WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akizungumza wakati
akieleza mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya
uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na
kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt.
Binilith Mahenge,akitoa neno kuhusiana na mambo yaliyofanywa na TAMISEMI
katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli
hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali
pamoja na viongozi.
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya
Kudumu ya Bunge, Utawala na Serikali za Mitaa, Mwanne Nchemba,akitoa
pongezi kwa Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Selemani Jafo, mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha
miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika
jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Sehemu ya washiriki katika hafla
ya mafanikio ya TAMISEMI wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,wakati
akizungumzia mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne
ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma
na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Baadhi ya Wakuu wa Mikoa pamoja na
Wakuu wa Wilaya wakifatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,wakati akizungumzia
mafanikio ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa
Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa
na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
Mbunge wa Rombo (Chadema)
Mhe.Joseph Selasini,akitoa pongezi kwa Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,kutokana na mafanikio
ya wizara yake aliyoyapata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa
Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na
kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akikata utepe kuashiria
mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa
Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa
na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akionyesha kitabu
kinachoelezea mafanikio ya wizara yake katika kipindi cha miaka minne
ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma
na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mkuu wa
Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge, kinachoelezea mafanikio ya wizara
hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John
Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau
mbalimbali pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mkuu wa
Mkoa wa Iringa Ally Hapi , kinachoelezea mafanikio ya wizara hiyo
katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli
hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali
pamoja na viongozi.
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akimkabidhi kitabu Mbunge
wa Rombo (Chadema) Joseph Selasini , kinachoelezea mafanikio ya wizara
hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John Magufuli
hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali
pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya
pamoja na baadhi ya wabunge walioshiriki hafla ya mafanikio ya wizara
ya TAMISEMI katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk. John
Magufuli hafla hiyo imefanyika jijni Dodoma na kuhudhuriwa na wadau
mbalimbali pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya
pamoja na wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya mara baada ya kuzungumzia
mafanikio ya wizara ya yake katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa
Rais Dk. John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijini Dodoma na
kuhudhuriwa na wadau mbalimbali pamoja na viongozi
WAZIRI wa Nchi, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo,akiwa katika picha ya
pamoja na Watumishi wa Wizara yake mara baada ya kuzungumzia mafanikio
ya wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dk.
John Magufuli hafla hiyo imefanyika jijini Dodoma na kuhudhuriwa na
wadau mbalimbali pamoja na viongozi
PICHA NA ALEX SONNA-FULLSHANGWEBLOG
…………………………………………………………………………………………
Na.Alex Sonna,Dodoma
Serikali imesema
kuwa tatizo la usafiri kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wanaotumia