Pages
Tuesday, May 18, 2021
MAREKANI YAAHIDI KUENDELEZA MASHIRIKIANA NA ZANZIBAR KATIKA KUIMARISHA AFYA ZA WANANCHI WAKE
Waziri wa Afya,
Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na Balozi
wa Marekani nchini Tanzania Donald Wright alipofika Ofisini kwake Mnazimmoja
Mjini Zanzibar.Balozi wa
Marekani nchini Tanzania Donald Wright akiagana na Waziri Nassor Mazrui baada
ya mazungumzo yao yaliofanyika Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia
na Watoto Mnazimmoja.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment