Thursday, April 30, 2020

JAJI AUGUSTINO RAMADHANI KUAGWA KITAIFA



**********************************
Dar es Salaam, 30/4/2020
Mwili wa aliyekuwa Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Augustino Ramadhani unatarajiwa kuagwa rasmi kitaifa kesho Ijumaa Mei Mosi, mwaka huu katika viwanja vya Karimjee, na mazishi yatafanyika Mei 2 Kimara jijini Dar es salaam.
Kiongozi huyo ataagwa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya

Business: Equatorial Guinea Year of Investment Advances, Despite Challenges (by Caty Hirst, Director of Programming at Africa Oil & Power)

Africa Oil & Power Conference
 
Equatorial Guinea Year of Investment Advances, Despite Challenges (by Caty Hirst, Director of Programming at Africa Oil & Power)
The Minister of Mines and Hydrocarbons promotes downstream projects and continues to sign contracts, as oil and gas industry adapts to COVID-19
CAPE TOWN, South Africa, April 30, 2020/ -- By Caty Hirst, Director of Programming at Africa Oil & Power

COVID-19 has slowed global trade, but Equatorial Guinea is not relenting in its drive for

The international photographer endorses TECNO CAMON 15 Premier Vlog, comments from fans: Amazing!

TECNO Mobile
 
The international photographer endorses TECNO CAMON 15 Premier Vlog, comments from fans: Amazing!
TECNO CAMON 15 Premier is equipped with 64 MP SONY cameras and trademarked TAIVOS™ technology
HONG KONG, The People's Republic of China, April 30, 2020/ -- Recently, Michael Christopher Brown post several photos and a Vlog on his Instagram and shared his experience on TECNO CAMON 15 (www.TECNO-mobile.com) Premier photography.

BIL. 33 KUTUMIKA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIJAMII NCHINI



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 30, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
******************************
NA WAMJW Dodoma
Wizara ya Afya, kupitia Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Jumla ya shilingi bilioni 33.195 ili kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii hususani zilizopewa kipaumbele kwa mwaka wa fedha 2020/21.
Akiwasilisha Hotuba ya Wizara ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na

TAKUKURU MANYARA YAOKOA MIGODINI 14 ISIFUTIWE LESENI



Wachimbaji madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, ambapo Takukuru imefanikisha migodi 14 isifutiwe leseni kwa kuhakikisha shilingi milioni 14.5 zinalipiwa.
****************************************
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara, imewasaidia wamiliki wa migodi 14 wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro waliokuwa wafutiwe leseni zao kwa kudaiwa shilingi milioni 14.5 na Wizara ya Madini.
Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Isdory Kyando wamiliki hao 14 wa migodi walikuwa wanyang’anywe migodi hiyo kwa kutolipa ada za leseni zao.
Kyando alisema leseni hizo zilizopo kitalu B (Opec) zilikuwa zifutwe kwa wanachama hao wa

SAFARI ZA KWENDA KUWATEMBELEA NDUGU VIJIJINI ZISUBIRI CORONA IISHE – DKT. SUBI



Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akiwa na timu ya uhamasishaji kutoka Wizara ya Afya na taasisi isiyo yakiserikali ya Project CLEAR juu ya elimu ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akinawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono kampeni ya “Mikono safi, Tanzania salama” inayolenga kuelimisha wananchi juu ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akieleza jambo wakati akiongea na Waandishi wa habari katika juu ya mwenendo wa kampeni ya “Mikono safi, Tanzania salama” inayolenga kuelimisha wananchi juu ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
********************************
Na WAMJW- DSM
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi ametoa wito kwa wananchi kutosafiri kwenda vijijini kwa lengo la

SERIKALI HAITOPANGA BEI ZA MAZAO YA WAKULIMA-MHE MGUMBA



Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb) akisisitiza jambo leo tarehe 30 Aprili 2020 wakati akizungumza na viongozi wa TADCOs Co ltd kuhusu hatua iliyofikiwa ya uagizaji wa mbolea katika ukumbi wa KILIMO IV Jijini Dodoma.
****************************
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala