Tuesday, June 8, 2021

SUGECO KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA MASOKO

Mkurugenzi wa Umoja wa Wahitimu Wajasiliamali Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine SUGECO Revocutus Kimario akitoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana zaidi ya 400  kutoka vyuo vya kati vya kilimo na baadhi ya vikundi vya wakulima mkoani Mbeya.
Mkufunzi wa chuo cha kilimo Uyole( MAT-UYOLE)mkoani Mbeya  Betina Mwakasanga akiangalia bidhaa zinazozalishwa na wanachuo wa chuo  hicho.
Mkuu wa chuo cha kilimo Uyole mkoani Mbeya wa tatu kulia (Suti Nyeusi) Akiangalia bidhaa inayozalishwa na mjasiliamali kutoka Mbeya katika maonyesho yaliyowahusisha wanafunzi wa  vyuo mbalimbali  vya kilimo mkoani Mbeya yenye lengo la kuwaunganisha wakulima na masoko lakini pia kutambulisha uwepo wa ofisi za SUGECO maeneo ya  Chuo cha kilimo Uyole  .

Baadhi ya wananchuo wakipewa maelekezo ya teknolojia mbalimbali na bidhaa zinazozalishwa na umoja wa wahitimu wajasiliamali chuo kikuu cha kilimo Sokoine SUGECO .

 

No comments :

Post a Comment