MKURUGENZI wa Jiji la Tanga Spora Liana akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuboresha ukusanyaji na uhifadhi wa taarifa za ardhi na maeneo ya kusaidia utoaji huduma za manispaa jijini Tanga ambapo vijana 50 kutoka Chuo Kikuu Ardhi na jiji la Tanga wamenufaika na mafunzo yaliyoanza Agosti 18 mwaka 2021 katika ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kulia ni Mwakilishi wa Fondation Botnar Philotheusy Mbogoro |
|
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya Tanzania Data Lab (dLab) Stephen Chacha akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mafunzo hayo |
|
Ibrahim Msuya, Meneja wa Mradi unaotekeleza Living Lab Initiative akielezea jambo |
Mwakilishi wa Fondation Botnar Philotheusy Mbogoro akizungumza
Sehemu ya washiriki wa mafunzo hayo wakifuatilia kwa umakini
|
MTAFITI Mkuu wa Mradi Living Lab Initiative Prof.Ally Namanganya akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo |
No comments :
Post a Comment