Kampuni
ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa
na Dimba imetangaza kusitisha uzalishaji kutokana na mwenendo mbaya wa
biashara.Akizungumza
na wafanyakazi wa kampuni hiyo leo Ijumaa Desemba 3, 2020 jijini Dar
es Salaam, mhariri mtendaji, Dennis Msacky amesema uzalishaji wa
magazeti hayo utasitishwa kuanzia Jumatatu Desemba 7, 2020.
Pages
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment