Thursday, April 8, 2021

WAZIRI MKUU AKIWA BUNGENI JIJINI DODOMA LEO


 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mlalo, Rashid Shanagazi (kulia) na Mbunge wa Muheza, Hamis Mwinjuma (Mwana FA), kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 8, 2021.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aeshi Hillaly, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 8, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

No comments :

Post a Comment