya
Utumishi wa Umma yaliofikia kilele.Juni 23,2015.
………………………………………….
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Maonesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yamefikia kilele jana
katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, ambapo shughuli
mbalimbali zilifanyika kwa juma zima ikiwemo kuelimsha wananchi juu ya
kazi zinazofanywa na Serikali kupitia Wizara zake, Taasisi na Mashirika
ya Umma.
Katika kuhitimisha maonesho hayo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Musa Assad ameshauri Serikali kuwa ni vema ikahakikishe inatoa ajira katika nafasi mbalimbali hasa nafasi za juu kwa waombaji wenye vigezo vinavyohitajika ili kuepuka upendeleo na maslahi binafsi katika ofisi za Serikali.
Ili kuhakikisha ajira zinatolewa kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa, Prof. Assad ameishauri Serikali kuzingatia vigezo vilivyowekwa wakati wa kuajiri watumishi katika nafasi mbalimbali za uongozi ili utendaji kazi uwe wa uadilifu na wenye tija usiokuwa na maslahi binafsi.
Prof. Assad alitoa ushauri huo alipokuwa akiongea katika kipindi maalumu cha maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma kilichorushwa televisheni ya taifa (TBC1).
Aidha, kwa kuzingatia umuhimu wa vyombo vya habari nchini, Prof. Assad amevishauri vyombo hivyo kuzingatia maadili ya taaluma hiyo kwa weledi katika kutimiza wajibu na majukumu yao ya kuhabarisha umma.
Monyesho hayo yalifungwa rasmi jana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alli Hssan Mwinyi ambapo viongozi mbalimbali wametembelea maonesho hayo akiwemo katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ambaye amewashauri wananchi kujenga tabia ya kutembelea maonesho mbalimbali nchini.
Baadhi ya Wizara na Taasisi za Serikali zilizoshiriki maonyesho hayo ni pamoja na Wizara ya Fedha, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Wakala wa Vipimo (TMA), Mamlaka za Usafiri wa Anga (TCAA), Bohari ya Dawa (MSD), Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA) na Wakala ya Serikali Mtandao (eGA).
Katika kuhitimisha maonesho hayo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Musa Assad ameshauri Serikali kuwa ni vema ikahakikishe inatoa ajira katika nafasi mbalimbali hasa nafasi za juu kwa waombaji wenye vigezo vinavyohitajika ili kuepuka upendeleo na maslahi binafsi katika ofisi za Serikali.
Ili kuhakikisha ajira zinatolewa kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa, Prof. Assad ameishauri Serikali kuzingatia vigezo vilivyowekwa wakati wa kuajiri watumishi katika nafasi mbalimbali za uongozi ili utendaji kazi uwe wa uadilifu na wenye tija usiokuwa na maslahi binafsi.
Prof. Assad alitoa ushauri huo alipokuwa akiongea katika kipindi maalumu cha maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma kilichorushwa televisheni ya taifa (TBC1).
Aidha, kwa kuzingatia umuhimu wa vyombo vya habari nchini, Prof. Assad amevishauri vyombo hivyo kuzingatia maadili ya taaluma hiyo kwa weledi katika kutimiza wajibu na majukumu yao ya kuhabarisha umma.
Monyesho hayo yalifungwa rasmi jana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alli Hssan Mwinyi ambapo viongozi mbalimbali wametembelea maonesho hayo akiwemo katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ambaye amewashauri wananchi kujenga tabia ya kutembelea maonesho mbalimbali nchini.
Baadhi ya Wizara na Taasisi za Serikali zilizoshiriki maonyesho hayo ni pamoja na Wizara ya Fedha, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Viwanda na Biashara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Wakala wa Vipimo (TMA), Mamlaka za Usafiri wa Anga (TCAA), Bohari ya Dawa (MSD), Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF), Mamlaka ya Usajili wa Vizazi na Vifo (RITA) na Wakala ya Serikali Mtandao (eGA).
MOROGORO WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI WAZIRI BERNARD MEMBE
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(mwenye miwani), akilakiwa na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) na wananchi waliofurika nje ya viwanja vya ofisi ya CCM ya
Morogoro Mjini Juni 24.2015, wakati akitafuta wadhamini ili aweze
kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho,
ambapo wanaCCM zaidi ya 950 walimdhamini.
