Saturday, February 1, 2020

EAC treaty ripe for review, says Mfumukeko

The East African Community Secretary-General Liberat Mfumukeko.
The East African Community Secretary-General Liberat Mfumukeko. PHOTO | COURTESY 

SPIKA WA BUNGE AZINDUA MPANGO WA LISHE BORA WILAYANI KONGWA



Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai, akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge) 
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge) 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Mheshimiwa Esther Matiko akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Mjumbe wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Dkt Christine Ishengoma akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)

WAHANDISI MKOA TABORA WAPEWA MIEZI MIWILI KUHAKIKISHA WANAPATA LESENI ZINAZOWARUHUSU KUFANYAKAZI



Wahandisi kutoka Kanda ya Magharibi na Ziwa wakiapishwa na Rais wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) Mhandisi Menye Maanga wakati wa semina ya siku moja ya utendaji kitaalamu katika fani ya uhandisi kwa Wahandisi ilifanyika leo mkoani Tabora.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akitoa leseni ya kazi kwa Mhandisi kutoka RUWASA  Mpanda Maglalena Mkelemi wakati wa semina ya siku moja ya utendaji kitaalamu katika fani ya uhandisi kwa Wahandisi wa Kanda ya Magharibi na Ziwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wahandisi Mhandisi Profesa Ninatubu Lema akitoa hotuba wakati akifungua semina ya siku moja ya utendaji kitaalamu katika fani ya uhandisi kwa Wahandisi wa Kanda ya Magharibi na Ziwa.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akifungua leo semina ya siku moja ya utendaji kitaalamu katika fani ya uhandisi kwa Wahandisi wa Kanda ya Magharibi na Ziwa.
Baadhi ya Wahandisi kutoka Kanda ya Magharibi na Ziwa wakiwa katika semina ya siku moja ya utendaji kitaalamu katika fani ya uhandisi kwa Wahandisi ilifanyika leo mkoani Tabora.
********************************
NA, TIGANYA VINCENT, TABORA.
SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imetoa miezi miwili kwa Wahandisi kuhakikisha wamesajiliwa na kupata leseni za uhandisi zinazotolewa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi nchini (ERB) ili

MBUNGE CHIKOTA ATAKA SERIKALI KUMALIZIA UJENZI WA BARABARA YA MTWARA-NEWALA-MASASI KWA LAMI


Na Alex Sonna, DODOMA
MBUNGE wa Nanyamba, Abdallah Chikota(CCM), amehoji serikali lini itajenga kwa kiwango cha lami kilometa 160 zilizobaki katika barabara ya Mtwara – Newala – Masasi.
Akiuliza swali bungeni leo, Chikota amesema barabara hiyo yenye

New era for divided Britain as it leaves EU

UK flag removed from EU
Staff members take down the United Kingdom's flag from the European Parliament building in Brussels on Brexit Day, January 31, 2020. PHOTO | JOHN THYS | POOL | AFP 
AFP
By AFP
More by this Author
London,
Britain on Friday ended almost half a century of European Union membership, making a historic exit

US travel ban: Trump restricts immigration from Nigeria and five other countries

Donald Trump
US President Donald Trump. The president first introduced a travel ban in 2017. PHOTO | SCOTT OLSON | AFP 
BBC
By BBC
More by this Author
The US has announced it is expanding its curbs on immigration to include six more countries,

US bans Tanzanian official who launched anti-gay crackdown

Dar es Salaam’s Regional Commissioner Paul Makonda.
Dar es Salaam’s Regional Commissioner Paul Makonda. FILE PHOTO | NMG 
REUTERS
By REUTERS
More by this Author
The United States said on Friday it banned from visiting the country a Tanzanian official who