Thursday, June 25, 2015

FAMILIA SASA YAMKABIDHI BOBBI KRISTINA MIKONONI MWA MUNGU

MWANAMKE NA MTOTO WAKE WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE

KOMREDI KINANA ALAKIWA KWA SHAMRA SHAMRA ZA SUNGUSUNGU JIMBO LA KWIMBA

Komredi Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mpira wa Ngudu, ambapo alikemea tabia ya wapinzania kuwahadaa vijana nchini kuwa wakiingia madarakani wataweza kuwatekelezea kila kitu.Aliwataka vijana wa kitanzania kuacha kabisa kuhadaika na watu wao walio waita waongo, bali wachape kazi ili kujipatia riziki zao kila siku

NORWEGIAN AMBASSADOR PAY COURTESY CALL ON EAC SECRETARY GENERAL

BOTI YA KILIMANJARO V KUANZA SAFARI MWISHONI MWA WIKI HII

Kampuni ya Boti za Azam Marine Zanzibar yatowa Boti Mpya ya Kilimanjaro V,iliowasili juzi katika bandari ya Zanzibar na inategemewa kuaza kutoa huduma ya Usafiri kati ya Zanzibar na Dar-es-Salaam mwishoni mwa wiki hii baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria na kuaza kutowa huduma hiyo. Ikiwa katika bandari ya Zanzibar leo.Ina uwezo wa kuchukua Abiria 550, inachukua masaa maskamu lisaa moja na nusu mpaka Dar.
Sehemu ya VIP One ikiwa na Video katika viti vyake vyenye uwezo wa kulala wakati abiria wakiwa safarini.
                                                  Sehemu ya VIP kama inavyoonekana
Kepteni wa Boti Mpya ya Kilimanjaro V Thomas Buhatwa akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar kuhusiana na huduma zinazopatikana katika boti hiyo mpya na kutowa maelezo ya vyombo vya kisasa viliomo katika boti hiwa wakati wa kuitembelea boti hiyo ikiwa katika bandari ya Zanzibar leo mchana.

WAWAKILISHI WA CHAMA CHA WANANCHI ( CUF ) WAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Mhe. Nassor Mazrui akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na kutoka katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kwa kudai furugu iliotokea katika kituo cha uandikishaji cha skuli ya mto pepo.kwa kudai kuzuiwa wanachama wao kuandikisha.
 Makamu Mwenyekiti wa CUF,Mhe Juma Duni akijibu maswali ya Waandishi wa habari kuhusiana na kuchukua uamuzi wa kususia Kikao cha Baraza las Wawakilishi wakati wa ichangoo ya Wizara ya Fedha kwa kudai kufganyika kwa vurugu katika zioezi la uandikishaji wa wapiga kura katika kituo cha skuli ya mto pepo.

WAWEKEZAJI KUTOKA CHINA WAVUTIWA NA ENEO LA VIWANDA WILAYANI KISARAWE MKOANI PWANI

Kibao kinacho elekeza eneo la mradi wa viwanda wilayani Kisarawe mkoani Pwani lililopo Visegese. Mradi huo unaendeshwa na Halmshauri hiyo na wabia wa Kampuni ya World Map
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro (kushoto), akizungumza na viongozi wa Halmshauri ya Wilaya ya Kisarawe, Wabia wa eneo la mradi wa Kampuni ya World Map na wawekezaji kutoka nchini China waliofika wilayani humo jana kuangalia fursa za kuwekeza viwanda katika eneo hilo. Kulia ni Ofisa Mipango Miji Mwandamizi kutoka TIC, Elibariki Ngorovily.
Wawekezaji kutoka China wakiwa katika mkutano na uongozi wa wilaya ya Kisarawe na wabia wa mradi huo kutoka Kampuni ya World Map kabla ya kwenda kuona eneo la mradi wa viwanda. Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais wa Umoja wa Makampuni ya Huallan ‘Huallan Group’, Tu Huobao, Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni hiyo, Apple Ye, Huang Haitao na Meneja Masoko, Nara Zhou.
Mkurugenzi wa Halmshauri ya Kisarawe, Mwanamvua Mrindoko (kulia), akizungumza katika mkutano huo wakati akiwakaribisha wawekezaji hao. Kutoka kushoto ni Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Brendan Maro, Ofisa Mipango Miji Mwandamizi kutoka TIC, Elibariki Ngorovily, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Subira Kigalu, Mwenyekiti wa Halmshauri hiyo, Adam Ng’imba.

MAWAKALA WA FORODHA NCHINI WAASWA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA HIMAYA MOJA YA FORODHA YA AFRIKA MASHARIKI ( SINGLE CUSTOM TERRITORY )

1
Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi akiongea na viongozi wa Chama cha Mawakala wa Forodha na kuwataka mawakala wa Tanzania kujisajili katika mfumo wa uondoshaji wa Himaya moja ya Forodha(SINGLE CUSTUM TERRITORY) ili kuwezesha uondoshwa wa mizigo kwa haraka zaidi pindi mfumo huo utakapoanza kutumika kwani mifumo huo na watanzania tayari zinawasiliana mpaka sasa, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam Kushoto ni Naibu Kamishna wa Forodha Dkt. Patrick Mugoya.
2
 Rais wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) Bw. Stephen Ngatunga akiongea na viongozi wa Chama cha Mawakala wa Forodha na wawakilishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambapo aliipongeza serikali kupitia Mamlaka hiyo katika kuhakikisha wanaweka mazingira mazuri kwa mawakala wa forodha na kuiasa kuendelea kushughulikia changamoto mbalimbali katika sekta hiyo ili kuiwezesha serikali kupata mapato kwa maendeleo ya Taifa, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam Kulia ni Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi.
3
Baadhi ya Viongozi na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) wakimsikiliza Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

DKT. JAKAYA KIKWETE AFUNGA KONGAMANO LA NNE LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU JIJINI DAR ES SALAAM

RAIS KIKWETE NA DKT. REGINALD MENGI IKULU, DAR ES SALAAM

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa  Vyombo vya Habari (MOAT) Dkt Reginald Mengi wakiongea na kubadilishanma mawazo Ikulu, Jijini Dar es salaam katika hafla ya kutunuku nishani  kwa watumishi wa umma na wananchi waliofanya vyema na kwa uadilifu kwenye sehemu zao za kazi. Dkt Mengi alikuwa mmoja wa watu mashuhuri walioalikwa hapo Ikulu.
                                                                                            PICHA NA IKULU

No comments :

Post a Comment