Picha zote na John Badi
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
akizungumza na umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na
wananchi waliofurika nje ya viwanja vya ofisi ya CCM ya Morogoro Mjini
Juni 24.2015, wakati akitafuta wadhamini ili aweze kuwania urais katika
uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo wanaCCM zaidi ya
950 walimdhamini.
CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Vuai Ali Vuai akizungumza na Waandishi wa Habari katika Afisi kuu CCM
Kisiwandui ambapo amelaani hatua ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa
Chama cha CUF kugomea Vikao vinavyoendelea vya Baraza la Wawakilishi
hapo Jana.
Baadhi ya Waandishi wa Habari
wakichukuwa maeelezo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai
Ali Vuai alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari katika Afisi kuu
CCM Kisiwandui. Vuali amelaani hatua ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
wa Chama cha CUF kugomea Vikao vinavyoendelea vya Baraza la Wawakilishi
hapo Jana.
Kamati za maafa za takiwa kutimiza wajibu wao wa menejimenti ya maafa
Mratibu Maafa, Idara ya uratibu maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Benedict
Kisaka akitoa mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015.
Kisaka akitoa mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015.
Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Kagera, Fikira Kisimba (katikati)
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
akifuatilia mafunzo ya menejimenti ya maafa wakati wa mafunzo kwa
waratibu maafa mkoani Kagera tarehe 24 Juni, 2015, (mwenye miwani) ni
Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi
ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho.
Mwakilishi wa Mkuu wa Polisi wilaya ya Bukoba, Mkaguzi John Kayunga
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu
maafa mkoani Kagera.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa katika Jeshi la Polisi
mkoani Kagera wakati wa mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu
maafa mkoani Kagera.
Mratibu maafa wilayani Muleba Mkoani Kagera, Ruth Ishabakaki
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa wilayani Muleba wakati wa
mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu maafa mkoani Kagera
tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu
maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
akifafanua masuala ya menejimenti ya maafa wilayani Muleba wakati wa
mafunzo ya menejimenti ya maafa kwa waratibu maafa mkoani Kagera
tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu
maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
Baadhi ya waratibu Maafa mkoani Kagera wakifuatilia mafunzo ya
menejimenti ya maafa kwa waratibu hao tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo
hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
menejimenti ya maafa kwa waratibu hao tarehe 24 Juni, 2015, mafunzo
hayo yameratibiwa na Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.
…………………………………….
Na. Mwandishi Maalum
Kamati za kuratibu maafa katika
ngazi ya serikali za mitaa zimetakiwa kutekeleza majukumu yao kikamilifu
ya menejimenti ya maafa ili kuweza kujenga jamii yenye uwezo wa kuzuia
na kukabili maafa yanayotokea katika maeneo yao.
Akifungua mafunzo ya waratibu wa maafa mkoani Kagera, tarehe 24 Juni, 2015, Kaimu Katibu Tawala wa mkoa huo, Fikira Kisimba alieleza kuwa nguvu ya uwezo wa jamii kuweza kukabili maafa itapatikana iwapo kamati za kuratibu maafa katika ngazi za serikali za mitaa zitawajibika wakati wote kwa kutokuwa zinasubiri uratibu wa maafa yanapotokea .
“Tunazo kamati za maafa kuanzia ngazi za vijiji , vitongoji, kata , wilayani hadi mkoani lakini kamati hizi zinasikika sana wakati maafa yanapotokea hali ambayo si nzuri katika hatua za menejimenti ya maafa, kwani tunaposema menejimenti ya maafa tunazingatia, kuzuia, kukabili maafa na kurejesha hali ya awali baada ya maafa kutokea” alisema Kisimba.
Kisimba aliongeza kuwa mkoa wa Kagera umekuwa ukikumbwa na maafa ya upepo mkali ambapo alibainisha kuwa wilaya ya Muleba imewahi kupatwa na maafa hayo pamoja na maafa ya Kimbunga katika kisiwa cha Goziba lakini wilayani Misenyi magonjwa ya mlipuko yamekuwa yakijitokeza hivyo kamati husika zikiwajibika athari za maafa haya zinapunguzika.
