Friday, August 20, 2021

LIVING LAB INITIATIVE YAWAJENGEA UWEZO WA TEHEMA VIJANA 50 KWA MAENDELEO YA TANGA

 

MKURUGENZI wa Jiji la Tanga Spora Liana akizungumza wakati akifungua mafunzo ya  kuboresha ukusanyaji na uhifadhi wa taarifa za ardhi na maeneo ya kusaidia utoaji huduma za manispaa jijini Tanga ambapo vijana 50 kutoka Chuo Kikuu  Ardhi na jiji la Tanga wamenufaika na mafunzo yaliyoanza Agosti 18 mwaka 2021 katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kulia ni Mwakilishi wa Fondation Botnar Philotheusy Mbogoro 
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya Tanzania Data Lab (dLab) Stephen Chacha  akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mafunzo hayo

 

Ibrahim Msuya, Meneja wa Mradi unaotekeleza Living Lab Initiative  akielezea jambo

 

Mwakilishi wa Fondation Botnar Philotheusy Mbogoro akizungumza

 

Sehemu ya washiriki wa mafunzo hayo  wakifuatilia kwa umakini 

MTAFITI Mkuu wa Mradi Living Lab Initiative Prof.Ally Namanganya akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo

No comments :

Post a Comment