Wednesday, February 23, 2022

WAZIRI MKUU MAJALIWA YUKO CONGO DRC KUHUDHURIA MKUTANO WA AMANI, USALAMA NA USHIRIKIANO NCHINI HUMO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Congo DRC, Luteni Jenerali Paul Mella (katikati baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Nd’jili jijini Kinshasa DRC kwa ajili ya kushiriki mkutano wa kumi wa Wakuu wa nchi wa Serikali zinazohusika na mpango wa Amani, Usalama na Ushirikiano nchini DRC na kwenye ukanda wa Maziwa Makuu. Mkutano huo unaanza leo Februari 24, 2022. kushoto ni Balozi wa Congo Nchini Tanzania Mhe. Jean Pierre Mutamba

No comments :

Post a Comment