Awali akiongea katika mafunzo hayo, Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho alizitaka kamati za serikali za mitaa na vijiji mkoani humo kuhusisha maafa na mipango yao ya maendeleo, ili kuhakikisha jamii inakuwa na uwezo wa kupunguza athari za maafa hayo.
“Ili kamati za maafa ziweze kuwajibika ipasavyo hatunabudi Mipango ya maendeleo katika serikali za mitaa ihusishe maafa ili jamii iwe na uwezo wa kukabiliana na maafa wakati janga linapotokea na wakati wa kurejesha hali. Kamati za ” alisisitiza Mrisho.
Ofisi ya Waziri Mkuu, kupitia Idara ya Uratibu Maafa itaendelea kutoa elimu na kushirikisha Wadau ili kuimarisha uwezo wa nchi katika kujenga uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na athari za maafa yanapotokea.
Akifungua mafunzo ya waratibu wa maafa mkoani Kagera, tarehe 24 Juni, 2015, Kaimu Katibu Tawala wa mkoa huo, Fikira Kisimba alieleza kuwa nguvu ya uwezo wa jamii kuweza kukabili maafa itapatikana iwapo kamati za kuratibu maafa katika ngazi za serikali za mitaa zitawajibika wakati wote kwa kutokuwa zinasubiri uratibu wa maafa yanapotokea .
“Tunazo kamati za maafa kuanzia ngazi za vijiji , vitongoji, kata , wilayani hadi mkoani lakini kamati hizi zinasikika sana wakati maafa yanapotokea hali ambayo si nzuri katika hatua za menejimenti ya maafa, kwani tunaposema menejimenti ya maafa tunazingatia, kuzuia, kukabili maafa na kurejesha hali ya awali baada ya maafa kutokea” alisema Kisimba.
Kisimba aliongeza kuwa mkoa wa Kagera umekuwa ukikumbwa na maafa ya upepo mkali ambapo alibainisha kuwa wilaya ya Muleba imewahi kupatwa na maafa hayo pamoja na maafa ya Kimbunga katika kisiwa cha Goziba lakini wilayani Misenyi magonjwa ya mlipuko yamekuwa yakijitokeza hivyo kamati husika zikiwajibika athari za maafa haya zinapunguzika.
Awali akiongea katika mafunzo hayo, Mkurugenzi msaidizi (Mipango na Utafiti), Idara ya Uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Naima Mrisho alizitaka kamati za serikali za mitaa na vijiji mkoani humo kuhusisha maafa na mipango yao ya maendeleo, ili kuhakikisha jamii inakuwa na uwezo wa kupunguza athari za maafa hayo.
“Ili kamati za maafa ziweze kuwajibika ipasavyo hatunabudi Mipango ya maendeleo katika serikali za mitaa ihusishe maafa ili jamii iwe na uwezo wa kukabiliana na maafa wakati janga linapotokea na wakati wa kurejesha hali. Kamati za ” alisisitiza Mrisho.
Ofisi ya Waziri Mkuu, kupitia Idara ya Uratibu Maafa itaendelea kutoa elimu na kushirikisha Wadau ili kuimarisha uwezo wa nchi katika kujenga uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na athari za maafa yanapotokea.
KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.CHAFANA
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu
ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi akizungumza na watumishi wa Umma na
wananchi wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
2015 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam ,Juni 23,2015.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais –
Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akihutubia wakati wa kilele cha
Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Moja kati ya washindi wa tuzo za
Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 wakifurahia tuzo waliyoipata wakati wa
kilele za Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Baadhi ya Watumishi wa Umma na
wananchi waliohudhuria kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa
Umma 2015 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
wakimsikiliza mgeni rasmi Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili Mh.
Ali Hassan Mwinyi (hayupo pichani)
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu
ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi (kushoto) akimkabidhi tuzo mmoja wa
wawakilishi wa taasisi zilizopata tuzo wakati wa kilele cha Maadhimisho
ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Tuzo zilizokabidhiwa Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma.
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu
ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi (wa pili kutoka kushoto) akitembelea
mabanda katika Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2015 katika
Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam jana. Anayemuongoza ni
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Utumishi Bw. HAB Mkwizu (watatu kutoka
kushoto).

























































No comments :
Post a Comment