Saturday, August 28, 2021

MAJALIWA: RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUTOA FURSA KWA WANAFUNZI KUTIMIZA NDOTO ZAO



 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari ya wavulana Tabora wakati alipotembelea Shule hiyo,



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora wakati alipotembelea Shule hiyo, Agosti 28, 2021. Kulia ni Mkuu wa Shule hiyo, Deogratias Mwambuzi.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kitabua ambacho Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alisajaliwa kuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora kwa nambari 590 wakati alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo,



Muonekano wa sehemu ya bweni la Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora baada ya ukarabti uliofanywa na serikali. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ukarabati huo, Agosti 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment