Thursday, December 31, 2020

WANAFUNZI 150 KUEPUKANA NA ADHA YA UPUNGUFU WA VYUMBA VYA KUSOMEA,MBUNGE ASHIRIKI UJENZI

Mbunge wa Jimbo la Uzini,Khamis Hamza Chilo,akishiriki ujenzi wa vyumba vya madarasa baada ya kukabidhi  Mabati,Mifuko ya Saruji na matofali wakati wa Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mchangani,iliyopo Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,leo.Wanafunzi wa shule  hiyo wanakabiriwa na upungufu wa madarasa.Picha na Mpigapicha Wetu

Mbunge wa Jimbo la Uzini,Khamis Hamza Chilo(aliyeinua mkono), akikabidhi mifuko ya Saruji  ya Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mchangani,iliyopo Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,leo.Wanafunzi wa shule  hiyo wanakabiriwa na upungufu wa madarasa.Picha na Mpigapicha Wetu

Mbunge wa Jimbo la Uzini,Khamis Hamza Chilo(watatu kulia), akikabidhi mabati  ya Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mchangani,iliyopo Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,leo.Wanafunzi wa shule  hiyo wanakabiriwa na upungufu wa madarasa.Picha na Mpigapicha Wetu
Mbunge wa Jimbo la Uzini,Khamis Hamza Chilo(aliyeinua mkono), akikabidhi matofali  ya Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mchangani,iliyopo Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja,leo.Wanafunzi wa shule  hiyo wanakabiriwa na upungufu wa madarasa.Picha na Mpigapicha Wetu

 

No comments :

Post a Comment