
Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya
Baraza la Wawakilishi Mh. Saada Mkuya Salum akihoji kitu wakati kamati
yake ilipokutana na Uongozi wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Ofisini
kwao Vuga Mjini Zanzibar (kulia) Waziri ya Nchi Ofisi ya Rais Fedha na
Mipango Jamal Kassim Ali. 
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango (Tehema) Rashid Said Rashid akieleza namna walivyojipanga kuhakikisho kodi zote zinalipwa kwa kutumia mtandao.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha
na Mipango Jamal Kassim Ali akiieleza Kamati ya Bajeti ya Bazara la
Wawakilishi mikakati waliyoandaa kuhakikisha Zanzibar Haitegemei Utalii
tu kukuza uchumi wake. 
Mwakilishi wa Jimbo la
Kiembesamaki ambae pia ni mjumbe wa Kamati ya Bajeti ya Baraza la
Wawakilishi Suleiman Haroub Suleiman akiuliza swali wakati kamati hiyo
ilipokutana na Uongozi wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango.
Baadhi
ya watendaji wa Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar wakiandika
maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Baraza
la Wawakilishi walipofika Ofisini kwao Vuga.
Picha na Makame Mshenga.
No comments :
Post a Comment