Monday, October 11, 2021

Rais Samia Ameteua Mwenyekiti Wa Bodi Ya Chai



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU

Simu: 255-262961500/1 

Nukushi: 255-262961502

Baruapepe: press@ikulu.go.tz

Tovuti : www.ikulu.go.tz               


Dodoma

11 Oktoba, 2021.


Description: Description: Description: Description: Description: Coat of Arms

OFISI YA RAIS,

      IKULU, 

 1 BARABARA YA JULIUS NYERERE,   

CHAMWINO,

S.L.P 1102,

40400 DODOMA.


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Mustafa Hamisi Umande kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Chai Tanzania.


Bw. Umande anachukua nafasi ya Mhandisi Steven D. Mlote ambaye amemaliza muda wake.


Uteuzi huo umeanza  tarehe 08 Oktoba, 2021.



Jaffar Haniu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.

No comments :

Post a Comment