Monday, November 16, 2020

Vodacom Tanzania PLC yazindua duka la kwanza la kisasa wilayani Kisarawe


 
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo (kulia) na Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania Plc Rosalynn Mworia wakikata utepe kuzindua duka la kwanza la kampuni hiyo lililopo mjini Kisarawe, duka hilo litatoa huduma zote kwa wateja wa Vodacom.
Mheshimiwa Jokate Mwegelo akicheza ngoma ya asili kushrehekea kuzinduliwa kwa duka hilo jipya
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wakishangilia mara baada ya uzinduzi wa duka hilo lililopo jirani na stendi ya Kisarawe
Mkuu wa mauzo wa Vodacom Tanzania Plc kanda ya Pwani akiwakaribisha wageni waalikwa katika uzinduzi wa duka hilo.
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo akimkabidhi zawadi ya simu mteja wa muda mrefu wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc Saleh Semjaila, sanjari na uzinduzi wa duka la kwanza la kampuni hiyo lililopo mjini Kisarawe, katikati ni Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Mwanana Shabani.

 

No comments :

Post a Comment