WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na
Usalama Zanzibar wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Katibu wa Baraza
la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakati wa
hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
leo.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia kuapishwa kwa Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakati wa
hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo.(Picha
na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhandisi Zena
Ahmed Said kua Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi,
hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar, 2/1/2021.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Hati yake ya
Kiapo Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi
Zena Ahmed Said, baada ya kuisain, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
MTEULE Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, akiwa katika
ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar akisubiri kuapishwa kuwa Katibu wa
Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) hafla hiyo imefanyika leo 2/1/2021 Ikulu Zanzibar.(Picha na
Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini Hati ya Kiapo ya
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said, baada ya kumuapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar.(Picha na Ikulu)
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na
Katibu Mkuu Kiongozi Mstaaf Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwake)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Dkt. Mwinyi Talib Haji, Mufti Mkuu wa
Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, Askofu wa Jimbo la Zanzibar Kanisa la
TAG. Rev.Dikson Kaganga na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan
Othman Ngwali, wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, hafla hiyo
iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo.(Picha na Ikulu)
KATIBU
wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
akiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar baada ya kuapishwa na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani) na (kulia kwake) Spika wa Baraza la Wawakilishi
Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la
Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mstaaf Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Dkt. Mwinyi Talib Haji, wakiwa katika
ukumbi wa Ikulu wakati wa hafla hiyo.(Picha na Ikulu)
No comments :
Post a Comment