Monday, October 11, 2021

TCU Yafungua Dirisha La Nne La Udahili Mwaka Wa Masomo 2021/2022

Katibu Mtendaji wa tume ya vyuo Vikuu Tanzania(TCU), Prof. Charles Kihampa akizingumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati akitangaza kufunguliwa kwa dirisha la nne la udahili jijini Dar es Salaam.

Katibu Mtendaji wa tume ya vyuo Vikuu Tanzania(TCU)Prof. Charles Kihampa (katikati) akizumza na waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi za Tume hiyo Jijini Dar es Salaam. (wa kwanza kulia) ni Mkurugenzi wa uratibu wa Udahili na utunzaji wa Kanzidata wa Time hiyo Dkt Kokuberwa Kulunzi-mollel, na (kushoto) ni Kaimu Mkurugenzi wa huduma za Taasisi (TCU) Bwa. Yusuf Rauna.

No comments :

Post a Comment