Saturday, February 1, 2020

TANZANIA & CHINA ZATOA TAMKO LA PAMOJA



Serikali ya Tanzania na China zimetoa tamko la pamoja kuhusu hali za watanzania walioko nchini China na hatua zinazochukuliwa na nchi hiyo kukabiliana na virusi vya Corona.
Tamko hilo la pamoja limetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) pamoja na Balozi wa China hapa Nchini Mhe Wu Ke wakiwa wameambatana na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu Jijini Dar Es Salaam.
Akitoa tamko hilo Waziri Kabudi amesema Ubalozi wa China umeomba fursa ya kukutana na Serikali ya Tanzania kwa nia ya kueleza kwa pamoja hali ilivyo nchini China,hatua zinazochukuliwa na Serikali ya China kukabiliana na maradhi hayo ili kuzuia kusambaa katika maeneo mengine duniani sanjari na hali ilivyo kwa Watanzania wanaoishi Nchini humo.
Kwa upande wake Balozi wa China hapa Nchini Mhe Wu Ke amewaondoa wasiwasi Watanzania wote wakiwemo Wazazi na Ndugu wa wanafunzi zaidi ya 4000 hususani wanafunzi 400 walioko Hubei  katika Mji wa Wuhan ambapo panatajwa kama kitovu cha Virusi vya Corona kwa kusema wako salama na hakuna hata mmoja aliyeathiriwa.
Ameongeza kuwa Serikali ya China kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani linachukua hatua zote kuhakikisha kuwa virusi hivyo havisambai katika maeneo mengine hasa baada ya shirika hilo kuutangaza ugonjwa huo kama janga,ikiwemo jitihada za China kujenga Hospitali maalum kwa ajili ya kuwatibu wale wote watakaoathirika.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema mpaka sasa hakuna mtu yeyote awe rai wa Tanzania ama wakigeni aliyethibitika kuwa na virusi hivyo na Serikali inaendelea kuchukua hatua stahiki na za dharura ikiwemo kuwapima watu wote wanaowasili Nchini kupitia viwanja vya ndege na aina nyingine za usafiri.
Ameongeza kuwa tayari serikali kwa kushirikiana na wadau wengine  imeimarisha uwezo wa kuwapima ndani ya Nchi mtu yeyote atakayeshukiwa wa virusi hivyo badala ya kupeleka sampuli hizo sehemu nyingine ikiwa ni pamoja na nje ya nchi.
Amesisitiza kuwa Mpaka sasa hakuna mgonjwa yeyote ama mtu yeyote aliyeshukiwa ama

WAZIRI JAFO AZUNGUMZIA MIAKA MINNE YA UTEKELEZAJI TAMISEMI


 
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akizungumza  wakati akieleza mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge,akitoa neno kuhusiana na mambo yaliyofanywa na TAMISEMI katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Utawala na Serikali za Mitaa, Mwanne Nchemba,akitoa pongezi kwa Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Sehemu ya washiriki katika hafla ya mafanikio ya TAMISEMI wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,wakati akizungumzia   mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa pamoja na Wakuu wa Wilaya wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,wakati akizungumzia   mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Mbunge wa Rombo (Chadema) Mhe.Joseph Selasini,akitoa pongezi kwa Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,kutokana na   mafanikio ya wizara yake aliyoyapata  katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akikata utepe kuashiria  mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akionyesha kitabu kinachoelezea  mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge, kinachoelezea  mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi , kinachoelezea  mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mbunge wa Rombo (Chadema) Joseph Selasini , kinachoelezea  mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wabunge walioshiriki hafla ya  mafanikio ya wizara ya TAMISEMI  katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mara baada ya kuzungumzia  mafanikio ya wizara ya yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Wizara yake mara baada ya kuzungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi
PICHA NA ALEX SONNA-FULLSHANGWEBLOG
…………………………………………………………………………………………
Na.Alex Sonna,Dodoma
Serikali imesema kuwa tatizo la usafiri kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wanaotumia

Citizen scientists get out to save Grevy’s zebra

Grevy's Zebra

Grevy's Zebra. PHOTO | COURTESY 

Student's death exposes lapse in school healthcare plan


HEALTHCARE
National Parents Association Chairman Nicholas Maiyo expresses concern about the state of healthcare in schools, at Highlands Inn Hotel in Eldoret, Uasin Gishu County, on January 5, 2019. 

Kenyan activitists King Kaka, Kennedy Odede join global SDGs drive

Kennedy Ombima and Kennedy Odede
A combination photo of Shining Hope for Communities CEO and co-founder Kennedy Odede during a photo shoot on December 11, 2019, and rapper King Kaka posing for a picture on a street in Nairobi on November 21, 2018. PHOTOS | FRANCIS NDERITU AND SALATON NJAU | NATION MEDIA GROUP 

Kenya deploys Eliphas Mugendi as envoy to Ghana

Deputy President William Ruto congratulates the new President of Ghana, Nana Akufo-Addo, during his swearing-in ceremony at Black Star Square in Accra on January 7, 2017. PHOTO | CHARLES KIMANI | DPPS
Deputy President William Ruto congratulates the new President of Ghana, Nana Akufo-Addo, during his swearing-in ceremony at Black Star Square in Accra on January 7, 2017. PHOTO | CHARLES KIMANI | DPPS 

Cyber security: Governments urged to work with other players

Dr Yuval Stainitz
Israel's Energy Minister Dr Yuval Stainitz speaking during the seventh edition of the annual CyberTech Global forum in Tel Aviv on January 29, 2020. PHOTO | FAUSTINE NGILA | NATION MEDIA GROUP