Thursday, February 24, 2022

SPIKA DKT. TULIA ACKSON ASHIRIKI SEMINA YA MAFUNZO KWA WABUNGE

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiwa na Naibu wake, Mhe. Mussa Azzan Zungu ameshiriki semina ya mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa Kamati ya Uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge ambayo yanaendelea katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Tunguu, Zanzibar.



No comments :

Post a Comment